Operesheni maalum ya Urusi dhidi ya Ukraine ikiisha NATO itavunjika

Operesheni maalum ya Urusi dhidi ya Ukraine ikiisha NATO itavunjika

Kwa hii Vita ya Ukraine,
NATO wamevuliwa nguo sana na Putin[emoji4]
JamiiForums-757781212.jpg
 
Mkuu Yani mfano wajerumani wanajua kabisa Urusi kawa provoked kwa sababu ya Nord stream3 hakuna kingine.
Mwangalie Macron anavyohaha.
Sema kaka mkubwa anawawekea biti kwa maslahi yake..
Kwanza wa ulaya hawataki kabisa kusikia habari ya vita,poa sio vita TU,Bali vita na. Urusi.
Hebu fikiria Putin kwa utani TU aliwahi kusifu kombora lake moja hivi hapo zamani baada ya kulifantyia majaribio na kufanikiwa alisema kombora hili moja TU linaweza kuifuta Ufaransa kwenye ramani ya dunia.

Sasa Kuna nchi inataka vita vya hivyo?
Unadhani Ulaya wanaweza kujikomboa kutoka kwenye himaya ya Marekani.?
 
Hii Vita ya Ukraine ikiendelea huoni kama uhusiano kati ya Urusi na Ulaya utazidi kudidimia zaidi.
Bro ni ukweli uhusiano utadidimia lakini baada ya miaka utarudi TU.
Kwani wazungu wameanza kupigana Leo?

Urusi ilipigana na china,Japan,Finland,german na nchi nyingine lakini baadae walirudisha mahusiano.
Leo mkataba mkubwa kabisa wa gesi upo kati ya Urusi na German.

Huu mgogoro wakubwa na wajuzi wa mambo wote ulaya wanajua Urusi ana haki ya kujilinda ila sema wakisema ukweli watamuudhibkaka mkubwa USA.

Ni Marekani ndio kautengeneza mgogoro huu kwa makusudi ili kutimiza malengo yake.amabyo sasa yamejulikani ni kuamaliza Urusi kiuchumi.

Mkuu tuache ushabiki Urusi hapa ana haki ya kujilinda ,USA kuwa mlangoni pa Urusi ni janga kwa Urusi.

Huu ulikua ni mtego mkubwa sana.

Putin ana tamani kukuza uchumi wake kwa kufanya biashara na Ulaya gesi na mafuta n.k.
Sasa USA kamaetia mtego,achague kufanya biashara na Ulaya,lakini Ukraine iwakaribishe NATO mlangoni,

Ama Ukraine Asijiunge na NATO lakini Urusi anyang'anywe fursa ya kufanya biashara na Ulaya..

Kwa akilia za kiusalama na kiulinzi ni heri kuwa masikini huru,kuliko kuwa tajiri mtumwa.
Kwa mtazamo wangu Putin yuko.sahihi.

Uhusiano na utayumba Leo lakini baadae utarudi ingawa Urusi itakua imeshaumia sana na kutumia nguvu nyingi kujenga uchumi wake.
 
Unadhani Ulaya wanaweza kujikomboa kutoka kwenye himaya ya Marekani.?
Muda umekaribia sana wa ulaya kujikomboa kutoka utumwa wa Marekani.
Hii vita ikiisha itasababisha mifumo mingi sana kubadilika hapa duniani.

Mfano.
Marekani kaivamia Iraq kua wa WMD,lakini hakuwekewa vikwazo na mtu yoyote Dunia iliona na kushuhudi.
Na wala silaha hizo za maangamizi hawakuzikuta.
Kumbe ulikua chuku TU kwa Sadam Huseini.
Wamepigwa Gadafi,
Hakuna aliewaqekea vikwazo.
Dunia imeona na kishuhudia..

Sasa watu wanajiuliza Leo imekuaje Urusi kuivamia Ukraine wanasema hakuna nchi katika Karne hii inawwza kuivamia nchi nyingine,Hii kitu imeamsha hasira sana kwa nchi nyingi duniani.
Haya ugomvi ni WA USA na Urusi kupitia Ukraine Leo mfano nchi za India ,china na nchi nyingine zinalazimishwa ziiwekee vikwazo Urusi.
Ugomvi wao ulaya sisi Asia tuiwekee Urusi vikwazo.hii imeleta hasira sana.

Haya ona juzi tuliambiwa Maduro sio.raisi ni dikteta na vikwazo kawekwa na kumtambua Gauido,
Leo baada ya mgogoro Maduro kawa kuku na vikwazo kaondolewa. Ala kafanyaje Maduro Hadi kaondolewa vikwazo?
Dunia inaona.
Haya hatukuwabhi kusikia taasisi kama Fifa kuilaumu USA ama hata kujitenga.
UN na taasisi kama hizo Leo zooote zinailaumu Urusi.
Kwa hiyo Dunia imeona kumbe Kuna mataifa na mataifa Bora.
Baada ya hii vita kutatokea mageuzi makubwa mno kwenye taasisi nyingi na mifumo ya kidunia.
Marekani Aziburuza sana nchi na taasisi hizo.watu watataka usawa.
 

Ukraine Crisis Boosts Macron's Call for a European Army​

Putin keeps trying to divide the U.S. and Europe, but he might just create two formidable enemies.

Ina maana NATO haitoshi?

Hapana Nia ni kuitema Marakani baraani ulaya.
Kwani wanaona kama USA ni kirusi hatari kwa usalama wa ulaya..
Kukiwa na European Army Urusi Haina tataizo,shida na USA TU.
Bila USA hakuna NATO....
 
Bila USA hakuna NATO....
Uko sawa kabisa Mkuu.bila USA hakuna. NATO.
NATO ni chombo Cha USA.
Ulaya hawataki kuwa kwenye umoja wa kijeshi unaoongozwa na Marekani.
Wanataka kuwa na umoja wao wa kijeshi bila Marekani.
Na wala Hana hofu kabisa na Urusi,na Urusi Hana hofu nao.
Urusi ana hofu na Marekani TU.
Kwa sababu Marekani siku zote anataka kuimaliza Urusi.
 
Uko sawa kabisa Mkuu.bila USA hakuna. NATO.
NATO ni chombo Cha USA.
Ulaya hawataki kuwa kwenye umoja wa kijeshi unaoongozwa na Marekani.
Wanataka kuwa na umoja wao wa kijeshi bila Marekani.
Na wala Hana hofu kabisa na Urusi,na Urusi Hana hofu nao.
Urusi ana hofu na Marekani TU.
Kwa sababu Marekani siku zote anataka kuimaliza Urusi.
Ulaya pia hawaweza kuwa na umoja wa kujeshi bila USA mkuu...
 
Uko sawa kabisa Mkuu.bila USA hakuna. NATO.
NATO ni chombo Cha USA.
Ulaya hawataki kuwa kwenye umoja wa kijeshi unaoongozwa na Marekani.
Wanataka kuwa na umoja wao wa kijeshi bila Marekani.
Na wala Hana hofu kabisa na Urusi,na Urusi Hana hofu nao.
Urusi ana hofu na Marekani TU.
Kwa sababu Marekani siku zote anataka kuimaliza Urusi.
Ulaya inajiweza ki uchumi bila USA..Ila kijeshi inaitegemea USA dhidi ya maadui wa mashariki (Urusi,China)
 
Sweden wako smart sana. Hawaendeshwi na mihemko wala kufuata umati kama nyumbu. Waziri mkuu wao kasema suala la kujiunga na nato au la kwa kipindi hiki siyo zuri. Kwa maana litaongeza tension katika ukanda huu.
Nimewakubali sana kwa uamuzi huu.
SWeden kujiunga na NATO is a matter of when not if.
 
Andersson published a short statement on Jan. 6 (and an English version the next day) saying that the European security order is not negotiable and that Sweden makes its own decisions about its foreign and security policy and the partners it cooperates with. International law must be respected, including every state’s right to independently make its own security policy choices.
 
Finnish President Sauli Niinisto reacted promptly when Russian President Vladimir Putin on Dec. 1 demanded legal security guarantees from the West. Niinisto reaffirmed the next day that “maintaining a national room to maneuver and freedom of choice is the foundation of Finland’s foreign, security, and defense policy.” He laid out his views in more detail in a New Year’s speech on Jan. 1. Niinisto characterized Russia’s demands as “ultimatums” and stressed that “Finland’s foreign and security policy line remains stable. … Finland’s room to maneuver and freedom of choice also include the possibility of military alignment and of applying for NATO membership, should we ourselves so decide. NATO’s business is the so-called open-door policy, the continuance of which has been repeatedly confirmed to Finland, also publicly.”
 
Wanaweza ila sema USA ataki wawe na umoja bila yeye kwa sababu kwa sababu anahitaji njia au uwanja wa kuidhibiti Urusi.
Kijeshi Ulaya inaitegemea USA...kwa sababu Amerika wanatumia pesa nyingi kufanya tafiti za kijeshi, uwezo wao mkubwa wa mawasiliano ya satellites, ukubwa wa viwanda vya silaha, USA wana satellites nyingi za uchunguzi kuliko Ulaya yote! Pia kuna mfumo mkubwa wa ulinzi Walionao wa Amerika ambao ulaya (NATO) wanategemea.
USA wako vizuri kijeshi ukiacha ushabiki huu wa Urusi vs Ukraine timu.

Numbisa
 
Afanyaje sasa, wakati usA anataka mtia dole la jicho.
Anapambana na USA kwa kuiharibu Ukraine.
Watamuamini kwa sababu zake zenye mshiko, kwani kamfanyia nani na nani hivi?
Umesahau alichomfanyia Georgia mwaka 2008 ?

Baada ya Ukraine huenda ikawa zamu yao...hivyo njia pekee ya wao kuwa salama ni kuwa chini ya NATO.
 
Anapambana na USA kwa kuiharibu Ukraine.

Umesahau alichomfanyia Georgia mwaka 2008 ?

Baada ya Ukraine huenda ikawa zamu yao...hivyo njia pekee ya wao kuwa salama ni kuwa chini ya NATO.
Alimfanyia georgia kwa sababu zipi!?
 
Back
Top Bottom