EeeeNHeeee!
Mkienda kidigitali hivyo, hakika hata walioziba masikio watayafungua na kuwasikiliza.
Kazi kubwa kwenu katika kutumia njia hii, ni namna ya kufungasha (package) ujumbe ili uwe rahisi kuutafuna na kuuchengua (digest?).
Hapa nawapa pointi stahiki yenu, ni kazi nzuri.
Lakini kumbukeni, 'innovation' haiwezi kuwa mbadala wa sera zinazokubalika na wengi. Akili zenu siku zote, zielekezeni huko.
Kwa maoni yangu, hapo ndipo palipobaki, mkiweza kuzipolish vizuri sera zenu zieleweke na wananchi, kazi ya kumsukuma mlevi shimoni itakuwa rahisi, kama a ba cha, da