acha kujidanganya kwani umeshajua kama utakua na boom au la? ina umuhimu sana!Wastage of time,me mwenyewe nina hisia za kudoj hiyo orientation..!kwanz tutakua hatuna boom,sasa si bora nilalie mgongo nyumbani
acha kujidanganya kwani umeshajua kama utakua na boom au la? ina umuhimu sana!
wewe acha kufuata ratiba kwa kudhani walioiweka ni wajinga uone utakavyobabaika unapofika kwa kuchelewa, ukute wenzio wameshafanya Registration hadi za kozi then ukaonje utamu wa kuwagongea maprof na madk ili wakusainie fomu (sijui kama ni chuo kikuu au vya kata anyway) uone wanavyodengua na uone kama hujaingizwa choo cha kike kama wewe ni me au kinyume chake. Fuata ratiba iliyopangwa na wenye akili zaidi yako hawa wanaokudanganya humu kuwa sio muhimu hutawaona utakapokuwa unahangaika wakati wenzio wanapigwa lecture.
kwani ukiingia choo cha kike hautajisaidia si kuna tundu
sina cha kuongeza umemaliza
for ths c lazma xana coz,sis 2po jesh 2meambiwa 2tapokelewa mda wowote ule kikubwa 2malze mafunzo tu.
ok ivi ni kweli kuna awamu ya tatu inakuja kwa form six?
yeah awamu ya 3 ipo
yeah awamu ya 3 ipo
Hivi we #lugano upo jeshi gani hilo mpaka unaingia jf bila tabu....!!daa kweli cozy yenu ya kiblutu mno...mnatuvuna mno
nipo 822 kj muxoma,ci koz yetu imekaa kidijital zaid,tenah awamu ya 3 lazma mje na mabwen yanazd kunyanyuka kla cku
Waje kufanya nini , wakati raia washaanza Kula Lecture,, Mfano SAUT
hawaj form 6,wanakuja madokta,walimu na manes kwa tetes za huku
haya makuruta yasiwe sumbue vichwa hayaamin amin mpaka yawatokee!!.Wastage of time,me mwenyewe nina hisia za kudoj hiyo orientation..!kwanz tutakua hatuna boom,sasa si bora nilalie mgongo nyumbani