FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 723
Jamani vijana wamepata mlezi, hatujui motive yake mwacheni, acheni vijana watoke kimaisha!
FD
FD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani vijana wamepata mlezi, hatujui motive yake mwacheni, acheni vijana watoke kimaisha!
FD
Thank you KKN! Unajua watu hawalioni hili. US kuna kipindi cha kuchekesha Satuday Night Live ambacho kiko huru na kinaweza kikaandaa vichekesho vya yeyote yule toka Republican au Democratic bila kuwa na wasi wasi wowote. Kwa sababu wachekeshaji hao wako huru katika kuamua waandae vichekesho vya aina gani.
Sasa hawa Ze comedy kwa kujihusisha na Manji basi wameshapoteza uhuru waliokuwa nao. Manji akiwaambia kwamba sitaki muandae vichekesho vya fulani na fulani basi hawatakuwa na ubavu wa kufurukuta na kufanya vinginevyo.
Hauko wrong hata kidogo, uko very right.
Kama tunataka quality katika kazi za hawa jamaa inabidi tuweke siasa pembeni na tuwaache wafanye maamuzi yao kibiashara. Si sahihi kuanza kuwaponda kabla hatujajua hata contents za mkataba wao na Manji, hii ni dalili ya skeptism tu!
Wazalendo waliobaki ni wachache sana almost negligible, suala la njaa linagusa wengi sana,sina hakika kama kuna mtu anaweza kuacha kuchukua mshiko toka kwa fisadi ktk mazingira ya mashaka kimaisha tuliyo nayo.
siyajui maisha ya hawa vijana zaidi ya kuwaona ktk luninga.Nao wanatamani kujenga nyumba zao na pengine kusaidia jamaa zao huko porini,ikibidi wawasomeshe watoto/wadogo zao shule nzuri.
Mlezi awe Manji au nani sijui,kikubwa malipo yao yana tija? Mtumikie kafiri upate mradi wako.
Vita vya kibiashara kwa vijana hawa si muhimu,umri unakwenda na majukumu yanakuja.Ok huyu mwingine fisadi na je huyo mwingine unajua vitu vyake? Kimsingi napenda vijana wapate cho chote kitu wapunguze ukali wa maisha basi.
Jamani vijana wamepata mlezi, hatujui motive yake mwacheni, acheni vijana watoke kimaisha!
FD
Wazalendo waliobaki ni wachache sana almost negligible, suala la njaa linagusa wengi sana,sina hakika kama kuna mtu anaweza kuacha kuchukua mshiko toka kwa fisadi ktk mazingira ya mashaka kimaisha tuliyo nayo.
siyajui maisha ya hawa vijana zaidi ya kuwaona ktk luninga.Nao wanatamani kujenga nyumba zao na pengine kusaidia jamaa zao huko porini,ikibidi wawasomeshe watoto/wadogo zao shule nzuri.
Mlezi awe Manji au nani sijui,kikubwa malipo yao yana tija? Mtumikie kafiri upate mradi wako.
Vita vya kibiashara kwa vijana hawa si muhimu,umri unakwenda na majukumu yanakuja.Ok huyu mwingine fisadi na je huyo mwingine unajua vitu vyake? Kimsingi napenda vijana wapate cho chote kitu wapunguze ukali wa maisha basi.
Jamani, samahanini kwa yale nitakayoandika hapa leo. Kuna jambo fulani huwa linanikera sana. ni kuhusu hawa jamaa wa ze comedy. Hivi kwanini huwa wanajiexpress kama vile ni mashoga?kwanini wanaume wenye ndevu kama wale wanakuwa wanavaa nguo za kike, wanapaka wanja na kulembua mimacho kama mashoga fulani hivi? hivi kweli hawa sio mashoga hawa?, wamechafua jamii, hadi mtoto mdogo anawaiga kina joti. watu wengi wanaotoka nje, na wanaoangalia tv toka nje ya tz, wanatucheka sana, wengi wanafikiri ndo watz tulivyo.
hivi wale jamaa huwa wanatoa ujumbe gani?kwasababu hata wakitoa ujumbe, huwa unaonekana haupo kwasababu mambo wanayoyafanya ni ya kitoto sana, na wanakera kuwaangalia kwasababu ni kama mashoga. KWANINI WASIMSHIRIKISHE HATA MWANAMKE MMOJA TU wadada waliojaa hapa bongo kama nini hawa ndo awe anajiexpress kama mwanamke? unajua kuna siku tz watu kama kina joti watakuja kubadilishwa na kuwa....., Jamani, naomba mniambia, hivi ninyi na usomi wenu wote mnashabikia ze comedy, umekaa na mke wako unashabikia zecomedy, hivi wanaongeza nini kwenye akili yako? the way masanja anavyofanya, the way joti anavyofanya, na yule mwanamke wa kinyakyusa, hivi kweli wanatuongezea nini?
Nisemacho ni hikii, hivi hawa jamaa hawawezi ku express kitu fulani cha kiustaarabu kutuwakilisha watz kuwa ni watu wastaarabu sio wa kitotokitoto kama vile? nchi gani ulishawai kuona hadi viongozi wanashabikia utumbo kama huu?, mimi nawashari, waacha kujifanya mashoga, napenda wafanye kazi ili wapate ugali wao wa kila siku, lakini wanatakiwa waombe ushauri kwa ma intellectuals ili wafanye kwa ustaarabu wa kuifaidisha jamii sio kuishia kucheka tu na hakuna ujumbe wa maana. pia, wanatakiwa wawashirikishe walau wanawake kwenye kundi lile kwasababu wanavyojifanya mawanawake, wanajiaibisha na kuliaibisha hadi taifa zima. utumbo huu siupendi kishenzi. asante.