OPERATION CORONAVIRUS PANDEMIC: 16 Reasons for the Deployment of this Devastating Bioweapon in 2020

OPERATION CORONAVIRUS PANDEMIC: 16 Reasons for the Deployment of this Devastating Bioweapon in 2020

Thank you for being prophetic. I guess you are part of that NWO action and mind controlling outfit. Mine is one mind you will never succeed to control.
I am not part of the controlling agents,but I know what is happening because the information is out there.

Believe me,you are mind controlled,and a slave.Mkuu hivi unajua hata minara ya simu inatumiwa for mind control?Inatisha sana,lakini ni kweli.Nyerere alitabiri kuhusu utumwa huu,akasema,"utumwa unaokuja ni mbaya zaidi kuliko utumwa uliopita,kwa kuwa itakuwa vigumu kujua kwamba wewe ni mtumwa."
 
I am not part of the controlling agents,but I know what is happening because the information is out there.

Believe me,you are mind controlled,and a slave.Mkuu hivi unajua hata minara ya simu inatumiwa for mind control?Inatisha sana,lakini ni kweli.
You are paranoid. You seem to imply that we will be better off living on an isolated ocean island where 'they' cannot reach us.
 
You are paranoid. You seem to imply that we will be better off living on an isolated ocean island where 'they' cannot reach us.
Kwa hiyo ni vizuri wao watutawale hata kiakili?Fuatilia Edward Snowden ali-expose nini kuhusu NASAs' mass surveillance and control program,it's shocking.
 
Kwa hiyo ni vizuri wao watutawale hata kiakili?Fuatilia Edward Snowden ali-expose nini kuhusu NASAs' mass surveillance and control program,it's shocking.
Kama kuna kutawaliwa kiakili nadhani tunatawaliwa kwa njia rahisi sana. Kwa mfano, kupitia ULOKOLE wa kisasa ambao umewafanya vijana kufikiri ufumbuzi wa kila jambo unapatikana kupitia maombi, mafuta ya upako, n.k. Hii pseudo-religious capture ni form of mind control ambayo mtu akiishashikwa ni vigumu kumnasua. Inauwa uwezo wa kufikiri na kutafuta ufumbuzi wa changamoto. Chanzo chake ni American fundamentalism ambayo sasa imeenezwa dunia nzima.
 
Kwa hiyo ni vizuri wao watutawale hata kiakili?Fuatilia Edward Snowden ali-expose nini kuhusu NASAs' mass surveillance and control program,it's shocking.
Sasa unataka ulinganishe taarifa za Snowden na conspiracy theory.
Snowden ni whistlebrower alitoa taarifa zilizokuwa classified lakini zinajulikana mashiko yake. Ukitaka kuchunguza taarifa zilikusanywa vipi na kivipi sheria ilikiukwa na NSA unatumia elimu ya kisayansi either computer engineering, telecommunication au cyber technology au elimu inayosomeka.

Sasa wewe unatuambia wamepanga hivi, kisha mwishoni unamalizia kuna mind control wanafanya tusiweze pata ufahamu. Yani mtu akipinga unaweza kwenda cheap kuwa yuko mind-controlled.
Kama kupinga serikali sahivi utaambiwa unatumiwa na mabeberu.

Hizi taarifa kupata ushahidi wa nani yuko interested na mipango hii, nani anaipinga, nani mnufaika na kivipi, nani alianzisha na kwa malengo yapi; hakuna ushaidi.
Kwamba watu wapungue, then what? Dunia itawaliwe na serikali moja, serikali hipi na chini ya kina nani?

Ukisema watengeneze magonjwa, hiyo inaweza kuwa mpango wa kampuni kana BigPharma au Monsanto watengeneze kisha wawe na dawa wauze wapate hela, hapa logic inaingia. Lakini from nowhere etu mtu atake mfe tu, sasa kama hana maslahi na kifo chenu inamhusu nini.
 
Sijui nikoje nikishaona habari ya kitu fulani kutokea halafu sababu/muanzilishi ikatajwa NWO, Illuminati au Freemason hua si ipi uzito sana. Hua nachukulia kama hadithi za kina Shigongo au movie za Marvel's.. Uanzishe corona uue watu then? Unataka utawale dunia ambayo watu wake umewaua au wako kwenye mateso halafu iwe na faida gani katika sphere zote kiuchumi, kisiasa au kijamii? Kwamba corona imeanzishwa kuwamaliza wenye 5G ambao ni wachina, sasa mbona south Korea, japan, italia ambao ni washirika wa mpinzani mkuu wa China kwenye 5G tech nao corona inawaua! USA nako imeripotiwa kifo kutokana na huu ugonjwa so wameunda bioweapon ambayo hawawezi kuimanage! Ukiwaza kwa umakini hamna theory yoyote ya mlengo huu inaleta mantiki
 
Sasa unataka ulinganishe taarifa za Snowden na conspiracy theory.
Snowden ni whistlebrower alitoa taarifa zilizokuwa classified lakini zinajulikana mashiko yake. Ukitaka kuchunguza taarifa zilikusanywa vipi na kivipi sheria ilikiukwa na NSA unatumia elimu ya kisayansi either computer engineering, telecommunication au cyber technology au elimu inayosomeka.

Sasa wewe unatuambia wamepanga hivi, kisha mwishoni unamalizia kuna mind control wanafanya tusiweze pata ufahamu. Yani mtu akipinga unaweza kwenda cheap kuwa yuko mind-controlled.
Kama kupinga serikali sahivi utaambiwa unatumiwa na mabeberu.

Hizi taarifa kupata ushahidi wa nani yuko interested na mipango hii, nani anaipinga, nani mnufaika na kivipi, nani alianzisha na kwa malengo yapi; hakuna ushaidi.
Kwamba watu wapungue, then what? Dunia itawaliwe na serikali moja, serikali hipi na chini ya kina nani?

Ukisema watengeneze magonjwa, hiyo inaweza kuwa mpango wa kampuni kana BigPharma au Monsanto watengeneze kisha wawe na dawa wauze wapate hela, hapa logic inaingia. Lakini from nowhere etu mtu atake mfe tu, sasa kama hana maslahi na kifo chenu inamhusu nini.
Mkuu hivi kabisa unaamini from the depest part of your heart kwamba NWO hawana maslahi na vifo vyetu.Why is HIV-Aids Ebola,Diabetes,Cancer,Herpatis A-D,Pressure,MERs,SARs,Heart Diseases etc.etc.here, you think they are natural? A big no.Hebu fuata link ifuatayo uone what the Illuminati have in stock for you,labda some sense will come to your mind.Inatisha lakini ni kweli.

Of immediate interest ni targets 5,7 and 9,in view of our discussion,ingawa itakuwa busara kuzijua targets zote,ili ujue what the Illuminati are planning against you.Utashangaa kuona kwamba everything they have planned has already happened or is happening now.Is it a coincidence? Surely not.

TARGETS OF THE ILLUMINATI AND THE COMMITTEE OF 300
 
Na njia nzuri ya kupambana ni kutokupanic, kila mtu atakufa kwa wakati wake, usipokufa kwa COVID -19, Unaweza kufa kwa ajali, ama sababu nyengine zozote. Hakuna haja ya kupanic, mwanaadam ni masiku nothing else, kwa kadiri yanavyoenda ndivyo yanavyozidi kupungua. Kila mtu atakufa tutatofautiana sababu tu, ila muhimu kuchukua tahadhari ili usife kwa taabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Special Note: As of this moment, the Internet space is awash with every theory and hypothesis, speculation and suspicion, debate and argument imaginable about the origin and purpose of the Wuhan coronavirus. However, at this point, all that really matters are the answers to two key questions: Who did it? And, why did they do it? There’s a third question that can also be asked that greatly facilitates the process of discovery,“Cui bono,” that is,who stands to benefit from the event? Hence, the real perpetrators of this global psyop can easily be identified by astutely observing all the diverse consequences and salient outcomes which will become more evident with each passing day,week and month. Many of those consequences and outcomes are listed below and will irrefutably incriminate the only tribe capable of such a“maggiore operazione”. See:Nothing changes until those who secretly rule US are prosecuted for 9/11, J,F.Kennedy assaination, Oklohoma City bombing , 5G, Chemtrails, Vaccines….

First, let me remind you some basic facts about the Wuhan coronavirus pandemic as follows:
FACT No.1: The Wuhan coronavirus, identified by WHO as COVID-19, is a highly complex pathogenic microorganism that causes an extremely contagious disease process.
FACT No.2: This bioengineered coronavirus is transformed into a much more powerful bioweapon when released into an environment that has an activated 5G power grid, where specific chemtrail formulations are being systematically sprayed and the populace has been vaccinated with flu vaccines and also where everpresent industrial pollution has compromised respiratory systems.
FACT No.3: This particular strain of coronavirus was created in a technologically advanced bioengineering laboratory and designed not only to kill on a mass scale, but also to sustain a global pandemic.
FACT No.4: This extremely virulent form of coronavirus was released in Wuhan, China during the same year that the city was designated a 5G demonstration zone which indicates the intention to commit genocide.
FACT No.5: The coronavirus bioweapon could only have been launched, and successfully covered up, by an exceedingly powerful group of state actors, corporate entities and transnational institutions that subscribe to theNew World Order globalist agenda.
FACT No.6: The Wuhan coronavirus pandemic is an unusually premeditated depopulation agent directed at China via a race-specific bioweapon similar to previous bioterrorist attacks against the Chinese such as the 2002 SARS outbreak.
FACT No.7: This bioterrorist attack could very well evolve into a slow-motion human extermination
event and has already had overwhelming impacts on the global economy as it has caused China’s economy to grind to a halt.

(Source:BIOENGINEERED CORONAVIRUS PANDEMIC: An elaborately staged global, false-flag, bioterror operation using real bioweapons aimed at multiple targets and with numerous NWO objectives)

Main Reasons for the Wuhan Coronavirus Pandemic
There are actually several reasons why the New World Order globalist cabal has carried out the extraordinarily complex scheme known as the “Wuhan coronavirus pandemic”.
The following list represents the primary objectives of this emerging pandemic and, therefore, the intentions of those who run the world from the shadows. Each clandestine goal shown below contributes considerably to the advancement of theNew World Order agenda.
While the implementation plan of the Wuhan coronavirus pandemic is being carried out every hour of every day throughout 2020, the true NWO motives will become crystal clear with each passing month. Globalism is on the march as a result of the nationalist governments and patriot movements springing up across the planet. Hence, the globalists put their plans to forge a Global Control Matrix into overdrive,via the coronavirus scare as a means of compensating for so much time lost.
It’s of paramount importance for every resident of planet Earth to understand that the NWO perpetrators have a timeline set to establish a totalitarian One World Government, which will operate quite like the tyrannical European Union. Clearly, the coronavirus was released in China in the interest of achieving various aims that will facilitate the transition to global governance.
The15 globalist goals that follow could only be accomplished with a highly organized conspiratorial plot by which coordinated acts of bioterrorism would have profound and pervasive consequences for the entire planet. Such a Tavistock-inspired psyop could then produce a sufficient level of manufactured consent where citizens everywhere demand the formation of a One World Government.

Now here’s the list of reasons why the nCOV-19 was
bioengineered. This list is however by no means exhaustive,and more motives might be added because other NWO motives will surely surface in the months ahead.

(1) Foist a One World Government upon the World Community of Nations
(2) Accelerate the inauguration of Jerusalem in Israel as the World Capital of a Global Government .
(3) Ensure the rapid and widespread military deployment of 5G Globally.
(4) Institute Forced vaccination programs worldwide with Coronavirus vaccines.
(5) Distract humanity from rampant globalist corruption and criminality.
(6) Foster a conducive environment for World War III and trigger an event for armed conflict.
(7) Fabricate a pretext for the controlled demolition of the global economic & financial System.
(8) Effectuate genocide in China, as well as global depopulation event capable of becoming a global human extermination event.
(9) To instill fear throughout the planet,in order to exert draconian controls over the mind-controlled masses.
(10) Expand and strengthen the UN powers granted to the World Health Organization toward a global medical tyranny.
(11) Coerce China to comply with American economic demands and trade policies.
(12) Advance the greater Israel project by disabling Chinese, Russian and Indian Support for Iran
(13) Establish a cashless society with a one World currency via a Single Digital Crypto currency.
(14) Infect the entire global population with the Coronavirus, so that future outbreaks can be triggered via vaccines, 5G, chemtrails etc.
(15) Pose a serious threat to Trump’s re-election with a Black Swan Event that crashes the stock market and collapses the U.S. economy.

By the way do you know why the Coronavirus was given the name?Read the following.Very sadistic indeed.



View attachment 1372031

Please follow the following link for more information.

CORONA CRASH 2020: The Real Conspiracy Behind the Globalist Takeover Plot | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary

Finally,please follow also the following link to see how you can protect yourself and loved ones from nCOV-2019

Here’s How Everyone Can Avoid Getting The Coronavirus | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary
Habari ikiandikwa kwa kiswahili inapoteza mvuto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui nikoje nikishaona habari ya kitu fulani kutokea halafu sababu/muanzilishi ikatajwa NWO, Illuminati au Freemason hua si ipi uzito sana. Hua nachukulia kama hadithi za kina Shigongo au movie za Marvel's.. Uanzishe corona uue watu then? Unataka utawale dunia ambayo watu wake umewaua au wako kwenye mateso halafu iwe na faida gani katika sphere zote kiuchumi, kisiasa au kijamii? Kwamba corona imeanzishwa kuwamaliza wenye 5G ambao ni wachina, sasa mbona south Korea, japan, italia ambao ni washirika wa mpinzani mkuu wa China kwenye 5G tech nao corona inawaua! USA nako imeripotiwa kifo kutokana na huu ugonjwa so wameunda bioweapon ambayo hawawezi kuimanage! Ukiwaza kwa umakini hamna theory yoyote ya mlengo huu inaleta mantiki
Duh,umeachwa nyuma sana mkuu and real missing out,those are the movers,shakers and rulers of this world.You better change and try to know them.Take time to read,utagundua ukweli huu.Nakushauri ufuate link ifuatayo.It is an alternative media link,where you have real information. Mainstream media is mainly fake news na news ambazo nia ni kupotosha watu kwa advantage ya NWO.Kwenye link hii wapo scientists renowned na wataalam mbali mbali wabobezi ambao wamefanya utafiti wa kina kuhusu issues mbali mbali.Sasa kwa vile tafiti hizi zinagusa uovu wa NWO kama huu wa COVID-19,huwezi kuziona kwenye mainstream media.

SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary | Revealing the True State of the Nation

Halafu please note that the mainstream media,yaani CNN,BBC.Sky News,Fox News,CNBC etc.,ziko owned na hao hao watu wa NWO,a.k.a Illuminati,
Skull and Bones,Freemasons,
Knights of Templar nk.

Wanataka na wameweza kutufanya wengi tuamini mainstream media, ili waendelee kufanya uovu wao unhindered.Wake up.

Fuata link zifuatazo,labda you will make sense out of it.Watu wana patents tayari za Corona na wanakula noti,halafu wewe unasema eti huoni logic ya wao kuua!See the patents in the following links.



CORONAVIRUS: A Globalist Bioweapon Created by DARPA, Big Pharma and Its British Overlords | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary


‘The Father of the Coronavirus Virus is the CDC’, Planted in China by the C.I.A. | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary

Halafu ona hii,CDC walitoa tangazo la kutafuta Quarantine Officer kabla ya janga la Corona.Is it a coincidence?Ona kwenye link ifuatayo!Akili kichwani mkuu.

Really, we want to know why the CDC posted job notices across the USA for a Quarantine Program Public Health Advisor on 11/15/2019—2 months before the Wuhan outbreak?! | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary
 
You are paranoid. You seem to imply that we will be better off living on an isolated ocean island where 'they' cannot reach us.
I am nor paranoidI.I believe we can live together harmoniously as children of the same God if only they can behave humanely.They seem to believe that we are less humane and deserve to be treated anyhow.It's sad to be realistic.
 
That's why, they started with CHINA b'cause had more 1.1Billion people.... Next is Africa..... Na watuua kama mbwa [emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kama kweli ni strategy ya kudepopulate mbona mpaka sasa corona imeua watu elfu kadhaa tu, kwa miaezi minne tangu october si ingekua imeua millims mbona hyo strategy ni dhaifu kuliko hata ajali za barabara ambazo kwa week tu hutimiza
hundred thousands deaths ?
 
Lakini kama kweli ni strategy ya kudepopulate mbona mpaka sasa corona imeua watu elfu kadhaa tu, kwa miaezi minne tangu october si ingekua imeua millims mbona hyo strategy ni dhaifu kuliko hata ajali za barabara ambazo kwa week tu hutimiza
hundred thousands deaths ?
Hebu angalia clip hii mkuu.Kumbuka kwamba bado watu wanaendelea kufa,na hata watu wakifa 20,000,to them that is an achievement! Clip hii inaumiza sana,kama una moyo mdogo usiiangalie.


 
I am not part of the controlling agents,but I know what is happening because the information is out there.

Believe me,you are mind controlled,and a slave.Mkuu hivi unajua hata minara ya simu inatumiwa for mind control?Inatisha sana,lakini ni kweli.Nyerere alitabiri kuhusu utumwa huu,akasema,"utumwa unaokuja ni mbaya zaidi kuliko utumwa uliopita,kwa kuwa itakuwa vigumu kujua kwamba wewe ni mtumwa."
Ni kweli na haya mambo yameanza kuongelewa tangu miaka ya 50 hivyo nyerere alikuwa ana information enzi hizo kulikuwa na Montauk Projects kwa ajili psychological warfare
 
Conspiracy theories, very ANTI-SEMITIC. Jerusalem, Iran na Israel zinaingiaje?? Wazungu hawana mawazo kama hayo ndo maana wataweza kui"tackle". Sisi weusi na wenzetu waarabu tunafikiria "short", acha nchi zetu ziumie
 
Back
Top Bottom