Operesheni Haki: Freeman Mbowe awasili Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba

Operesheni Haki: Freeman Mbowe awasili Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kama tulivyoahidi kuwavurumishia taarifa zote za operesheni haki inayoendelea kote nchini Tanzania, leo tena tunaendelea kuwaletea yanayojiri huko Pemba, ambako tayari Mwamba Mbowe ameishawasili huko Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba , na Kupachikwa jina jipya la USTAADHI ABUBAKAR MBOWE.

Mh Mbowe anatarajiwa kuongoza vikao vya majadiliano vya Kamati ya Utendaji ya CHADEMA mkoa wa Kusini Pemba.

Instagram.jpg

1625573240492.png

1625573325700.png

1625573410278.png
 
Mzee Mbowe angebaki mshauri wa chama akaachia damu changa ya vijana kuchukua uenyekiti. Vijana wengi tunataka mabadiliko lakini mzee zama zake zimeshapitwa na wakati.
 
Huyu si alikuwa mpambanaji wa covid vp havai barakoa na anasalimiana kwa mikono?

Ama ameunga juhudi za JPM.
 
Back
Top Bottom