Operesheni ya kuwakamata raia wa kigeni bila kibali kuanza

Operesheni ya kuwakamata raia wa kigeni bila kibali kuanza

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
August 24, 2018
Nairobi, Kenya
Serikali inatarajiwa kuanza operesheni ya kuwasaka, kuwakamata na kuwafurusha nchini raia wa kigeni wanaohudumu bila stakabadhi zinazohitajika. Waziri wa usalama wa ndani Dakta Fred Matiang'i amesema kwamba tayari watu 60 wamefurushwa pindi tu ilipogunduliwa kwamba walikuwa na stakabdhi ghushi za ndoa na kwamba baadhi yao walikuwa walanguzi wa mihadarati.

Source: K24TV
 
Ahaaa haaa haaa
Mmechelewa SANA. Ilibidi muanze ZAMANI SANA.
Anyways all the best.
 
Sana, wamechelewa maana wengi wameoa huko kama kisa hiki

19 Jun 2013
More than two weeks now after the deportation of controversial Nigerian businessman Antony Chinedu, eleven Kenyans and a Swede are still being held hostage in Lagos. Today we attempt to unravel the mystery surrounding this man Chinedu, especially around the issue of the power he claims to wield both in Kenya and Nigeria. Citizen TV spoke to Chinedu's estranged wife Joyce Akinyi in a bid to understand this him through her eyes. Meanwhile Chinedu through his lawyer has moved to court demanding that the Kenyan government brings him back in the country.
 
Chinedu speaks out from his Ikeja Lagos home
 
Back
Top Bottom