Sir kijangwa
Member
- Mar 10, 2014
- 81
- 38
Sidhan kama lina ukwel scissor hufanyka kwa sababu mahalumu ambazo znakuwa ni ulazma kuokoa maisha ya mama na mtoto mfano kama eclampsia na sababu zingnezo...ambazo zina tishia maisha ya mama na mtoto.Wadau ivi kwanini kipindi hiki baada ya zana hizi za matibabu kusambazwa karibia vituo vingi vya afya.njia kuu ya kujifungua imea kisu,jee! Hapo mwanzo mbona karibia wengi walikua wanajifungua kwa njia ya kawaida,au ni kwasababu upasuaji ukifanyika kituo kinapata pesa za wafadhili au tatizo wanawake wa mda huu sio majasiri au tatizo magonjwa mengi? Magonjwa gani yasio julikana au tatizo vyakula.vyakula gani visivyo julikana,karibuni wataalam kwas mawazo na ushsuri
Mambo ya epistiotomy..... inshort wanawake wa siku hizi wamekuwa wavivu kufanya mazoezi na wanakula kula hovyo ambapo hupelekea kujifungua kwa kisu na si kwa njia ya kawaida kama hapo zamaniHii ni katika kukopa maisha ya kina mama wakati wa uzazi. Kujifunga kwa njia ya kawaida ilikuwa ndiyo njia pekee na wengine waliporeza maisha kwa kutokwa na damu nyingi au kushindwa kusukuma.
Hata hivyo upasuaji hufanyika inapobidi
Kuna usemi "she is too posh to push".Mambo ya epistiotomy..... inshort wanawake wa siku hizi wamekuwa wavivu kufanya mazoezi na wanakula kula hovyo ambapo hupelekea kujifungua kwa kisu na si kwa njia ya kawaida kama hapo zamani
So kizazi cha sasa kimeridhika na hali halisi ya kula visu muda wote.....!?Kuna usemi "she is too posh to push".
Mazoezi wakati wa ujauzito uzito ni muhimu. Bibi zetu walikwenda shamba, walitafuta kuni na kuchoma maji wakiwa wajawazito na walitoa watoto kumi bila operationSo kizazi cha sasa kimeridhika na hali halisi ya kula visu muda wote.....!?
Hapo nilipo bold??Mazoezi wakati wa USA uzito ni muhimu. Bibi zetu walikwenda shamba, walitafuta kuni na kuchoma maji wakiwa wajawazito na walitoa watoto kumi bila operation
Typing errorHapo nilipo bold??
Kwa nini wanashindwa kusukumaHii ni katika kuokoa maisha ya kina mama wakati wa uzazi. Kujifunga kwa njia ya kawaida ilikuwa ndiyo njia pekee na wengine walipoteza maisha kwa kutokwa na damu nyingi au kushindwa kusukuma.
Hata hivyo upasuaji hufanyika inapobidi
wewe ulijifungua kwa njia ganiKuna matatizo ya kujifungua huwezi kwepa kisu,
Japo kwa sasa ni km fasheni mtu anabeba ujauzito na ananuwia au kuomba operation, eti tu njia ya uke isitanuke aiseee sijasoma lakini ni tatizo kubwa sana na sijui ni nani aliyewaambia ukizaa kawaida njia inatanuka
Maumbile pia yanachangia kama nyonga ni ndogoKwa nini wanashindwa kusukuma
mmh sawaMaumbile pia yanachangia kama nyonga ni ndogo
Bwana aliyoagiza, unanionaje Josewewe ulijifungua kwa njia gani
anhaa sawa,nikadhani ya kisuBwana aliyoagiza, unanionaje Jose
Ayamu strong na mtoto wa pili nilipush mwenyewe manesi walikuta nshamaliza kazianhaa sawa,nikadhani ya kisu
Uko vizuri sanaAyamu strong na mtoto wa pili nilipush mwenyewe manesi walikuta nshamaliza kazi