Operesheni Haki: Freeman Mbowe awasili Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba


06 JULAI 2021
Pemba, Tanzania

LIVE : Chadema yatoa msimamo wake juu ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Konde


Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe atinga Pemba na kutoa hotuba nzito kuhusu chama imara na kutoa elimu ya katiba ya chama katika kukiendesha chama kwa ujumla ikiwemo uteuzi wa wagombea wa nafasi za kisiasa za ubunge, uwakilishi , ubunge Afrika Mashariki kupitia chama cha CHADEMA.

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh. Freeman Mbowe atoa msimamo wa chama kutokuyumba kuhusu chaguzi na aanika yaliyofanywa jimbo la Konde na kuonekana Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC.
 
Watu wanaopenda na kutetea haki, nyuso zao zinapendeza na kuvutia kama ilivyo mioyp yao.

Lakini kwa upande mwingine, mijitu minafiki isiyopenda haki, hata ikavaa nini, hata yakawa vijana, utadhani ni vikongwe. Mtazame Polepole, bila kuutafuta umri wake halisi, kwa muonekano tu, niambie anaweza kuwa na umri gani?
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Under Samia Suluhu... sioni wapinzani waki flourish....amefanikiwa ku create environment flani ya kutokuonea wengine, kisimamia haki na kuwa na umoja,,, wapinzani lazima mje na really good strategic plans
 
Hela anatoa wapi za kufikia maeneo yote haya na bado ,Abubakari mbowe BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…