Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Nimebanwa vibaya mno.....
Yaani
Pole sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimebanwa vibaya mno.....
Yaani
Kuku 1
Tangawizi
Kitunguu thomu 1 teaspoon
Orange juice 2 glasses waweza kamua fresh orange au orange juice ambayo 100% alafu no sugar added
Chumvi kiasi
Chungwa moja kwa ajili ya kunapara ile skin yake...
Namna ya kutaarisha
Katakata vipande kuku
Weka kitunguu saumu na chumvi kiasi bake hadi awive....
Katika sufuria chemsha orange juice hadi iwe nzito nzito ukiona inachelewa add sugar 1 tablespoon
Wacha kuku na orange juice vipoe
Chukua kuku kipande kimoja kimoja ingiza kwenye orange juice
Para tangawizi na ganda la chungwa juu yake
Weka kwenye oven kidogo ikaukie
Weka kuku kwenye sahani tayar kwa kuliwa...
Asantee kwa kunishirikisha
Nitajaribu kwakweli
Tamu sana kweli chagua chungwa liliwiva sana ok? Ili upare ile skin yake
mate yamenidondoka mieeee.........................
Pole jipikie raha jipe mwenyewe