OR - TAMISEMI muondoeeni Dr. Fatuma Ramadhan Mganga Mke wa Spika Ndugai kuwa DED - BAHI DC

OR - TAMISEMI muondoeeni Dr. Fatuma Ramadhan Mganga Mke wa Spika Ndugai kuwa DED - BAHI DC

OR - TAMISEMI kwa heshima kubwa nawashauri mumuondoe mara moja Mke wa Spika Y. Ndugai kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya BAHI, MKOA WA DODOMA. Mama huyu, Dr. Fatuma Ramadhan Mganga anatumia uhusiano wake wa kifamilia na Job Ndugai kukwaza utendaji kazi wa Serikali. Mama huyu kwa sababu ya kuwa Mke wa Spika, anaharibu taswira nzima ya uwajibikaji kuanzia kwa mabosi wake kwa maana ya RC, RAS na hata DC.

Mwenendo wa Job Ndugai katika masuala ya TAMISEMI unategemea huyu mama anasema nini. Mama huyu amemshika kwelikweli Job kiasi cha kwamba JOB yupo tayari kuharibu kazi ya mtu ili kumtetea mkewe ambaye utendaji wake BAHI ni wa hovyo hovyo.

La mwisho niZITAKE mamlaka za Serikali kuhakikisha zinaondoa mgongano wa kimaslahi kwa viongozi wa juu wa Nchi na wana familia zao. Ni sharti muhimu na adhimu kabisa kwa viongozi wa mihimili ya Dola wenza wao wasipewe majkumu ambayo kwa namna moja au nyingine wakati wa kuchukua uamuzi kutakuwa na maslahi.

Msimuamini JOB hata kidogo, huyu anaongozwa na maslahi ya muda.
Nafikiri hapo la mhimu ni kiangalia mgongano wa maslahi,Mbuge wa bahi ana kazi kibwa sana,sababu kuna mambo hawezi kuruhusu yahojiwe na wabunge
 
Mbona jina kama ni wa imani fulani
Lakini ukiamua kula nguruwe unachagua aliyenona. Ukishaasi na kuacha imani yako huna haja ya kufuata masharti tena. Unakiuka kila kitu. Sasa shangaa mtu anahubiri kwa kutumia Imani aliyoiasi?
 
Kwamba alipata hiyo nafasi kwa kutokuwa na vigezo? Kama hakuwa na vigezo aondolewe tu anaziba rizki za watu ila kama anafit abaki na afanye kazi kwa miongozo ya kazi yake. Ila kwakweli kwa upande fulani hata kama maji yanafuata mkondo ila na wengine wenye sifa wapewe hizo nafasi.
 
OR - TAMISEMI kwa heshima kubwa nawashauri mumuondoe mara moja Mke wa Spika Y. Ndugai kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya BAHI, MKOA WA DODOMA. Mama huyu, Dr. Fatuma Ramadhan Mganga anatumia uhusiano wake wa kifamilia na Job Ndugai kukwaza utendaji kazi wa Serikali. Mama huyu kwa sababu ya kuwa Mke wa Spika, anaharibu taswira nzima ya uwajibikaji kuanzia kwa mabosi wake kwa maana ya RC, RAS na hata DC.

Mwenendo wa Job Ndugai katika masuala ya TAMISEMI unategemea huyu mama anasema nini. Mama huyu amemshika kwelikweli Job kiasi cha kwamba JOB yupo tayari kuharibu kazi ya mtu ili kumtetea mkewe ambaye utendaji wake BAHI ni wa hovyo hovyo.

La mwisho nizitake mamlaka za Serikali kuhakikisha zinaondoa mgongano wa kimaslahi kwa viongozi wa juu wa Nchi na wana familia zao. Ni sharti muhimu na adhimu kabisa kwa viongozi wa mihimili ya Dola wenza wao wasipewe majkumu ambayo kwa namna moja au nyingine wakati wa kuchukua uamuzi kutakuwa na maslahi.

Msimuamini JOB hata kidogo, huyu anaongozwa na maslahi ya muda.
Ndugai hatufai watanzania awajibishwe.
 
OR - TAMISEMI kwa heshima kubwa nawashauri mumuondoe mara moja Mke wa Spika Y. Ndugai kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya BAHI, MKOA WA DODOMA. Mama huyu, Dr. Fatuma Ramadhan Mganga anatumia uhusiano wake wa kifamilia na Job Ndugai kukwaza utendaji kazi wa Serikali. Mama huyu kwa sababu ya kuwa Mke wa Spika, anaharibu taswira nzima ya uwajibikaji kuanzia kwa mabosi wake kwa maana ya RC, RAS na hata DC.

Mwenendo wa Job Ndugai katika masuala ya TAMISEMI unategemea huyu mama anasema nini. Mama huyu amemshika kwelikweli Job kiasi cha kwamba JOB yupo tayari kuharibu kazi ya mtu ili kumtetea mkewe ambaye utendaji wake BAHI ni wa hovyo hovyo.

La mwisho nizitake mamlaka za Serikali kuhakikisha zinaondoa mgongano wa kimaslahi kwa viongozi wa juu wa Nchi na wana familia zao. Ni sharti muhimu na adhimu kabisa kwa viongozi wa mihimili ya Dola wenza wao wasipewe majkumu ambayo kwa namna moja au nyingine wakati wa kuchukua uamuzi kutakuwa na maslahi.

Msimuamini JOB hata kidogo, huyu anaongozwa na maslahi ya muda.
Hivi unabii wa Lemma kwa huyu kiumbe mbona unachelewa?
 
OR - TAMISEMI kwa heshima kubwa nawashauri mumuondoe mara moja Mke wa Spika Y. Ndugai kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya BAHI, MKOA WA DODOMA. Mama huyu, Dr. Fatuma Ramadhan Mganga anatumia uhusiano wake wa kifamilia na Job Ndugai kukwaza utendaji kazi wa Serikali. Mama huyu kwa sababu ya kuwa Mke wa Spika, anaharibu taswira nzima ya uwajibikaji kuanzia kwa mabosi wake kwa maana ya RC, RAS na hata DC.

Mwenendo wa Job Ndugai katika masuala ya TAMISEMI unategemea huyu mama anasema nini. Mama huyu amemshika kwelikweli Job kiasi cha kwamba JOB yupo tayari kuharibu kazi ya mtu ili kumtetea mkewe ambaye utendaji wake BAHI ni wa hovyo hovyo.

La mwisho nizitake mamlaka za Serikali kuhakikisha zinaondoa mgongano wa kimaslahi kwa viongozi wa juu wa Nchi na wana familia zao. Ni sharti muhimu na adhimu kabisa kwa viongozi wa mihimili ya Dola wenza wao wasipewe majkumu ambayo kwa namna moja au nyingine wakati wa kuchukua uamuzi kutakuwa na maslahi.

Msimuamini JOB hata kidogo, huyu anaongozwa na maslahi ya muda.

E0NhMwdXIAAW0HL.jpeg
 
Mhh nadhani ktk serikali hii hakuna kiongozi anayechukiwa Kama job. Kwanin hivyo?
 
OR - TAMISEMI kwa heshima kubwa nawashauri mumuondoe mara moja Mke wa Spika Y. Ndugai kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya BAHI, MKOA WA DODOMA. Mama huyu, Dr. Fatuma Ramadhan Mganga anatumia uhusiano wake wa kifamilia na Job Ndugai kukwaza utendaji kazi wa Serikali. Mama huyu kwa sababu ya kuwa Mke wa Spika, anaharibu taswira nzima ya uwajibikaji kuanzia kwa mabosi wake kwa maana ya RC, RAS na hata DC.

Mwenendo wa Job Ndugai katika masuala ya TAMISEMI unategemea huyu mama anasema nini. Mama huyu amemshika kwelikweli Job kiasi cha kwamba JOB yupo tayari kuharibu kazi ya mtu ili kumtetea mkewe ambaye utendaji wake BAHI ni wa hovyo hovyo.

La mwisho nizitake mamlaka za Serikali kuhakikisha zinaondoa mgongano wa kimaslahi kwa viongozi wa juu wa Nchi na wana familia zao. Ni sharti muhimu na adhimu kabisa kwa viongozi wa mihimili ya Dola wenza wao wasipewe majkumu ambayo kwa namna moja au nyingine wakati wa kuchukua uamuzi kutakuwa na maslahi.

Msimuamini JOB hata kidogo, huyu anaongozwa na maslahi ya muda.
Hii itakuwa ni mara ya pili. Kati ya
mwaka 2007 na 2010, mke wa Ndugai ambaye ni Daktari kitaaluma alikuwa DMO - KONGWA. Hapo Kongwa Ndugai anamikiliki Petrol Station by then.

Idara ya Afya ndiyo Ina magari mengi katika Wilaya. Huyo DMO alikuwa anaamrisha magari yote wilayani yakajaze mafuta kwenye kituo ambacho ana masilahi nacho. Infact kulikuwa hata na mafuta hewa.

Wakati huo Ndugai alikuwa Naibu Spika. Walimstahi akahamishiwa Dar es Salaam kwenye kitengo cha maboresho ya motisha kwa watumishi wa afya (Result Based Finance).

Anyway huyo DED amekubuhu kwenye FORGERY
 
Hii itakuwa ni mara ya pili. Kati ya
mwaka 2007 na 2010, mke wa Ndugai ambaye ni Daktari kitaaluma alikuwa DMO - KONGWA. Hapo Kongwa Ndugai anamikiliki Petrol Station by then.

Idara ya Afya ndiyo Ina magari mengi katika Wilaya. Huyo DMO alikuwa anaamrisha magari yote wilayani yakajaze mafuta kwenye kituo ambacho ana masilahi nacho. Infact kulikuwa hata na mafuta hewa.

Wakati huo Ndugai alikuwa Naibu Spika. Walimstahi akahamishiwa Dar es Salaam kwenye kitengo cha maboresho ya motisha kwa watumishi wa afya (Result Based Finance).

Anyway huyo DED amekubuhu kwenye FORGERY

E0NhMwdXIAAW0HL.jpeg
 
Back
Top Bottom