Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Na wewe ni mchepuko wa Kayafa MwendazakeBila shaka Erythrocyte ni mke wa mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ni mchepuko wa Kayafa MwendazakeBila shaka Erythrocyte ni mke wa mbowe
Kwani umeambiwa huyu ni sawa na yule dhalim ambaye alitaka hata akipiga chafya Tanzania nzima ijue. Sisi wahusika tunafuatilia wewe kamfulie mumeo boxer zake tu ungoje kuliwa usikuHii ziara ya mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii.
Hilo ni anguko kubwa sana la mbowe na chadema
Nyie mataga haya ya huku hayawahusu, endeleeni kujenga sanamu ya fashisti mwendazakeMzee Mbowe angebaki mshauri wa chama akaachia damu changa ya vijana kuchukua uenyekiti. Vijana wengi tunataka mabadiliko lakini mzee zama zake zimeshapitwa na wakati.
Usiishi kwa kukariri, nina historia ndefu na CDM kuliko wewe mropokaji mitandaoni.Nyie mataga haya ya huku hayawahusu, endeleeni kujenga sanamu ya fashisti mwendazake
Hilo sanamu ni vituko mno!Nyie mataga haya ya huku hayawahusu, endeleeni kujenga sanamu ya fashisti mwendazake
Huna loloteUsiishi kwa kukariri, nina historia ndefu na CDM kuliko wewe mropokaji mitandaoni.
Hata Nyerere, Mkapa, Magufuli na Sokoine walikufa wakaacha majina ambayo mpaka leo bado yanatajwa. Kwahiyo chadema imekufa lkn jina lake bado lipo na ndo hilo analolitumia mwenyekiti kujinufaisha.
Kwanini unaandika uongo?Hata Nyerere, Mkapa, Magufuli na Sokoine walikufa wakaacha majina ambayo mpaka leo bado yanatajwa. Kwahiyo chadema imekufa lkn jina lake bado lipo na ndo hilo analolitumia mwenyekiti kujinufaisha.
We jamaa vipi? Watu hawafuatilii, wewe ni mbwa!? Wewe ni mmoja kati ya wale wanaofuatilia.Hii ziara ya Mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii. Hilo ni anguko kubwa sana la Mbowe na CHADEMA.
Ni heri anaeropokea mitandaoni kuliko wewe chooni. Pooole!Usiishi kwa kukariri, nina historia ndefu na CDM kuliko wewe mropokaji mitandaoni.
Jina lako na masikio uliyotegesha kama karai la shinyanga na mdomo bure kabisa. Akili kurieMzee Mbowe angebaki mshauri wa chama akaachia damu changa ya vijana kuchukua uenyekiti. Vijana wengi tunataka mabadiliko lakini mzee zama zake zimeshapitwa na wakati.
Mkuu erythrocyte, ujue huyo jamaa uliyemjibu hapo ndani anayo maumivu makali sana.Wacha weeee!!
Huna lolote wewe ni mataga msaka tonge tuUsiishi kwa kukariri, nina historia ndefu na CDM kuliko wewe mropokaji mitandaoni.
Umenikumbusha kisa cha Mwamba Abubakar Sadiq swahiba mkubwa wa Mtume Muhammad…USTAADHI ABUBAKAR MBOWE.
Hii ziara ya Mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii. Hilo ni anguko kubwa sana la Mbowe na CHADEMA.
Akirud huku Utaskia Anamtukana Rais hatak mikutano ya Kisiasa wakat Tz nzima anazungukaKama tulivyoahidi kuwavurumishia taarifa zote za operesheni haki inayoendelea kote nchini Tanzania, leo tena tunaendelea kuwaletea yanayojiri huko Pemba, ambako tayari Mwamba Mbowe ameishawasili huko Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba , na Kupachikwa jina jipya la USTAADHI ABUBAKAR MBOWE.
Mh Mbowe anatarajiwa kuongoza vikao vya majadiliano vya Kamati ya Utendaji ya CHADEMA mkoa wa Kusini Pemba.
View attachment 1843215
View attachment 1843293
View attachment 1843294
View attachment 1843295
Tunataka mikutano ya hadhara , siyo hii ya ndaniAkirud huku Utaskia Anamtukana Rais hatak mikutano ya Kisiasa wakat Tz nzima anazunguka