Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
kila siku siyo JumapiliHuo umma 2020 ulikuwa usingizini?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila siku siyo JumapiliHuo umma 2020 ulikuwa usingizini?!
Wewe commando mlaghai sanaChadema wakitumia siasa nzuri 2025 watabeba majimbo mengi Sana.
Porojo tupu ! jiwe alipendelea Chato tu , hakuwa na msaada wowote eneo lingine angalia wavuvi walivyouawa kinyamaKuna dude mmelitengeneza kuhusu kanda hii, msipolikana litawaadabisha 2025.
Unaweza kuwa sahihi ila uko tofauti na wapiga debe wenu!Porojo tupu ! jiwe alipendelea Chato tu , hakuwa na msaada wowote eneo lingine angalia wavuvi walivyouawa kinyama
Chadema imejipanga kuliko unavyodhaniUnaweza kuwa sahihi ila uko tofauti na wapiga debe wenu!
Najua Mbowe ameenda hapo strategically kabla jua halijazama, ila anapaswa awe makini na wapiga debe wenu kwanza, kelele nyingi halafu shida anaipata peke yake.
Uko sawa ila na hili ninalokwambia lifanyieni kazi, msifikili ni dogo hiliChadema imejipanga kuliko unavyodhani
Matusi ni kukomalia kikundi haramu cha #sukumagang?! Na Mbona mlisema CHADEMA ni mtandaoni tu, na watu wengi hawatumii mtandao?!Uko sawa ila na hili ninalokwambia lifanyieni kazi, msifikili ni dogo hili
Wapiga debe wenu watawaweka pabaya, maana wao wanatukana huku wamejificha humu, alafu nyinyi ndo mnaenda Front kupambana na watukanwaji.
Na hii ndio sababu meko kaaga dunia, mungu ni fundi.Huo umma 2020 ulikuwa usingizini?!
Ok sawa tuendelee kupambana ila kumbuka hao unao waita sukuma gang ni kina kirefuMatusi ni kukomalia kikundi haramu cha #sukumagang?! Na Mbona mlisema CHADEMA ni mtandaoni tu, na watu wengi hawatumii mtandao?!
Hiki kinachofanywa na Chadema ilibidi kiwe kinafanywa na ccm lakini,ccm wao kipaumbele Chao ni kubaki Madarakani,hawana ajenda nyingine
ugumu upo kwenye mtazamo wako. hakuna alkejua kama JPM ataondoka bila kumaliza muda wake.Ngumu Sana zaidi ya watu wengi wazaniavyo.