OR - TAMISEMI muondoeeni Dr. Fatuma Ramadhan Mganga Mke wa Spika Ndugai kuwa DED - BAHI DC

OR - TAMISEMI muondoeeni Dr. Fatuma Ramadhan Mganga Mke wa Spika Ndugai kuwa DED - BAHI DC

Terrible Teen

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2017
Posts
1,009
Reaction score
2,934
OR - TAMISEMI kwa heshima kubwa nawashauri mumuondoe mara moja Mke wa Spika Y. Ndugai kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya BAHI, MKOA WA DODOMA. Mama huyu, Dr. Fatuma Ramadhan Mganga anatumia uhusiano wake wa kifamilia na Job Ndugai kukwaza utendaji kazi wa Serikali. Mama huyu kwa sababu ya kuwa Mke wa Spika, anaharibu taswira nzima ya uwajibikaji kuanzia kwa mabosi wake kwa maana ya RC, RAS na hata DC.

Mwenendo wa Job Ndugai katika masuala ya TAMISEMI unategemea huyu mama anasema nini. Mama huyu amemshika kwelikweli Job kiasi cha kwamba JOB yupo tayari kuharibu kazi ya mtu ili kumtetea mkewe ambaye utendaji wake BAHI ni wa hovyo hovyo.

La mwisho nizitake mamlaka za Serikali kuhakikisha zinaondoa mgongano wa kimaslahi kwa viongozi wa juu wa Nchi na wana familia zao. Ni sharti muhimu na adhimu kabisa kwa viongozi wa mihimili ya Dola wenza wao wasipewe majkumu ambayo kwa namna moja au nyingine wakati wa kuchukua uamuzi kutakuwa na maslahi.

Msimuamini JOB hata kidogo, huyu anaongozwa na maslahi ya muda.
 
Kumekucha Salama
Huyo Bibi Ya Band Anavuruga Huko
 
OR - TAMISEMI kwa heshima kubwa nawashauri mumuondoe mara moja Mke wa Spika Y. Ndugai kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya BAHI, MKOA WA DODOMA. Mama huyu, Dr. Fatuma Ramadhan Mganga anatumia uhusiano wake wa kifamilia na Job Ndugai kukwaza utendaji kazi wa Serikali. Mama huyu kwa sababu ya kuwa Mke wa Spika, anaharibu taswira nzima ya uwajibikaji kuanzia kwa mabosi wake kwa maana ya RC, RAS na hata DC.

Mwenendo wa Job Ndugai katika masuala ya TAMISEMI unategemea huyu mama anasema nini. Mama huyu amemshika kwelikweli Job kiasi cha kwamba JOB yupo tayari kuharibu kazi ya mtu ili kumtetea mkewe ambaye utendaji wake BAHI ni wa hovyo hovyo.

La mwisho niZITAKE mamlaka za Serikali kuhakikisha zinaondoa mgongano wa kimaslahi kwa viongozi wa juu wa Nchi na wana familia zao. Ni sharti muhimu na adhimu kabisa kwa viongozi wa mihimili ya Dola wenza wao wasipewe majkumu ambayo kwa namna moja au nyingine wakati wa kuchukua uamuzi kutakuwa na maslahi.

Msimuamini JOB hata kidogo, huyu anaongozwa na maslahi ya muda.
MUACHENI huyu mama.
Mgogo hawezi kazi nyingine zaidi ya ombaomba na kuajiriwa serikalini, sasa mnataka afanye kazu gani?
 
Back
Top Bottom