Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaKiongozi anaeaminiwa na wale anaowaongoza, nikitazama sura za hao wazee zinajieleza vizuri sana, ndio maana nasikia wale wajuaji 19 wameanza kuomba msamaha mafichoni.
Kama CCM WANASEHEANA, ninyi vya upinzani nini msisahemeana. ppHakika
Kuhusu nini ?Kama CCM WANASEHEANA, ninyi vya upinzani nini msisahemeana. pp
Mkuu kiswahili chako kigumu sana!Kama CCM WANASEHEANA, ninyi vya upinzani nini msisahemeana. pp
Kuomba radhi ni pamoja na kujivua ubunge wao fekiNafikiri itakuwa si vibaya makamanda hao 19 walioko bungeni, wakiomba radhi tu kama inavyoweza tokea kwa binadamu yoyote, kwa mihemko waliyofanya ili maisha yaendelee.Manake wanachama nafikiri walisikitishwa na move yao kukimbilia bungeni bila ridhaa ,hivyo kuonekana kama kusaliti chama chao, maana watu kama akina Mdee,Bulaya,Matiko,Kishoa na wengine,ukweli ni kwamba walipitia vipindi vigumu vya kuswekwa ndani, lakini kwa sababu ya ukakamavu wao , wanachama wa CDM nafikiri walikuwa wamewaamini sana kiasi cha kwamba kila wakati walikuwa tayari kuwachangia na kuwalipia dhamana walipokuwa matatani na kesi zilipowaandama......sijui kitu gani kiliwapata aisee baadae na kufikia kuchemsha.... Wakiomba msamaha Wasameheni jamani nyie CDM......na nikitazama sura za hao wazee zinajieleza vizuri sana.....
Waliwahi nafasi kimsingi hizo nafasi mbowe alitaka kuweka watu wake hukoNafikiri itakuwa si vibaya makamanda hao 19 walioko bungeni, wakiomba radhi tu kama inavyoweza tokea kwa binadamu yoyote, kwa mihemko waliyofanya ili maisha yaendelee.Manake wanachama nafikiri walisikitishwa na move yao kukimbilia bungeni bila ridhaa ,hivyo kuonekana kama kusaliti chama chao, maana watu kama akina Mdee,Bulaya,Matiko,Kishoa na wengine,ukweli ni kwamba walipitia vipindi vigumu vya kuswekwa ndani, lakini kwa sababu ya ukakamavu wao , wanachama wa CDM nafikiri walikuwa wamewaamini sana kiasi cha kwamba kila wakati walikuwa tayari kuwachangia na kuwalipia dhamana walipokuwa matatani na kesi zilipowaandama......sijui kitu gani kiliwapata aisee baadae na kufikia kuchemsha.... Wakiomba msamaha Wasameheni jamani nyie CDM......na nikitazama sura za hao wazee zinajieleza vizuri sana.....
Uongo utakusaidia nini ?Waliwahi nafasi kimsingi hizo nafasi mbowe alitaka kuweka watu wake huko
Yatakuwa maajabu ya aina yake, wakiomba msamaha huku wakiendelea kwenye njia zilizosababisha waombe msamaha!Kuomba radhi ni pamoja na kujivua ubunge wao feki
Lengo ni kuchukua nchiChadema wakitumia siasa nzuri 2025 watabeba majimbo mengi Sana.
Unaota kama unaamini kwamba ccm watakubali tu kirahisi kuondolewa madarakani.Chadema wakitumia siasa nzuri 2025 watabeba majimbo mengi Sana.
Hata wasipokubali umma ukiamua hakuna tena wa kupingaUnaota kama unaamini kwamba ccm watakubali tu kirahisi kuondolewa madarakani.
Ongeza sauti hapo kwenye kuomba msamaha.Kiongozi anaeaminiwa na wale anaowaongoza, nikitazama sura za hao wazee zinajieleza vizuri sana, ndio maana nasikia wale wajuaji 19 wameanza kuomba msamaha mafichoni.
Ngumu Sana zaidi ya watu wengi wazaniavyo.Lengo ni kuchukua nchi
Huo umma 2020 ulikuwa usingizini?!Hata wasipokubali umma ukiamua hakuna tena wa kupinga