Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,443
- 2,643
masikini anaroho mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika ana kazi gani kama siyo kuharibu nchi? Unaona wanavyomgeuka Magufuli kabla hata jogoo hajawika. Walimdanganya na upambe mpaka corona ikampaya na kumuua maskini na mara hii wameshamgeuka. Huyu hana kazi yoyote ni mharibifu ambaye alitakiwa asiwepo.Wewe na spika nani jobless
CrazyMnagombania mke wewe na ndugai ? Wewe na buti lako la jeje linakufanya uwe na mawenge
Huu sasa uchawi!Kuna chema gani kutoka familia ya ndugai?
Mke wa Ndugai ni mkristo na anasali kwa askofu Gamanywa.OR - TAMISEMI kwa heshima kubwa nawashauri mumuondoe mara moja Mke wa Spika Y. Ndugai kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya BAHI, MKOA WA DODOMA. Mama huyu, Dr. Fatuma Ramadhan Mganga anatumia uhusiano wake wa kifamilia na Job Ndugai kukwaza utendaji kazi wa Serikali. Mama huyu kwa sababu ya kuwa Mke wa Spika, anaharibu taswira nzima ya uwajibikaji kuanzia kwa mabosi wake kwa maana ya RC, RAS na hata DC.
Mwenendo wa Job Ndugai katika masuala ya TAMISEMI unategemea huyu mama anasema nini. Mama huyu amemshika kwelikweli Job kiasi cha kwamba JOB yupo tayari kuharibu kazi ya mtu ili kumtetea mkewe ambaye utendaji wake BAHI ni wa hovyo hovyo.
La mwisho niZITAKE mamlaka za Serikali kuhakikisha zinaondoa mgongano wa kimaslahi kwa viongozi wa juu wa Nchi na wana familia zao. Ni sharti muhimu na adhimu kabisa kwa viongozi wa mihimili ya Dola wenza wao wasipewe majkumu ambayo kwa namna moja au nyingine wakati wa kuchukua uamuzi kutakuwa na maslahi.
Msimuamini JOB hata kidogo, huyu anaongozwa na maslahi ya muda.
Alishawahi kusema bungeni kuwa ana wake 3 na wato ishirini na kituMke wa Ndugai ni mkristo na anasali kwa askofu Gamanywa.
Niishie hapo!
Hapo sawa!Alishawahi kusema bungeni kuwa ana wake 3 na wato ishirini na kitu
Acha ushabiki. Job ndugai ni Spika, ni Kamati ipi ya Bunge itakuwa na uwezo wa kumchukulia hatua mkewe ambaye ni DED na Spika ndiye anayepanga Wabunge kwenye Kamati. Maadili ya kazi tu yangetosha kumtaka huyo mama akae pembeni. Naamini wenye Uamuzi wanajua nini cha kufanya na watakifanya soon kwa ufasaha.Bro usiitumie JF kwa maslahi yako binafsi
Heshimu watu
Haikusaidii kuchafua watu namna hii
Mwogope Mungu usiumize familia za watu kumbuka unayemsakama hapa ni baba au mama mwenye watoto na ana ndugu pia
Mwenyezi Mungu akupe amani ya moyo wako
Pole kwa uliyokwazika nayo lakini hii si njia nzuri kuonesha hisia zako unawaumiza wasiostahili adhabu hii
Asante
Wala sina ushabiki bro nimekushauri tuAcha ushabiki. Job ndugai ni Spika, ni Kamati ipi ya Bunge itakuwa na uwezo wa kumchukulia hatua mkewe ambaye ni DED na Spika ndiye anayepanga Wabunge kwenye Kamati. Maadili ya kazi tu yangetosha kumtaka huyo mama akae pembeni. Naamini wenye Uamuzi wanajua nini cha kufanya na watakifanya soon kwa ufasaha.
We endelea kula pesa na huyo mama najua ndo nguzo yako hapo ulipo. Mtaondoka wote this time.Wala sina ushabiki bro nimekushauri tu
Punguza povu mkuu mie wala sijui unachokiongea nimekushauri kama raia mwema tuWe endelea kula pesa na huyo mama najua ndo nguzo yako hapo ulipo. Mtaondoka wote this time.