OPERATION CORONAVIRUS PANDEMIC: 16 Reasons for the Deployment of this Devastating Bioweapon in 2020

Ni kweli na haya mambo yameanza kuongelewa tangu miaka ya 50 hivyo nyerere alikuwa ana information enzi hizo kulikuwa na Montauk Projects kwa ajili psychological warfare
Oh,kumbe una taarifa mkuu,hongera.Watu uninformed mpaka leo wanaita taarifa hizo conspiracy theories.Yaani watu wamechelewa sana.
 
Oh,kumbe una taarifa mkuu,hongera.Watu uninformed mpaka leo wanaita taarifa hizo conspiracy theories.Yaani watu wamechelewa sana.
ukisoma vitabu vya Profesor mmoja mashuhuri Noam Chomsky mmarekani hata huwezi walaumu kwani wengi wako mind controlled na kwa sasa algorithm zinazotumika kwenye mitandao ya ya jamii na data huuzwa kwa makumpuni makubwa
 
Na hapo inapohitimishwa kuwa haileti mantiki na mwisho kuonekana kama stori tu, ndo hapo sasa propaganda zao zinakuwa zimefanikiwa kukucontrol ur perspective/ thinking/ belief.. Dunia sio mbaya ila walimwengu ni ny*ko.
Mleta mada hongera kwa analysis.
 
Mkuu na amini ni agenda za kupunguza population na ni illuminati,lengo ni easy control na governance

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata poppulation yenyewe haijaweza kupunguzwa hao wanaokwambia wanakufa kwa mamilion kwani we huoni mikutano yao wamejaa bila barakoa wala social distancing. Analia mikutano ya republican na democratic. Kuna kitu cha zaidi nadhani ni hofu waliokuwa wanajaribu kupandikiza kwa watu ama walizusha ugonjwa halafu wakuletee vifaa vyenye virusi ukidhani unapima ama kutibiwa kumbe ndo unauawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…