Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.

Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.

Hakuna mfumo wa kuizuia.

Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).

Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.

Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.

Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.

Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.

Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.

Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.

Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.

CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.
kwa hiyo Nchi zote duniani makombora yao yanazuiliwa na mitambo ya akina putin ila putin ana makombora ambayo hayazyiliki. Basi yangetumika pale Kursk kuna vijana wakorofi pale wana karibia miezi mitatu sasa, kwenye ardgi ya supa pawa.
 
Hapohapo wanalinganisha na Arrow 3 ABM ya Israel ambayo ilishambuliwa na makombora zaidi ya 200 kwa wakati mmoja wanasema haiwezi kazi. Wakati hata wao hapo Kursk Wakorea Kaskazini wameuwawa na air defense systems zipo nyingi layers tofauti.

Hakuna system iko 100% sure kila kitu ila zipo zinazofanya sana kazi hadi kupenya lazima ushambulie kama full scale war.
Ila kuna kitu kinafichwa na warusi shambulio halikuwa na impact yoyote

View: https://x.com/clashreport/status/1859545932452274428?t=8KHnEeFdzUNuysMGDFePsg&s=19
 
Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.

Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.

Hakuna mfumo wa kuizuia.

Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).

Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.

Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.

Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.

Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.

Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.

Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.

Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.

CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.
Narudia tena kwa niaba ya wengine kama mimi, Marekani SIO wa kuchezewa na mtu au nchi yoyote DUNIANI. Liwekeni hilo kichwani!
 
Mbona Ukraine wamepoa hawajaendelea tena kutumia silaha zao za masafa marefu baada ya jaribio hilo moja tu?
Ukraine hawajapoa. Wapo fit na kinachosubiriwa ni Green light ya wakubwa ili nao waanze kutumia Aegis na Modernized Patriots ambazo zina uwezo wa kukabiliana na IBM na Mrusi anajua hilo ndo mana akaweka Nukes zake katika Alert Mode. /Stand by Mode. Huko hii vita inakoelekea sio kwema.
BTW mm sio mwelewa wa hayo madude yao yenye lengo la kuangamiza wanadamu.
 
Narudia tena kwa niaba ya wengine kama mimi, Marekani SIO wa kuchezewa na mtu au nchi yoyote DUNIANI. Liwekeni hilo kichwani!
Ni kweli. Jamaa NATO et al wanamchora Mrusi. Mrusi kwa upande wake anafahamu fika kwamba USA na NATO wanao uwezo wa kuyadhibiti makombora hayo ya IBM lakini hawajatoa "go ahead" kwa Ukraine kamailivyokuwa kwa makombora ya Long Range. Kwa kulijua hilo, Mrusi anatishia kwamba next baada ya hapo i.e. endapo USA na Wenzake wataruhusu matumizi ya mitambo yenye uwezo dhidi ya makombora hayo e.g. Aegis na Modernised Patriots hana tena ujanja zaidi ya hapo ila itakuwa ni kutumia Nyuklia. Ndo mana amebadili sheria na kuidhinisha matumizi ya silaha za nyuklia endapo ikibidi.
 
Ni kweli. Jamaa NATO et al wanamchora Mrusi. Mrusi kwa upande wake anafahamu fika kwamba USA na NATO wanao uwezo wa kuyadhibiti makombora hayo ya IBM lakini hawajatoa "go ahead" kwa Ukraine kamailivyokuwa kwa makombora ya Long Range. Kwa kulijua hilo, Mrusi anatishia kwamba next baada ya hapo i.e. endapo USA na Wenzake wataruhusu matumizi ya mitambo yenye uwezo dhidi ya makombora hayo e.g. Aegis na Modernised Patriots hana tena ujanja zaidi ya hapo ila itakuwa ni kutumia Nyuklia. Ndo mana amebadili sheria na kuidhinisha matumizi ya silaha za nyuklia endapo ikibidi.
Na hata akitaka kutumia nyuklia, iwapo Marekani na NATO nao wakisema watatumia Nyuklia, basi hapo aidha Putin aondoke mwenyewe madarakani au aondolewe na Warusi wenyewe maana muziki wanauelewa!
 
Kilomita tatu kwa second moja. Wewe unaamini hilo kiuhalisia inawezakana?
Yaan bado natafakari hapa hiyo spidi sipati picha
Lakini inawezekana kweli, maana kama hakuna ADS za kuyatungua sababu ni hiyo spidi ya ajabu
 
Na hata akitaka kutumia nyuklia, iwapo Marekani na NATO nao wakisema watatumia Nyuklia, basi hapo aidha Putin aondoke mwenyewe madarakani au aondolewe na Warusi wenyewe maana muziki wanauelewa!
Ni kweli. Ukrainian Armed Forces wametoa jibu 22/11/2024 kwa kukipiga kituo kilichohusika na Kurusha kombora hilo "Oreshnik" tar. 21/11/2024 (Kapustin Training Area)kwa kutumia Drones na wamesema kombora hilo la majaribio limetumia dak 15 kufika mji wa Dnipro tangu lirushwe. Russia yenyewe imekiri matumizi hayo na ndo iko kwenye hatua za kuweza kuzalisha makombora aina hiyo kwa wingi. Manake ni kwamba kama jamaa ( USA na NATO) wakiamua "sasa hivi - leo" kusimamia kucha dhidi ya Urussi; Mrusi itabidi akubaliane na matokea kwani hana hayo makomora kwa wingi kiasi cha kuweza kutunisha misuli dhidi ya USA na Wenzake. Putin atakamatwa kama kuku kwenye tenga.
 
Hii niliisema zamani kwenye FB na sio bye bye tu na itavunjika vipande vipande zile state 54 zitataka kila moja iwe nchi kamili na serikali zake usa itakuwa nyumba ya buibui 9Bayti ankabut)
Hem leta hapa hayo madini tuyaone au fb unatumia Jina gani
 
Hapo hamna kitu kipya hizo teknolojia zipo tangu miaka ya 1980s.

Multiple Independent Reentry Vehicles (MIRVs) zipo kwa makombora mengind ya Urusi, Marekani na nchi chache. Nchi ya kwanza kutengeneza MIRVs ni Marekani ambayo kutokana na mkataba wa silaha za nyuklia START II Marekani ilipanga kuachana na MIRVs 2014, ingawa haizuii kuendelea. Hata Urusi kuna muda waliacha na sasa ndio wakitaka waendelee.

Kuhusu silaha kuzuilika. Urusi yenyewe ina makombora ya tangu 1970s ambayo ukiwaambia wayafyatue kisha wayadungue kwa mifumo yao ya 2020s hawawezi. Missile tech inaenda kwa kasi zaidi kuliko anti-missile tech. Kutengeneza sumu ni rahisi sana kuliko kutengeneza dawa ya sumu. Urusi haina mfumo wa kuzuia ICBM hata liwe la Pakistan.
Kwahio zile carrier zinazamishika
 
Russia ilishapitwa na sera. What started as a military operations and world thought it'll end in few days it has been a long unending war. Russia is full of propaganda
Na vita haitamaliza mpaka unipolar ipotee
 
There is nothing like lightening speed, Russia rumbles now coz the west has abandoned Ukraine. Russia as we knew it then wouldn't have been in unending war with a country like Ukraine , As a matter of fact, this war has exposed Russia's vulnerability and countries like Germany right now can defeat it in a matter of minutes. That's the hard truth but let it sink in.
Endelea kujidanganya kama German wanaweza kuishinda Russia waende wakaichukue kaliningrad ni mali yao halali Ile
 
Naona NATO wamemuita Zelensky wakajadili hilo kifupi mMrusi hazuiliki,hili kombora kwenye 2018-2020 niliona Putin akilizindua Dunia ilikataa na kumuita muongo nimejionea mwenyewe ni balaa zito kabisa kombora linalia mlio wa boeing yaani Mfyuuuuuuuuuuu likifika unasikia kitiiiiiiiiiiiing! Na mwanga mkali kama balbu inataka kufa Kwa kweli waweza ukany. Kabisa
Wee jamaa unazingua ujue heheheee
 
Kwanza hii tabia ya kutoa taarifa kwa marekani kabla ya kushambulia malengo ni kwa nini haswa?
Iran ilipoishambulia israel mara ya kwanza ilitoa taarifa pentagon kwamba masaa 8 yajayo wataishambulia israel. Na wakashambulia.
Jana Russia nao wanawapa taarifa Pentagon kwamba watashambulia huko dnepo. Hii imekaaje?
Baba mwenye nyumba lazima apewe taarifa kabla hujaita fundi kuzibua masinki ya vyoo. Labda aliweka mambo yake huko sasa ukiyakorofisha unaweza kupewa notisi ya kuhama
 
Sio kwa Urusi,unless kama hujui historia ya urusi ,mmekaririshwa sana kuhusu Marekani na washirika wake,
Mbona Putin Kila siku anawanyenyekea Marekani?
Hujasikia Jana anajibebisha Kwa Trump awapatanishe?
 
Maarifa ya kuuwa majirani zako na askari wako kwa miaka takriban 3?. Kama kweli anayo maarifa mengi ayatumie kumaliza vita hiyo.
Vita haitaisha mpaka malengo yafikiwe waache nafo na shosti zao waendelee kupeleka machuma chuma yao
 
Marekani na washirika wake wa NATO walikaa miaka 20 Afghanistan wakiua wazee,wanawake,watoto na wasiojiweza nadhani huo kulikua ni ukosefu mkubwa wa maarifa.
Ila kwa sababu ni Marekani nadhani walikua Wana haki ya kujilinda.
Us ilikosa maarifa ya kuendelea kuidhibiti afghanistan period
 
Back
Top Bottom