Opportunists hata kama ajira hakuna lakini mnawatumia watu vibaya

Yan wew rebeca unavyoongea kishabk wakt watu wanapga pesa kama huna uelewa wa kutosha kwanin usiombe uelekezwe forex sio sehem ya kupata hela chap chap unatakiwa upate elim ya kutosha na ni biashara kama zingne fungua akili yako ujifunze tatzo una mawazo mgando unaamin unachoamin ata kama si sahihi
 

mmmmn.....wewe kama unapiga pesa ni wewe,kama mngekua wengi hii topic ingejaa na successful stories zenu,ila mnajua biashara yenyewe ni magumashi,................sijakuzuia kujiunga,ila ningependa kujua wangapi mliofundishwa nae mnapiga hizo pesa???nauliza tena ni watu wangapi wasio na kazi wamejiunga kufundishwa forex??? nilikua namaanisha kwa watu ambao hawana kazi umwambie hadith za sio sehemu za kupiga hela za chap chap atakuelewa kweli?yeye ataangalia situation yake hana kipato atataka kujaribu hii Kamari.......sasa hii ni exploitation....
 
Wanaofanya forex wanamagroup ya what's up na telegram sasa Rebecca utaingiaje humo ingali hujui market analysis ya dunia inavyokwenda!!!

Huku ulipo wanakuja kuchungulia kama kuna fursa mpya waifanyie kazi.

**Nipo forex, bitcoin, bitclub**

Unamiliki smart phone yakupiga selfie
Ahaaaàaa
 

Attachments

Endelea kujifunza
 

Attachments

 
Ontario anafaa apigwe BAN ya maisha japo nahisi ana account nyingine humu JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…