MBONA KINANUKIATU HICHO HAKINUKI WALA NINI HIVYO NI SAWA NA VIKAO VYA SALOON KINA MAMA HAVINA NENOKimenuka !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBONA KINANUKIATU HICHO HAKINUKI WALA NINI HIVYO NI SAWA NA VIKAO VYA SALOON KINA MAMA HAVINA NENOKimenuka !
Umechanganyikiwa Luna ccm vs Sukuma gang,ccm wanasema 10 kwa Samia Sukuma gang mapovu yanawatoka[emoji23][emoji23][emoji23]Chadema ni chama cha kijinga sana!
Sasa hivi wanademka eti Samia mi 10 tena
Kwa nini hawakutoa maneno makali ikulu ilipo hamia Chato. Tuache mambo ambayo hayana tija kwa nchi yetu. Ametumia busara kuzogeza huduma kwa mabolozi na wafanya biashara kuliko wao kufurika Dodoma. Hii ni busara na unyenyekevu kwa vitendo.Hatimae taifa limepata "UHURU" kutoka kwa mkoloni mweusi.
Mama Samia mungu ampe umri mrefu na wenye afya, njia anayopita hakika inaleta faraja sana kwa wananchi. Watu wanamtolea maneno maswala ya kurudisha "IKULU" ndani ya Dar ila hawaoni sababu zinazomfanya awepo Dar, wamekaa kuishi maisha kwa kukariri na wala hawajui sababu ya kwanini Nyerere alifanya Dodoma kuwa Mji Mkuu".
Kuwepo kwake Dar sasa hivi kuna rahisisha kuonana na;
1) Wafanyabiashara wa kubwa ulimwenguni, africa na tanzania (Mfano Alhaj Aliko Dangote) ili kuwashawishi warudishe biashara nchini na wafungue viwanda zaidi, ili watanzania wapate ajira.
2) Mabalozi wa mataifa mbali mbali ambao ofisi zao zipo Dar Es Salaam, kuwashawishi walete wafanyabiashara kutoka katika mataifa yao (Mfano Mabalozi Wa Saudia jana alipokutana nao).
3) Kuifufua Dar Es Salaam kuwa "BUSINESS HUB & CITY" baada ya kuuliwa kwa miaka 5.
4) Kuweka mazingira mazuri na wafanyabiashara waliowekeza Dar.
Wewe na chama chako CCM ni wapumbavu kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23]Chadema ni chama cha kijinga sana!
Sasa hivi wanademka eti Samia mi 10 tena
Mkuu!Wewe na chama chako CCM ni wapumbavu kabisa.
Mkuu sasa mimi si nakuunga mkono? Yani ili kuwakomoa hawa sukuma gang inabidi ccm na Samia wapewe mi 10 tena na mr belgiji atasubiri sana hadi 2100,,Umechanganyikiwa Luna ccm vs Sukuma gang,ccm wanasema 10 kwa Samia Sukuma gang mapovu yanawatoka
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] daaah kipindi Cha jiwe katiba ilikuwa hii hii lakini Hali ilikuaje?Huo uhuru wa nyie kuzunguka na kuyasema yote ni kwa sababu mnalindwa na katiba hii hii sasa sijui mnataka katiba ya kuwaruhusu kufanya hadi uhaini muachwe? ifike mahali CHADEMA muwe na agenda za maana sio hizi drama mnazofanya now itafika mahali wananchi watawachoka hata wa kuwasikiliza kwenye mikutano mkakosa.
Unajuaje kwamba wananchi wanawachoka?Huo uhuru wa nyie kuzunguka na kuyasema yote ni kwa sababu mnalindwa na katiba hii hii sasa sijui mnataka katiba ya kuwaruhusu kufanya hadi uhaini muachwe? ifike mahali CHADEMA muwe na agenda za maana sio hizi drama mnazofanya now itafika mahali wananchi watawachoka hata wa kuwasikiliza kwenye mikutano mkakosa.
Akikujibu nistueUnajuaje kwamba wananchi wanawachoka?
Ishara ya wananchi kuwachoka ni pamoja na kuwaapuuza hasa katika mikutano yao hadharaUnajuaje kwamba wananchi wanawachoka?
Kwani hii katiba iliyopo inambagua nani? au inabagua chama kipi?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] daaah kipindi Cha jiwe katiba ilikuwa hii hii lakini Hali ilikuaje?
Katiba inamakosa mengi Sana!!
Lkn hii katiba mpya haisaidii chadema au cuf, hii ni katiba ya nchi na wananchi wake, kwanini CCM wanaigomea?
JK kazushiwa jambo baya huko fb
Nimeona hiyo kitu nikashangaa !!JK kazushiwa jambo baya huko fb