Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Dah! Kweli Chadema kwishnei. Yaani tangu jana hadi Leo hakuna wachangiaji kama humu! Ngoja nikupe kampani mwaya!!!Mkakati kabambe wa kuchagiza Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi , ukiambatana na mdogo wake aitwaye Chadema Digital ambao uko Kanda ya Kusini , leo umetikisa Mkoa wa Ruvuma kwa kuvunja rekodi ya Mahudhurio
Naibu Katibu Mkuu Mh Benson Kigaila aliongoza semina , majadiliano na vikao vya ndani
View attachment 1820959
Lengo ni kufikisha habari si kuchangiwaDah! Kweli Chadema kwishnei. Yaani tangu jana hadi Leo hakuna wachangiaji kama humu! Ngoja nikupe kampani mwaya!!!
bora umewaumbua sababu siku hizi watu watumia platform hii kuwadaa wananchiKutikisa kivip mbn mi nipo hap town sijaona chochote zaid ya mkutan wa kidin na rose muhando HP matalawe
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Hii oparesheni ni BabkubwaMkakati kabambe wa kuchagiza Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, ukiambatana na mdogo wake aitwaye Chadema Digital ambao uko Kanda ya Kusini, leo umetikisa Mkoa wa Ruvuma kwa kuvunja rekodi ya Mahudhurio.
Naibu Katibu Mkuu Mh Benson Kigaila aliongoza semina, majadiliano na vikao vya ndani.
View attachment 1820959
Tumehadaa nini , lini na wapi ?bora umewaumbua sababu siku hizi watu watumia platform hii kuwadaa wananchi
wanune wasinune sisi twasonga mbele. Chadema sio NCCRSafi sana CDM, hii tunaita Team building & retreat.
Kuna watu wananuna sana ila wawe wapole tu kwa sababu mchezo huu hautaki mabunduki wala kutekana.
[emoji106][emoji106][emoji112][emoji113]Wewe paroko ndenji baki kanisani
Sawa mkuu tuunge juhud za chama hata kama ni fake newslabda hukuwa songea mjini mbona mimi nliona gari za chadema zinaelekea mitaa ya parokia,
[/QUOTE]nmekosea papoki na ni kweli walikuwa pale st nary mpk sa 12 jioni janaSawa mkuu tuunge juhud za chama hata kama ni fake news
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Utawasikia ,chadema imekufa ,uku kila siku wanachungulia pitia CHADEMA DIGITAL APPMkakati kabambe wa kuchagiza Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, ukiambatana na mdogo wake aitwaye Chadema Digital ambao uko Kanda ya Kusini, leo umetikisa Mkoa wa Ruvuma kwa kuvunja rekodi ya Mahudhurio.
Naibu Katibu Mkuu Mh Benson Kigaila aliongoza semina, majadiliano na vikao vya ndani.
View attachment 1820959