Operesheni ya kurejesha mji wa Kherson yazaa matunda, Warusi 82 wauawa na zana kulipuliwa

Operesheni ya kurejesha mji wa Kherson yazaa matunda, Warusi 82 wauawa na zana kulipuliwa

MK254, we hizi habari unaziibuwa wapi??

Tukutane tena hapa baada ya wiki kupita halafu tupeane feedback nini hasa kilitokea kwa jeshi la Zelensky baada ya kujiingiza kichwa kichwa kutaka kurejesha mji na eneo la Kherson - tusiende mbali ebu jaribu kutafuta video clip/picha zinazo onyesha uharibifu wa train moja iliyokuwa imebeba wanajeshi wa Ukraine kwenda frontline, mabehëwa yote nyanganyanda, wanajeshi zaidi ya 200 waka-perish on spot, kumbuka hilo ni kombora moja tu aina ya Iskedar lauched zaidi ya 500Km kutoka kwenye designated target, sasa linganisha na vi-HIMARS ambavyo vinashindwa kuvunja hata daraja,badala yake vinaacha mashimo shimo tu na sio kuvunja daraja, uwezo wake ni kushambulia maghara ya kuhifadhi silaha na ammunitions wakitegemea kwamba secondary explosion ndio italeta uharibifu zaidi-which is true, HIMARS yatabaki kuwa ni silaha za kuvizia kulipuwa depot za mafuta,ammunition dumps lakini hata siku moja hawayawezi kuwa a game changer ya mwenendo mzima wa vita nchini Ukraine - we sema zinapewa publicty stunts ie sifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari za magharibi ili kuziongezea soko, basi.

Sasa turudi kwenye madhara makubwa yanayo sababishwa na kombora moja la Iskendar - swali ni,je, Putin ana makombora mangapi ambayo ni ya uwezo mkubwa zaidi ya Iskendar?? Habari za kuaminika zinapo sema hivi karibuni wanajeshi karibu 1,200 wameuwawa kwenye Operation ya kijinga ya jeshi la Zelensky kutaka kurudisha Kherson, wala mimi na wenzagu Duniani hatushangai nini kiliwapata wanajeshi wa Ukraine pamoja na Rais wao anaye tumiwa na mabeberu bila ya kujitambua, yupo yupo bendera fuata upepo, huku Taifa lake likichakazwa pia na wanajeshi wake na raia kuangamia kwa maelfu wala hilo yeye hajali, anaona sawa tu.
Uko vizuri
 
Urusi ilishaishiwa toka March (miezi 5 iliyopita, sawa na siku 150), hakuna jipya hapo. Ila magaidi yanaendelea kuuawa kwa maelfu.


Wameishiwa na kuingia hasara mithili ya majeshi ya mataifa sita Afrika na mpaka sasa wameambulia tumiji twa huko mipakani, huwa nawaambia bora muabudu Kim wa Korea kuliko huyo Putin, anawaaibisha sana nyie watu wa dini ya mwarabu.
 
MK254, we hizi habari unaziibuwa wapi??

Tukutane tena hapa baada ya wiki kupita halafu tupeane feedback nini hasa kilitokea kwa jeshi la Zelensky baada ya kujiingiza kichwa kichwa kutaka kurejesha mji na eneo la Kherson - tusiende mbali ebu jaribu kutafuta video clip/picha zinazo onyesha uharibifu wa train moja iliyokuwa imebeba wanajeshi wa Ukraine kwenda frontline, mabehëwa yote nyanganyanda, wanajeshi zaidi ya 200 waka-perish on spot, kumbuka hilo ni kombora moja tu aina ya Iskedar lauched zaidi ya 500Km kutoka kwenye designated target, sasa linganisha na vi-HIMARS ambavyo vinashindwa kuvunja hata daraja,badala yake vinaacha mashimo shimo tu na sio kuvunja daraja, uwezo wake ni kushambulia maghara ya kuhifadhi silaha na ammunitions wakitegemea kwamba secondary explosion ndio italeta uharibifu zaidi-which is true, HIMARS yatabaki kuwa ni silaha za kuvizia kulipuwa depot za mafuta,ammunition dumps lakini hata siku moja hawayawezi kuwa a game changer ya mwenendo mzima wa vita nchini Ukraine - we sema zinapewa publicty stunts ie sifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari za magharibi ili kuziongezea soko, basi.

Sasa turudi kwenye madhara makubwa yanayo sababishwa na kombora moja la Iskendar - swali ni,je, Putin ana makombora mangapi ambayo ni ya uwezo mkubwa zaidi ya Iskendar?? Habari za kuaminika zinapo sema hivi karibuni wanajeshi karibu 1,200 wameuwawa kwenye Operation ya kijinga ya jeshi la Zelensky kutaka kurudisha Kherson, wala mimi na wenzagu Duniani hatushangai nini kiliwapata wanajeshi wa Ukraine pamoja na Rais wao anaye tumiwa na mabeberu bila ya kujitambua, yupo yupo bendera fuata upepo, huku Taifa lake likichakazwa pia na wanajeshi wake na raia kuangamia kwa maelfu wala hilo yeye hajali, anaona sawa tu.

Napenda sana haya mahaba yako kwa Urusi, mpaka unaandika inshas humu hadi basi tu, ila utachoka sana humu, kibao kilishageuzwa, supapawa anapokea mapigo sasa, itagharimu maisha ya watu wa Ukraine lakini lazima wapambane, fursa ndio hii ya kuikomboa nchi yao, bendera yao, ardhi yao...mbele kwa mbele..HIMARS zinafanya maajabu.
 
Wala sio kinyonge, operesheni imezaa matunda kwa kuuawa kwa wanajeshi Warusi 82 waliokua wamejichimbia, hata kama imegharimu maelfu ya wapiganaji wa Ukraine, kimsingi wapo tayari kufa mamilioni ila mdhulumaji aondoke.
Soma historia ya Vietnam
Ila hizi operesheni za Zele ziko kama zile za docta Love wa gazeti la sani.
Anafanya opresheni kibao lakini hazina matunda yoyote.
 
Ndio, Zelensky+jeshi lake la waNazi mambo leo ni ma-terrorists tu ...lazima yauawe ili dunia iwe mahala salama pa kuishi
Mashoga wanasubirl mpaka marekani awatangazie nani gaidi. Marekani asipowatangazia ata ukiwa gaidi, hawata amini. Yaani yapo kama ming'ombe kila kitu ni kukaririshwa
 
Kama ile operesheni ya kuiteka Kyev na limsafara la vifaru....
Ile ilikuwa danganyatoto(war tactics) ili ujizatiti kyiv na uwachie maeneo yenye madini mengi na nukes powerplant. Kyiv kuna nini??
 
Hivi hizo air defenses za Urusi tulizokua tunazisifia humu zinafanya kazi gani mbona kila siku maghala ya silaha yanapukutishwa kwa Makombora ya Ukraine?!
 
MK254, we hizi habari unaziibuwa wapi??

Tukutane tena hapa baada ya wiki kupita halafu tupeane feedback nini hasa kilitokea kwa jeshi la Zelensky baada ya kujiingiza kichwa kichwa kutaka kurejesha mji na eneo la Kherson - tusiende mbali ebu jaribu kutafuta video clip/picha zinazo onyesha uharibifu wa train moja iliyokuwa imebeba wanajeshi wa Ukraine kwenda frontline, mabehëwa yote nyanganyanda, wanajeshi zaidi ya 200 waka-perish on spot, kumbuka hilo ni kombora moja tu aina ya Iskedar lauched zaidi ya 500Km kutoka kwenye designated target, sasa linganisha na vi-HIMARS ambavyo vinashindwa kuvunja hata daraja,badala yake vinaacha mashimo shimo tu na sio kuvunja daraja, uwezo wake ni kushambulia maghara ya kuhifadhi silaha na ammunitions wakitegemea kwamba secondary explosion ndio italeta uharibifu zaidi-which is true, HIMARS yatabaki kuwa ni silaha za kuvizia kulipuwa depot za mafuta,ammunition dumps lakini hata siku moja hawayawezi kuwa a game changer ya mwenendo mzima wa vita nchini Ukraine - we sema zinapewa publicty stunts ie sifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari za magharibi ili kuziongezea soko, basi.

Sasa turudi kwenye madhara makubwa yanayo sababishwa na kombora moja la Iskendar - swali ni,je, Putin ana makombora mangapi ambayo ni ya uwezo mkubwa zaidi ya Iskendar?? Habari za kuaminika zinapo sema hivi karibuni wanajeshi karibu 1,200 wameuwawa kwenye Operation ya kijinga ya jeshi la Zelensky kutaka kurudisha Kherson, wala mimi na wenzagu Duniani hatushangai nini kiliwapata wanajeshi wa Ukraine pamoja na Rais wao anaye tumiwa na mabeberu bila ya kujitambua, yupo yupo bendera fuata upepo, huku Taifa lake likichakazwa pia na wanajeshi wake na raia kuangamia kwa maelfu wala hilo yeye hajali, anaona sawa tu.
Kwahiyo Mkuu na wewe unaamini ripoti za Urusi kwamba wameua wanajeshi 1200 wa Ukraine?! Ushahidi upo wapi?! Maana ukitafuta video zao uko mtandaoni utaona kifaru kimoja au vitatu ndo vimeharibiwa unabaki unajiuliza hao wanajeshi 1000 wako wapi?! Tangu Russia aseme katungua drone za Bayraktar zaidi ya Mia wakati Ukraine wanazo kama 50 tu mpaka Leo natilia mashaka propaganda zao za kutaka kumfurahisha Putin na hii ndo maana wakaamua wafungie vyombo vya habari nchini mwako ili wananchi wao wasijue ukweli.

Tuje Kwa Himars,Himars inatumia Makombora ya M31 ambayo hayabebi mlipuko mkubwa na huwezi kulinganisha na Iskander. Iskander fananisha na ATACMS ambayo Marekani imegoma kuwapa Ukraine. Hata ukiangalia maumbo tu Himars ni viroketi vidogo wakati Iskander au ATACMS ni mikombora mikubwa. Kingine hakuna ulazima wa kuvunja Daraja wakati unaweza fanya lisitumike,jiulize kwanini warusi walijenga pantoon bridge kama hilo Daraja lilikua linaweza kutumika tena?! Ukiangalia Yale mashimo yaliyosabishwa na HIMARS huwezi pitisha kifaru pale kwenye lile Daraja au Lori lililobeba mizigo ya wanajeshi. Warusi waliweka mpaka radar reflectors kwenye lile Daraja ili kuconfuse rockets za Himars lakini hiyo haikufua dafu Makombora yalipiga kwa usahihi mkubwa kabisa,na kingine kinachonishangaza inakuaje zile air defenses za Urusi mlizokua mnazosifia humu ndani kila siku zinashindwa kudaka vikombora Kama vya Himars?! Leo huko Crimea kuna taarifa oil depot imelipuliwa pamoja na ghala la silaha.

 
Wala sio kinyonge, operesheni imezaa matunda kwa kuuawa kwa wanajeshi Warusi 82 waliokua wamejichimbia, hata kama imegharimu maelfu ya wapiganaji wa Ukraine, kimsingi wapo tayari kufa mamilioni ila mdhulumaji aondoke.
Soma historia ya Vietnam
Kwa hiyo unakubali kwamba ni wanajeshi 82 tu urusi wamefariki vitani wakati wa Ukraine ni maelfu?
 
Ile ilikuwa danganyatoto(war tactics) ili ujizatiti kyiv na uwachie maeneo yenye madini mengi na nukes powerplant. Kyiv kuna nini??

Danganya toto ipi ambayo mlikufa kama senene na limsafara la kilomita 60km likafyekwa.
 
Kwa hiyo unakubali kwamba ni wanajeshi 82 tu urusi wamefariki vitani wakati wa Ukraine ni maelfu?

Sijakubali ripoti ya Warusi maana juzi walisema wamelipua HIMARS 20 bila ushahidi wowote, wao husema sema tu, ila hata ikitokea kuwa kweli, Ukraine wapo kwenye nchi yao wanatetea ardhi, na wako tayari kufa mamilioni....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]awamini macho yao
Sijakubali ripoti ya Warusi maana juzi walisema wamelipua HIMARS 20 bila ushahidi wowote, wao husema sema tu, ila hata ikitokea kuwa kweli, Ukraine wapo kwenye nchi yao wanatetea ardhi, na wako tayari kufa mamilioni....
 
Acha Urusi waendelee kuyasagasaga magaidi ya Ukraine
Umesikia huko EU?kuwa mambo lazima sasa yabadirike haiwezekani watalii wa kirusi wawe wanazunguka tu Ulaya kana kwamba hakuna kitu kinachoendelea huko, sasa wana pigwa ban ya visa ya kuingia ulaya
 
Umesikia huko EU?kuwa mambo lazima sasa yabadirike haiwezekani watalii wa kirusi wawe wanazunguka tu Ulaya kana kwamba hakuna kitu kinachoendelea huko, sasa wana pigwa ban ya visa ya kuingia ulaya
 
Back
Top Bottom