Anipunguzie ilo kwomeMbona waha wanunua hayo maghorofa na wako kimya hawana mbwembwe kama hizi. Ndugu zetu wachanga kwesha habari yaoView attachment 3017469
Kuna mmoja yeye alitaka nchi ya sukumalandNyerere aliwahi kuongea na malkia wa uingereza na tawala zake kuhusu wachaga kutaka kujitenga na Tanganyika bara,
kisa wachaga walikuwa wanataka kufanya Kilimanjaro iwe nchi badala ya mkoa. ππππππππ
ππππHamna mpuuzi anakopa anunue ghorofa kkoo. Watu wanakopa wamiliki Mzigo mkubwa wa bidhaa au frame nyingi sio kununua ghorofa. Ghorofa linakata pesa chap.Tujifunze kucheza na mikopo ya kibenki tutafaulu sana.
1-4B ni hela ya kujenga Kkoo nje huko, Katikati pale unanunua Ghorofa za zamani 5B+ hapo hujajenga kuanzia Basement, wengi wenye hayo Maghorofa wanalia, ni future proof ila return yake ni ndogo sana.ππππHamna mpuuzi anakopa anunue ghorofa kkoo. Watu wanakopa wamiliki Mzigo mkubwa wa bidhaa au frame nyingi sio kununua ghorofa. Ghorofa linakata pesa chap.
1-4b ni pesa ya kudakia mali umafia wa mali, sio kumiliki ghorofa dakika chache unatoka mchezoni. Wanaomiliki maghorofa ni pesa yao kamili, cash, then sasa ndio anachukua mkopo, 800-900. Ni mwendo wa kuingiza tu, cnter za gsm na mapembelo cargo katikakati ya mji.
Stori za vijiweni mikoani huko
Kariakoo hata siku moja haiwezi kuwa ya waporipori
Matapangishwa maduka tu , muwadanganye walugaluga wenzenu mna miliki gorofa zima
..hata mimi nilidhani Kariakoo ni ya Wahindi, Waarabu, na Wapemba.
..vita kati ya Wachaga na Wakinga Kariakoo imeanza lini?π€£ππΎββοΈ