Operesheni Haki yaingia Kanda ya Unguja, Freeman Mbowe kuongoza kikosi kazi cha mafunzo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakuu , Tunaomba radhi sana kutokana na usumbufu wa Taarifa zetu nyingi sana kuhusiana na Operesheni haki , mtusamehe sana , hatuna namna ya kufanya zaidi ya kuwahabarisha jambo hili muhimu.

Leo tena kampeni hii muhimu imefika unguja ambako Abubakar Mbowe anatarajiwa kuongoza vikao vya mafunzo na majadiliano , akishirikiana na viongozi wengine , Salum Mwalimu, Benson Kigaila na John Mrema.


 
tangia ameanzisha hiyo kampeni amevuna wanachama wangapi?
 
Hizi operesheni ndio zinaleta chokochoko, zipigwe marufuku
 
Kuwa mpinzani inaitajika uwe na moyo wa kujitolea zaidi kuliko maslahi yako binafsi.
 
Asante sana tunafurahi kusikia harakati hizi za ukombozi chini ya jemedari Mbowe na wengine, Mungu awape ulinzi na hekima tele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…