Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Sema watu ni wasahaulifu tu au wanaendeshwa na ushabiki

Ukweli ni kwamba Putin halishasema tangu mwanzo kuwa ana missiles zenye uwezo wa kupiga popote nchi yoyote bila kipingamizi.

Watu wakamuona muongo anajigamba bure. Sasa katoa hiyo moja tu Oreshnik watu wanashangaa. Binafsi naamini bado ana surprises nyingi tu ambazo zitashangaza wengi. Putin siyo mjinga kuwavimbia NATO bila kujiandaa kikamilifu
 
Hali siyo nzuri ni tishio.
Ina maana mwamba akitaka anaweza kusambaratisha ikulu ya Zele bila kipingamizi chochote. Yaan kwa hili kombora ni kama Ukraine nzima iko uchi kiulinzi, hakuna mfumo wa kuzuia kombora la Oreshnik
 
Ina maana mwamba akitaka anaweza kusambaratisha ikulu ya Zele bila kipingamizi chochote. Yaan kwa hili kombora ni kama Ukraine nzima iko uchi kiulinzi, hakuna mfumo wa kuzuia kombora la Oreshnik
Putin aliahidi hatomuua Zelensky.
Lengo la Russia kufanya special military operation nchini Ukraine siyo regime change.
 
Nami nikutoe wasiwasi tu nayajua yote hayo, tena pengine katika kiwango cha kukuzidi.

Na maamuzi yote yatafanyika baada ya kikao cha dharura cha NATO hiyo Jumanne ambacho kitajadili majaribio ya silaha mpya kutokea Urusi.
Good Day
Hahaha siyo USA tena? maana kila shambulio wanajulishwa wao siyo NATO. Tusubirie USA ataamua vipi washambulie au waache. Huko UN hawana impact ni kama waimba kwaya kwenye msiba.
 
Hahaha siyo USA tena? maana kila shambulio wanajulishwa wao siyo NATO. Tusubirie USA ataamua vipi washambulie au waache. Huko UN hawana impact ni kama waimba kwaya kwenye msiba.
Sasa Mkuu USA si ndiyo NATO yenyewe?

UN ni mwajiriwa wa US, hawezi kwenda kinyume na bosi. Ndiyo maana hata Israel wanawavimbia kule Gaza na hawana cha kufanya.
 
Sasa Mkuu USA si ndiyo NATO yenyewe?

UN ni mwajiriwa wa US, hawezi kwenda kinyume na bosi. Ndiyo maana hata Israel wanawavimbia kule Gaza na hawana cha kufanya.
Hahaha unajichanganya, sasa kama UN=USA, Iweje Israel Iwavimbie tena huko Gaza waajiri wake?
NATO, na UN siyo USA, Ila USA ni member mwenye ushawishi tu.
 
Back
Top Bottom