Orijino Komedi: Kwa faida ya nani?

Orijino Komedi: Kwa faida ya nani?

Kwa kweli FUTUHI Star TV kwa sasa wanaelekea kuziba pengo kwa kuwa na Komedia zenye content ya maana na wanatimiza hasa lile lengo la Tamthiliya za vichekesho yaana ucheshi na ujumbe wenye maslahi kwa jamii.

Nimekuwa nikiona Commedy muda mrefu nafikiri kwa sasa wamelowekea na wala siyo kufulia

Nasoma hizi hoja zenu lakin bado sijaona wapi Ze-komedi origino wamefulia.!
Ki ukweli jamaa hawa bado wako creative ndio maana wewe na mimi tunalijua hili neno 'UMEFULIA', for sure it's a new word between us and the all entire society. Hebu toeni hoja zenye mantiki na mjaribu ku-analysing kwa kiwango kipi? wapi? na vipi? Ze-komedi origin wamefulia.
Msichanganye fitina na majungu yenu kwa Tv tu wanayotumia(Tbc1) kuliko uhalisia na uwezo wa kundi lao.,BADO WAKO JUU! na wanaburudisha huwezi wafananisha na eti FUTUHI hamna kituu.
 
Bravo Kamanda,

Lakini jambo moja ni dhahiri, hawa vijana sidhani kama yuko mmoja wao ambae amemaliza kidato cha nne akapata hata point 25 (yaani division III)! Kiwango chao cha elimu na haya wanayoyafanya hayana tofauti kabisa na uelewa wao! Kwa wao mafanikio haya is a surprise achievement! Wangekuwa wanasukuma mikokoteni na kuuza maji kama sio Channel 5 kuwatoa, japo wao walilipa machafu na matusi kwa mazuri haya.

Manji ni sumu mbaya saana kwa kila mwenye kuweka maslahi ya Tanzania na Watanzania mbele!

Any body who could reach them out there: tell them sasa wanasababisha kinyaaaaa! Wameoza na wananuka!

Wewe umepitwa na wakati sana katika ulimwemgu huu wa sanaa. Wachekeshaji mahiri na wakubwa Duniani hawana Elimu kubwa kama unavyojaribu kutoa maana hapa.,the comedy is a talent and gift from nature haitaji nondos za ma-degree na ma-phd kibao eti ndio uwe best comedian,watu kama Mr.bin, Cosby na wengine wengi tu katika sanaa ya uchekeshaji hawana Elimu kubwa ki-hiiiivyoooo, ata mtu wa darasa la saba anaweza kuingia katika game na kuwa the great comedian na ku-hire' wasomi kama wewe kulinda kazi yake, in term likely COPYRIGHT.!
 
mmh, basi wameloweka na JIK itafika kipindi nao watafulia tu kwa jinsi inavyonekana na watu wamewazoea sana na kuwaona kawaiiiida, ki ukweli siku hizi hatuchek sana kama zaman, wanaitaji mabadiliko na kusikilizamaoni ya wadau.
 
Nafikiri sasa wanaanikwa juani wakauke baada ya kufulia.Lakini wakishtuka wanaweza kurudia ubora na viwango tena.
hawa wamefulia tena msimu wa el nino, hata pakuanika hakuna! wasipoangalia zitavunda bila kukauka na hazitakuwa na mvuto teeena hata ufanye nini! wasije kuchukulia kuwa kwa kuwa walishapata umaarufu basi wabweteke, kumaintain standard walioyokuwa nayo na hata kuiboresha zaidi kunahitajika kazi ya ziada waamke wafanye kazi, sanaa si lelemama kama wengi wanavyofikiria!
 
ndugu zangu

tatizo wabongo huwa hamna macho mazuri, hao kuanzia walikotokea yaani C5 hawakuwahi kuwa wachekeshaji ila walichokuwa wakikifanya ni kujaribu kuwafanya watazamaji tuwacheke wao.

nani kawaambia kuchekesha ni kulundika ma lipstick, washaurini wawaangalie ridikyulasi wa kenya au basket mouth wa nigeria, hawavai kikike wala kujaza mawowowo ili tuwacheke, they just talk and its damn funny
 
wakuu, hawa jamaa kununuliwa na manji hawakujua ilikuwa chambo ya kumvuruga mengi kibiashara, lengo la manji si wao kuendelea ila ni kumkomoa mengi bila kujali masilai yao, sasa basi kwasababu hiyo ngoja wafulie mpaka nguo zichanike, wapate akili wajipenge upya. TBC sasahivi wapo kama viraka wa kutafuta pesa kupitia matangazo na si kama wasanii. waache watangaze hiyo mikoa yao mpaka ibadilike rangi.
 
Tatizo la comedy mbunifu na mtundu wa kubuni ni mmoja,joti akichoka wote wanachoka unategemeaa nini,wafanyae kama ulaya au america watafute watalaam wa comedy wawe wana wa train kuhusu kuwa wabunifu na wapate manager au msimamizi mzuri sio seki coz hata mwenyewe katokea kwenye maigizo ataweza kuwa mbunifu?
 
Nafikiri kwa sasa wanaelekea kupotelea kabisaaaaaaa....! hakuna kitu hao.
 
In life sometime it's very easy to be at the top, but the biggest challenge is to maintain that status. The Original Comedy Group Managed to rapidly conquer the hearts of thousands of Tanzanians, but as time goes on, the challenge is whether will they maintain the quality or not.

I agree with Werema Ekikondo and I believe that Tido Mhando is also watching, if he is not mainly interested in harvesting millions from Vodacom plus other advertisers.
 
Ze COMEDY wamefulia ukichimba shimo shuruti uingie mwenyewe. Lazima waonje utamu wa kufulia. Wanafikiri mchezo!!
 
You have spoken. Akina Manji na Rostam wanagombana na Mengi. Sasa kwa hoja hii, inaonekana yao si kujenga wala kuendeleza bali kubomoa.
 
In fact, hawa jamaa wanatuibia umma wa Watanzania. ifike wakati hata tugomee bidhaa za Wahindi. Tunawatajirisha sisi wenyewe halafu wanatukanyagia chini.
 
Bravo Kamanda,

Lakini jambo moja ni dhahiri, hawa vijana sidhani kama yuko mmoja wao ambae amemaliza kidato cha nne akapata hata point 25 (yaani division III)! Kiwango chao cha elimu na haya wanayoyafanya hayana tofauti kabisa na uelewa wao! Kwa wao mafanikio haya is a surprise achievement! Wangekuwa wanasukuma mikokoteni na kuuza maji kama sio Channel 5 kuwatoa, japo wao walilipa machafu na matusi kwa mazuri haya.

Manji ni sumu mbaya saana kwa kila mwenye kuweka maslahi ya Tanzania na Watanzania mbele!

Any body who could reach them out there: tell them sasa wanasababisha kinyaaaaa! Wameoza na wananuka!
Werema unajua hapa its all about talent,talent has got nothing to do with education status,kweli hawajamaa wanawezakuwa hawajapata hiyo division three,lakini kupata division three sio kiashiria cha akili,wengi wanazo na ni mambumbumbu wakufa mtu,ukiniambia hawajamaa hawana jipya nakubaliana na wewe,lakini pia napingana nawewe kuwa hawa jamaa wanastahili kuendesha mikokoteni tuu,this is a BLASPHEMY,kila mtu anapata ridhiki kutokana najuhudi na matakwa ya sir God!!Najua we ni muelewa na you've got education but i doubt if ulikuwa educated with that education!!Do not discredit wasukuma mikokoteni,ni watu kama wewe na kazi kama nyingine yoyote ile!!!
 
Kwa kweli FUTUHI Star TV kwa sasa wanaelekea kuziba pengo kwa kuwa na Komedia zenye content ya maana na wanatimiza hasa lile lengo la Tamthiliya za vichekesho yaana ucheshi na ujumbe wenye maslahi kwa jamii.

Nimekuwa nikiona Commedy muda mrefu nafikiri kwa sasa wamelowekea na wala siyo kufulia


Futuhi some time wanakua kama wanajichekesha wao wao wachekeshaji!! au Mwanza na Dar wanacheka tofauti tofauti?
 
Back
Top Bottom