Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakitaka itowe hela kwa kila mtu kwa usawa!!!! Hata ikiwa miliooniiii. ....
Cheki; division 1 ABB HKL hana mkopo
Division 3 EES PCB anapewa 100%
Wana jf hii bodi imekua chanzo cha chuki baina ya watanzania,kabla ya kuundwa walisoma bila masharti na vikwazo kama vyao,my take bodi imeshindwa,haina kazi ni ulaji wa wachache.Nawasilisha
Wana jf hii bodi imekua chanzo cha chuki baina ya watanzania,kabla ya kuundwa walisoma bila masharti na vikwazo kama vyao,my take bodi imeshindwa,haina kazi ni ulaji wa wachache.Nawasilisha
wamepata lini wewe? mbona unataka kuhadaa watu hapa? vijana wanaendelea kulia njaa, we unasema hela wamepata?Cha kushangaza awali walisema hela za kutoa mikipo zimeisha cha kushangaza kuna waliofuatilia na mikopo baada ya kukosa ndo wamepata sasa je hizo hela zimetoka wapi? Na kwenye budget ipi?
HAKUNA ELIMU YA BURE DUNIANI KOTE
Hata kula ulaya elimu yao sio bure bali serikali ndio inagharamia baadhi ya gharama,tena ni bora tanzania vitu vingi bado tunapata bure kama wanafunzi,lakini waliosoma ASIA wanajionea wenyewe,mwananfunzi akitaka maji ya moto atanunua kwa kadi-je tanzania tunalo hilo? mwananfunzi anaposafiri kutoka kampasi moja kwenda nyingine atalipia usafiri-je tanzania ipo hiyo(niliona pale sua mabasi ni free) umeme unahesabiwa units-je tanzania ipo hiyo?.internet unalipa kwa GB utumiazo je tz ipo hiyo?
so hakuna kitu cha bure jamani,sisi tumedekezwa sana,ingawaje tunakopeshwa na tutakuja kulipa,tunacholaumu hapa ni mchakato mzima wa utoaji wa kimopo hiyo,maana hata wenye mali ,watoto wa vigogo nao wanapewa sana na watoto wa wakulima na basi mkopo wenyewe uje kwa wakati la hasha ni tabu tu
Wana jf hii bodi imekua chanzo cha chuki baina ya watanzania,kabla ya kuundwa walisoma bila masharti na vikwazo kama vyao,my take bodi imeshindwa,haina kazi ni ulaji wa wachache.Nawasilisha
Wana jf hii bodi imekua chanzo cha chuki baina ya watanzania,kabla ya kuundwa walisoma bila masharti na vikwazo kama vyao,my take bodi imeshindwa,haina kazi ni ulaji wa wachache.Nawasilisha
Wakitaka itowe hela kwa kila mtu kwa usawa!!!! Hata ikiwa miliooniiii. ....
Cheki; division 1 ABB HKL hana mkopo
Division 3 EES PCB anapewa 100%
Ikifutwa vyuo vikuu vya taasisi za kidini vitaadhirika,
Vimejengwa kama uyoga baada ya uhakika wa ada.
usikurupuke-umeambiwa ifutwe kiundwe chombo maalum kitakacho kidhi mahitaji wananchi wote si kama ilivyo sasa-labda umetoka usingizini maana upo out of topicHujatoa altenatv, so naweza sema hii ni pumba.
We unataka wasome watoto wa ma-mp tu au?
Coz ya bei chee kabisa ni tsh.laki 7 per yr, (udom) hiyo ni minmum, wangap wataweza afford?
Bado accomodation, mels, stationary.. Wewe hiyo pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa