FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 723
......... sio wabaya ila shule inawakosesha uwezo wa ku analyze issue zao.
futuhi some time wanakua kama wanajichekesha wao wao wachekeshaji!! Au mwanza na dar wanacheka tofauti tofauti?
Wakuu kwa wanaopenda ze commedy mtakubaliana nami jana Manji alionekana na Mpoki ndani ya Commedy. Mpoki alikuwa anamwezesha Manji pesa ili aisaidie club ya Yanga.
Nilimwona akiomba nauli. Jana walikuwa bize wanawaandama wacheza sinema. Nadhani ile ishu ya Kanumba na kimombo chake. Baadaye niliangalia Futuhi nikafurahi zaidi. Mkuu Futuhi wako juu. .
Duh Futuhi niliikosa.
Lakini na hao Futuhi mchekeshaji yupo mmoja tu.
we futuhi wakali sana, niliwaangalia jana wana mada zinazofundisha, Manji nae asipoangalia anafulia muda sio mrefu haiwezekani mtu kama yule awe anaigiza igiza na watoto
Nimegundua hapa watu wengi saaaaaaaaana wanawachukia Ze Komedi...sasa sitapata tabu tena..watu wengi ni wanafiki humu, jana nilifanikiwa kuangalia both Ze Komedi na hao Futuhi, ila to be honest Futuhi baaaaaaaado saaaaaaana tena saaaana tu kufikia level za Ze Komedi, labda muendelee kuwapigia debe hivo hivo ndio wataweza kujaribu kuwafikia akina Masanja japo kidoogo....ni hayo tu.