Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwani si CHADEMA ilishakufa? Au bado ipo? Hahahaha!Hii ziara ya Mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii. Hilo ni anguko kubwa sana la Mbowe na CHADEMA
Akijibu nistueKwani si CHADEMA ilishakufa? Au bado ipo? Hahahaha
Mbowe kwa sasa hana jipya, ni basi tu jina la chama linambeba.Hii ziara ya mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii.
Hilo ni anguko kubwa sana la mbowe na chadema
Wacha weeee!!Mbowe kwa sasa hana jipya, ni basi tu jina la chama linambeba.
Mnatskiwa msifuatilie subirieni matokeo yakeHii ziara ya mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii.
Hilo ni anguko kubwa sana la mbowe na chadema
Mkuu una siasa za kistaarabu sana. Ukisikia siasa sio uadui ndio hii ya kwako. Mungu akubariki.Wacha weeee !!!
Kama huifuatilii, umejuaje kama haina mvuto?Hii ziara ya mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii.
Hilo ni anguko kubwa sana la mbowe na chadema
Wewe ni Meza kumbe siyo MtuHii ziara ya mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii.
Hilo ni anguko kubwa sana la mbowe na chadema
Wala hujakoseaBila shaka Erythrocyte ni mke wa mbowe
Nikki wa pili kazindua nini LEO?Hii ziara ya mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii.
Hilo ni anguko kubwa sana la mbowe na chadema
Jina la Chama kilichokufa litambebaje?Mbowe kwa sasa hana jipya, ni basi tu jina la chama linambeba.