Asallamu allaykumu makamanda was cdm mimi kama mimi nlishaapa hatakuja kutokea hata siku moja nkaiunga ccm hata siku moja naichukiaa sana nasema ukwerii kabisaa hii ni kauli ya mkuu moja anaitoaga nami nasema ukwerii kabisa haitakuja kutokea Niko radhi nisijihusishe na siasa Hawa ni zaidi kansa.
Sasa CHADEMA "asili" ya nini hapo? Huwezi kupambanisha asili na isiyo asili. CHADEMA "asili" ilishindwa sababu ilikuwa ikipambana na kitu ambacho "si asili". Wacha "wasio asili" wakutane na "wasio asili" wenzao. After all, siku hizi vitu vingi si asili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.