Elections 2015 Operesheni Zinduka: Uamuzi Sahihi 2015


Asante kwa ushauri wako na maoni yako; ila una uhakika gani ilikuwa ni "speech"? aah, eeeh na ooh.. ni sehemu ya mazungumzo eeh?
 
Asante kwa ushauri wako na maoni yako; ila una uhakika gani ilikuwa ni "speech"? aah, eeeh na ooh.. ni sehemu ya mazungumzo eeh?

Kwa kweli sifahamu ila mategemeo yangu kabla hujarekodi video unaifanyia editing..rehearsal na vitu kama hivyo ili unapokuja kurekodi inakuwa top quality. Ama ni impromptu interview!??
 

Hapo penye nyekundu: Ni dalili ya uoga na kutojiamini. Kwa nini unabagua wasomaji kwenye public forum kama hii? Imekuwa PG kama kwenye filamu?
 
Last edited by a moderator:
Hili ndilo swali ambalo Mzee Mwanakijiji anapaswa alijibu badala ya kuzungukazunguka?

Siyo lazima kulijibu swali hili; hatua kwa hatua kwanza. Ukisikiliza mada ya kesho nina uhakika utaona kuwa siyo mimi ninayepaswa kusema watu wamchague nani; Mbowe na waliomleta Lowassa ndio wamewapa Watanzania uamuzi wa nani wamchague. Miye nasema tu nani wasimchague. Kama hadi tunakaribia mwisho wa Uchaguzi watu hawajui bado nani wamchague basi itabidi sisi sote kuwasaidia hawa.
 

Mbona hili rahisi; mimi na wale wengine wote ambao wamekataa kupanda treni lisiloenda popote ambalo tunaambiwa limeondoka Station. Unafikiri wote ni abiria?
 

Sawa Mzee, tunaomba badhi orodha kamili ya nani na nani tusiwachague.

(1) Lowassa
(2) ?
(3) ?
...
 


Hivi unawachukuliaje Watanzania kwa mfano? Yani mimi shida yangu kwako ni kutudanganya tu! Nisigekuona muongo na mfitini kama ungeacha kutumia sifa hiyo ya 'mwandishi huru' useme tu wewe ni ccm na ndiyo sababu ya kutomtaka Lowassa! .

Wote wanaomtaka Lowassa unafikiri wanampenda na wote ni CHADEMA?
 


Halafu kabisa mnaamini mnataka kuleta mabadiliko? ATi heri ya mwizi tunayemjua kuliko mla rushwa tusiyemjua? Wenzenu wengine wanasema "heri mla rushwa tusiyemjua kuliko mwizi tuayemjua". Go figure.
 
Mbona hili rahisi; mimi na wale wengine wote ambao wamekataa kupanda treni lisiloenda popote ambalo tunaambiwa limeondoka Station. Unafikiri wote ni abiria?

Kwenye maelezo yako kuna sehemu umesema kwamba upinzani ulikuwa na nafasi kubwa ya kushinda safari hii (kama wasingemchukuwa Lowassa). Siwezi kukubalina na wewe kabisa. Kwanini? Tume ya uchaguzi ni kikwazo. Hivyo haijalishi nani anasimama kugombea upinzani, bila tume kubadilishwa hatashinda. PS. Mimi ni mshabiki wa mabadiliko na Lowassa ni chaguo langu na nina ukakika ATASHINDA kwa kura nyingi lakini hatatangazwa.
 

CCM hata wangemsimamisha Amina Salum Ali wangetangazwa washindi tu.

Hivi watu wanadhani haya mabadiliko ya [uteuzi wa makamishna] ya tume ya uchaguzi yaliyofanywa na mwenyekiti wa CCM ni ya bure tu?
 
CCM hata wangemsimamisha Amina Salum Ali wangetangazwa washindi tu.

Hivi watu wanadhani haya mabadiliko ya [uteuzi wa makamishna] ya tume ya uchaguzi yaliyofanywa na mwenyekiti wa CCM ni ya bure tu?


Kaka nipishane nawe kidogo...

kwa niyaonayo ndani ya mfumo Lowassa ni namba nyingine...

Tatizo wasilolijua watu ni kwamba CCM ya miaka yote siyo hii tuionayo leo...

So when you talk about CCM unatakiwa u specify...

kama issue ingekua simple hivyo wala isingetumika nguvu kubwa kuvuta upepo!!!

Hapashikiki..hapa kamatiki....

Watu wamejiandaa kwa mbinu na kwa mitaji...

Lowassa si sawa na akina Slaa na Lipumba!!!
 
Nitalijibu hili swali vile vile... stay tuned. Hatari sasa hivi ni zaidi ya CCM!


Jitahidi upewe UASKOFU!!!

Mzee Mihogo vipi mbona kakimbia jukwaa? aje apambane na wanaume wenzie mwanaume gani mwoga??

Eti ulinzi hautoshi! Akina Che Guevara wangesemaje kama yeye kamanda??

Mwambie apande majukwaani aache woga wa kike...
 
Kwa nini husemi nani 'wasiwachague'?

Hivi kweli hadi leo hii anafikiri bado watu wanahitaji mtu/watu kuwashauri ili kujua nani wa kumchagua na nani sio wa kumchagua? Hata hivyo hawezi kwenda kinyume na hadidu rejea za waliompa hii kazi kwa kutaja asiowataka tuwachague.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…