Operesheni Haki: Freeman Mbowe awasili Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba

Hii ziara ya mbowe imekosa kabisa mvuto, watu hata hatuifatilii.
Hilo ni anguko kubwa sana la mbowe na chadema
Kwani umeambiwa huyu ni sawa na yule dhalim ambaye alitaka hata akipiga chafya Tanzania nzima ijue. Sisi wahusika tunafuatilia wewe kamfulie mumeo boxer zake tu ungoje kuliwa usiku
 
Mzee Mbowe angebaki mshauri wa chama akaachia damu changa ya vijana kuchukua uenyekiti. Vijana wengi tunataka mabadiliko lakini mzee zama zake zimeshapitwa na wakati.
Nyie mataga haya ya huku hayawahusu, endeleeni kujenga sanamu ya fashisti mwendazake
 
Kwani leo ijumaa mbona kavaa kanzu au ndio kutaka kukubalika na jamii ya wapembaaaaa?haisaidii bora tu angevaaa jinzi yake na tshirt yake ya chama
 
Akirud huku Utaskia Anamtukana Rais hatak mikutano ya Kisiasa wakat Tz nzima anazunguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…