Operesheni Haki yaingia Kanda ya Ziwa Victoria: Freeman Mbowe atua Mwanza

Operesheni Haki yaingia Kanda ya Ziwa Victoria: Freeman Mbowe atua Mwanza

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Amepokelewa na Bavicha Mkoa Wa Mwanza , ambapo taarifa zinaonyesha kwamba Mkakati wa Operesheni Haki utakuwa Kanda hiyo kwa muda wa siku 3 , Kuanzia Juni mosi mpaka Juni tatu .

Mungu ibariki Chadema .


 
Chadema_kaskazini_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_Mhe.Freeman_Mbowe_akihutubia_waju...jpg

Governor_Kaduma_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_Mhe._Freeman_Mbowe_akizungumzia_Mfu...jpg

chadematz’s_Instagram_photo:_“Sylvester_Masinde_Mjumbe_wa_bodi_ya_wadhamini_ya_Chama,_leo_Juni...jpg
 
Nafikiri itakuwa si vibaya makamanda hao 19 walioko bungeni, wakiomba radhi tu kama inavyoweza tokea kwa binadamu yoyote, kwa mihemko waliyofanya ili maisha yaendelee.Manake wanachama nafikiri walisikitishwa na move yao kukimbilia bungeni bila ridhaa ,hivyo kuonekana kama kusaliti chama chao, maana watu kama akina Mdee,Bulaya,Matiko,Kishoa na wengine,ukweli ni kwamba walipitia vipindi vigumu vya kuswekwa ndani, lakini kwa sababu ya ukakamavu wao , wanachama wa CDM nafikiri walikuwa wamewaamini sana kiasi cha kwamba kila wakati walikuwa tayari kuwachangia na kuwalipia dhamana walipokuwa matatani na kesi zilipowaandama......sijui kitu gani kiliwapata aisee baadae na kufikia kuchemsha.... Wakiomba msamaha Wasameheni jamani nyie CDM......na nikitazama sura za hao wazee zinajieleza vizuri sana.....
 
Nafikiri itakuwa si vibaya makamanda hao 19 walioko bungeni, wakiomba radhi tu kama inavyoweza tokea kwa binadamu yoyote, kwa mihemko waliyofanya ili maisha yaendelee.Manake wanachama nafikiri walisikitishwa na move yao kukimbilia bungeni bila ridhaa ,hivyo kuonekana kama kusaliti chama chao, maana watu kama akina Mdee,Bulaya,Matiko,Kishoa na wengine,ukweli ni kwamba walipitia vipindi vigumu vya kuswekwa ndani, lakini kwa sababu ya ukakamavu wao , wanachama wa CDM nafikiri walikuwa wamewaamini sana kiasi cha kwamba kila wakati walikuwa tayari kuwachangia na kuwalipia dhamana walipokuwa matatani na kesi zilipowaandama......sijui kitu gani kiliwapata aisee baadae na kufikia kuchemsha.... Wakiomba msamaha Wasameheni jamani nyie CDM......na nikitazama sura za hao wazee zinajieleza vizuri sana.....
Kuomba radhi ni pamoja na kujivua ubunge wao feki
 
Nafikiri itakuwa si vibaya makamanda hao 19 walioko bungeni, wakiomba radhi tu kama inavyoweza tokea kwa binadamu yoyote, kwa mihemko waliyofanya ili maisha yaendelee.Manake wanachama nafikiri walisikitishwa na move yao kukimbilia bungeni bila ridhaa ,hivyo kuonekana kama kusaliti chama chao, maana watu kama akina Mdee,Bulaya,Matiko,Kishoa na wengine,ukweli ni kwamba walipitia vipindi vigumu vya kuswekwa ndani, lakini kwa sababu ya ukakamavu wao , wanachama wa CDM nafikiri walikuwa wamewaamini sana kiasi cha kwamba kila wakati walikuwa tayari kuwachangia na kuwalipia dhamana walipokuwa matatani na kesi zilipowaandama......sijui kitu gani kiliwapata aisee baadae na kufikia kuchemsha.... Wakiomba msamaha Wasameheni jamani nyie CDM......na nikitazama sura za hao wazee zinajieleza vizuri sana.....
Waliwahi nafasi kimsingi hizo nafasi mbowe alitaka kuweka watu wake huko
 
Kuomba radhi ni pamoja na kujivua ubunge wao feki
Yatakuwa maajabu ya aina yake, wakiomba msamaha huku wakiendelea kwenye njia zilizosababisha waombe msamaha!

Na hata sielewi chama kitaanzia wapi kuwasamehe kwa hali ya namna hiyo!

Lakini maajabu ndani ya nchi hii hayana kipimo, lolote linawezekana chini ya anga hii tuliyomo.

Labda niongezee tu hapa:

Hiki kitakuwa kipimo muhimu sana cha hawa wabunge feki juu ya uimara wao ndani ya chama; kwa maana mazingira ambayo ndiyo ingekuwa sababu yao kubwa iliyowasukumiza hadi kukisaliti chama, sasa mazingira hayo hayapo tena.
Wakiendelea Bungeni wakati huu, kila mtu atajuwa kwamba wapo huko kwa maslahi binafsi tu basi.
 
Kiongozi anaeaminiwa na wale anaowaongoza, nikitazama sura za hao wazee zinajieleza vizuri sana, ndio maana nasikia wale wajuaji 19 wameanza kuomba msamaha mafichoni.
Ongeza sauti hapo kwenye kuomba msamaha.
 
Back
Top Bottom