Operesheni Haki, Songea: Benson Kigaila ongoza semina, majadiliano na vikao vya ndani

Operesheni Haki, Songea: Benson Kigaila ongoza semina, majadiliano na vikao vya ndani

Mkakati kabambe wa kuchagiza Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi , ukiambatana na mdogo wake aitwaye Chadema Digital ambao uko Kanda ya Kusini , leo umetikisa Mkoa wa Ruvuma kwa kuvunja rekodi ya Mahudhurio

Naibu Katibu Mkuu Mh Benson Kigaila aliongoza semina , majadiliano na vikao vya ndani

View attachment 1820959
Dah! Kweli Chadema kwishnei. Yaani tangu jana hadi Leo hakuna wachangiaji kama humu! Ngoja nikupe kampani mwaya!!!
 
Safi sana CDM, hii tunaita Team building & retreat.
Kuna watu wananuna sana ila wawe wapole tu kwa sababu mchezo huu hautaki mabunduki wala kutekana.
 
Mkakati kabambe wa kuchagiza Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, ukiambatana na mdogo wake aitwaye Chadema Digital ambao uko Kanda ya Kusini, leo umetikisa Mkoa wa Ruvuma kwa kuvunja rekodi ya Mahudhurio.

Naibu Katibu Mkuu Mh Benson Kigaila aliongoza semina, majadiliano na vikao vya ndani.

View attachment 1820959
Hii oparesheni ni Babkubwa
 
Mkakati kabambe wa kuchagiza Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, ukiambatana na mdogo wake aitwaye Chadema Digital ambao uko Kanda ya Kusini, leo umetikisa Mkoa wa Ruvuma kwa kuvunja rekodi ya Mahudhurio.

Naibu Katibu Mkuu Mh Benson Kigaila aliongoza semina, majadiliano na vikao vya ndani.

View attachment 1820959
Utawasikia ,chadema imekufa ,uku kila siku wanachungulia pitia CHADEMA DIGITAL APP
 
Back
Top Bottom