barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,739
- 32,880
Leo asubuhi kuna taarifa zimezagaa, kwamba wasanii wa kundi la sanaa za maigizo (Orijino komedi) wamekamatwa kwa kuvaa sare (rasmi) za jeshi la polisi katika harusi ya mwenzao, Emmanuel Mgaya (Masanja Mkandamizaji)..
.., ikanibidi nichimbue kwenye makabrasha yangu, na kugundua kwamba.., Sheria ya Adhabu (Penal Code) kifungu cha 178 (1) inaruhusu kuvaa sare za jeshi kwa matumizi ya sanaa za maonesho jukwaani au maonyesho ya muziki ndani ya ukumbi... Sheria hiyo iko kwenye ukurasa wa 71 na inaeleza ;
178 (1) - any person who, not being a person serving in the defense forces of the United republic or in any police force established by law, wears without the permission of the president the uniform of any of those forces or any attire having the appearance or bearing any of the regimental or other distinctive marks of such uniform or attire commits an offense and is liable to imprisonment to one month or to a fine of two hundred shillings;
Provided that nothing in this in section shall prevent any person from wearing any uniform or attire in the course of a stage play performed in any place in which stage plays may lawfully be publicly performed, or in the course of a music hall or circus performance, or in the course of any bona fide military representation.
(2) any person who unlawfully wears the uniform or attire of any of the forces referred to in subsection (1), or any dress having the appearance or bearing any of the regimental or other distinctive marks of......
....., hivyo sitashangaa kesi yao ikiwa kesi 'rahisi' kwa upande wa wasanii hao, na labda jamhuri inakwenda kuangukia pua kama wakithubutu kuipeleka hii kesi mahakamani kwa tafsiri hii ya sheria.. Section (178) na subsection (1)..,
Martin Maranja Masese