Orijino Komedi: Kwa faida ya nani?

Orijino Komedi: Kwa faida ya nani?

sasa JP hapa unataka tuwacheke au tuwape support?

mimi naona wapo juu sana na wanafanya vitu vyao kwa makini zaidi hata kuringanisha na FUTUHI (ambao kuna wakati wanaudhi kwa kurefusha jambo bila sababu hivyo kupoteza muda)

lakini kila msanii bongo anahitaji support zaidi na sio kuchekwa kama tunavyofanya sasa hivi haya ni mambo ya vijijini na yanarudisha sana maendeleo. LET'S SUPPORT ONE ANOTHER AND MOVE FORWARD

lengo sio kuwacheka watu au kuwakatisha tamaa wanachotakiwa ni kupewa moyo ili waweze kudumu katika sanaa, sasa tunaposema wamepoteza mvuto sio maana yake hawafai au wapo chini si kweli ila tu wakaze buti, na wanapopata changamoto kama hizi ndio na wao wanakua zaidi
 
Wandugu kwa mtazamo wangu naona hawa vijana tangu waondoke pale EATV kama wamepote kabisa katika anga la vichekesho je ikoje hiyo wa JF

Hiyo ni mitazamo yenu....Nendeni uswazi mkaangalia siku za alhamisi wanayo kula nyomi kwenye TV.
All in all naona unaleta majungu tu. Jamaa wapo juu wanakubalika hata wakipita kitaa watoto kwa wakumbwa wanawashangilia.
 
wanatisha hawa vijana jamani!angalieni makampuni yanayodhamini kipindi chao ndo mtakubali.labda huko kwenu wengine hakuna tbc-1.

na kama hamna kanunueni antenna za ALL-STAR,zipo poa ile mbaya.
 
wanatisha hawa vijana jamani!angalieni makampuni yanayodhamini kipindi chao ndo mtakubali.labda huko kwenu wengine hakuna tbc-1.na kama hamna kanunueni antenna za ALL-STAR,zipo poa ile mbaya.

Hahahahaha vijana wapo juu wanao wabeza ni watoto wa magorofani ambao siku zote wanakuwaga na viwivu vya kijinga kijinga. Jamaa wanakubalika wanakula nyomi balaa. Nunueni Antena za AIR STAR zinadaka sana naona mnapendelea kuangalia Star TV mno.
 
wanatisha hawa vijana jamani!angalieni makampuni yanayodhamini kipindi chao ndo mtakubali.labda huko kwenu wengine hakuna tbc-1.

na kama hamna kanunueni antenna za ALL-STAR,zipo poa ile mbaya.

Biashara hiyo mkuu,

Ni kweli bado wako juu....kulinganisha na makundi mengine ya komedi,km la kina zimbwela na futuhi.

lakini athari za kuvuma sana ni kushuka ukawaacha wenzio wakiwa walipo(si juu wala chini).
 
Ningependa kuuliza? Ivi kwa wao kwenda TBC-1 ina maana na comedy juu ya serikali zimepungua, au zinaendelea mtindo mmoja? Bado wanamwigiza waziri mkubwa, nk?
 
siku za alhamisi wanayo kula nyomi kwenye TV.
.


Mkuu inaelekea unachangia tu bila kuwa na uhakika na uyasemayo? Ze comedy si alhamis.

Hawa vijana kweli wamefulia na waige kwa wenzao kina ZEMBWELA jinsi walivyokaa kwenye game mpaka leo. Ze comedy imebaki jina tu. Lazima tuelewe kwamba wachekeshe sawa ila kuwe na ujumbe fulani ufike
 
Ningependa kuuliza? Ivi kwa wao kwenda TBC-1 ina maana na comedy juu ya serikali zimepungua, au zinaendelea mtindo mmoja? Bado wanamwigiza waziri mkubwa, nk?

komedi juu ya serikali zinaendelea kama kawaida!
kama ni mfuatiliaji kuna kipindi cha enzi-za-mwalimu kilisaidia sana kufikisha jumbe na tuhuma mbalimbali juu ya serikali.

Waangalie wannavyomuandama kepten john komba,na tuufisadi twake tudogotudogo

angalia walipowaandama trl
 
Mkuu inaelekea unachangia tu bila kuwa na uhakika na uyasemayo? Ze comedy si alhamis.

Nyie wama gorofani si mnaogopa kwa vile wana wananga wazazi wenu?
Yeah wamerejesha sasa ni Alhamisi watu tutakuwa tunakodoa macho bunge limeisha sasa. Mbona Mheshimiwa Komba bado wanamuiga mzee wa presha inashuka presha inapanda. Nakumbuka kwa nyakati tofauti Pinda alitamka mwenyewe ni mshabiki mkubwa wa Orijino Komedi hata Shamshi Vuai Nahodha
alikili wazi wazi iwa hakosi kipindi hicho nyie vp mpo wapi nyie?
 
Komedi oyeeeeeeee..............!!!
Orijino Komedi ni noma baba,asiyekubali basi tena!!!
 
Komedi oyeeeeeeee..............!!!
Orijino Komedi ni noma baba,asiyekubali basi tena!!!

Unajua nimesha gundua hapa kumbe kuna watu wanatoka kundi la ITV na wapenzi wa ITV wanakuja wanapotosha ukweli hapa huwezi linganisha orijino komedi na Futuhi haiwezekani kumbe watu wamewachukia jamaa walivyo hamia TBC-1 basi ndo huo tunasema ni wivu wa kijinga jamaa wanaonja mafanikio sasa.
 
Ninaachoona mimi wale vijana tumewazoea machoni hawana jipya la kutuchekesha, kwa swala kwamba usanii umewapungua si kweli. Huyu ndugu yetu na maosia yake hayasaidii kwa wakati huu, halafu amejuaje hayo yote kama si kumdhihaki mwenzio mashaka matongo ambaye inawezekana hata hicho kipingi hakukiona wala kukisikia popote.

Huyu bwana ana mambo ya kujifanya baba wa taifa kutoa wosia kwa wenzie!

he kweli ni balaa kama si blaaa.
 
Soma vizuri utanielewa, mesoma historia ya shigongo kwa ze komedi? kama ndivyo! umenielewa.
 
Komedi oyeeeeeeee..............!!!
Orijino Komedi ni noma baba,asiyekubali basi tena!!!

Mimi siwakubali hata! ki msingi wamefulia kabisaaaa, ubunifu sifuri na hawana mvuto tena!

Kwa mfano wiki hii, yaani comedy gani ya kuigiza miziki tuuuuuuu kipindui kizima? afu kibaya zaidi wanaweka kanda ya mwanamziki ambaye tunamjua na tunaiona kila siku sasa hapo kipuya ni nini?

Yaani they are completely doomed!

FUTUHI wako JUU kqa sana!
 
Mimi siwakubali hata! ki msingi wamefulia kabisaaaa, ubunifu sifuri na hawana mvuto tena!

Kwa mfano wiki hii, yaani comedy gani ya kuigiza miziki tuuuuuuu kipindui kizima? afu kibaya zaidi wanaweka kanda ya mwanamziki ambaye tunamjua na tunaiona kila siku sasa hapo kipuya ni nini?

Yaani they are completely doomed!

FUTUHI wako JUU kqa sana!
duh wewe ndo hujui uliko, hivi kwa mwenye akili anaweza kulinganisha futuhi na ze comedy? kwanza wao futui hata kiswahili chenyewe hawajui vizuri, leo hii useme wanatisha? duh labda usukumani! ze comed bado wamo tena saana, hawana mfano tz hii, hata EA tote, nimekuwa kenya ,uganda etc the comedy funika,sasa kina mizengwe nao zengwe tu, futuhi kwanza jina lenyewe lipo kama wao, eeh jumamosi ze comed ni balaa, ila siungi kitendo chao cha kumdhihaki BW MENGI au yeyote aliefulia kwa kumfikisha kiuwazi namna hiyo mbele ya jamii!!
 
Mimi sikuhizi siwaangalii hawa jamaa wanaboa kwa kuchuja kwao,ni vema wamuombe radhi Mengi na kuachana na fisadi Manji kabla hawajaaribikiwa zaidi.
 
duh wewe ndo hujui uliko, hivi kwa mwenye akili anaweza kulinganisha futuhi na ze comedy? kwanza wao futui hata kiswahili chenyewe hawajui vizuri, leo hii useme wanatisha? duh labda usukumani! ze comed bado wamo tena saana, hawana mfano tz hii, hata EA tote, nimekuwa kenya ,uganda etc the comedy funika,sasa kina mizengwe nao zengwe tu, futuhi kwanza jina lenyewe lipo kama wao, eeh jumamosi ze comed ni balaa, ila siungi kitendo chao cha kumdhihaki BW MENGI au yeyote aliefulia kwa kumfikisha kiuwazi namna hiyo mbele ya jamii!!

Ndugu akili ninazo tena timamu!

Pengine unavo dhani wewe ndiye mweye akili kwa kutowalinganisha nikukumbushe tu kwamba kuchanganya kiswahili ama kuchapia lugha ni shemu ya vichekesho! Utakuwa huwatendei haki kwa kuamini kwamba wanapo sema "ngoja nibapigie sumu" wanakuwa hawajui kiswahili chake kwamba ni ngoja niwapigie simu!

Comedy walikuwa wazuri enzi hizo kwa sasa ni sifuri kabisaaaa, yaani mvuto zero ubunifu huo ndo kabisaaaa kwisheni, hawana jipya wanabaki kuimba miziki na nyimbo za watu tunazo zijua! what is funny in it? I cant even waste my time eti nikae kumuangalia joti akiimba kama Rose Muhando wakati ninayo CD original ya Rose!
 
Back
Top Bottom