Jamani, samahanini kwa yale nitakayoandika hapa leo. Kuna jambo fulani huwa linanikera sana. ni kuhusu hawa jamaa wa ze comedy. Hivi kwanini huwa wanajiexpress kama vile ni mashoga?kwanini wanaume wenye ndevu kama wale wanakuwa wanavaa nguo za kike, wanapaka wanja na kulembua mimacho kama mashoga fulani hivi? hivi kweli hawa sio mashoga hawa?, wamechafua jamii, hadi mtoto mdogo anawaiga kina joti. watu wengi wanaotoka nje, na wanaoangalia tv toka nje ya tz, wanatucheka sana, wengi wanafikiri ndo watz tulivyo.
hivi wale jamaa huwa wanatoa ujumbe gani?kwasababu hata wakitoa ujumbe, huwa unaonekana haupo kwasababu mambo wanayoyafanya ni ya kitoto sana, na wanakera kuwaangalia kwasababu ni kama mashoga. KWANINI WASIMSHIRIKISHE HATA MWANAMKE MMOJA TU wadada waliojaa hapa bongo kama nini hawa ndo awe anajiexpress kama mwanamke? unajua kuna siku tz watu kama kina joti watakuja kubadilishwa na kuwa....., Jamani, naomba mniambia, hivi ninyi na usomi wenu wote mnashabikia ze comedy, umekaa na mke wako unashabikia zecomedy, hivi wanaongeza nini kwenye akili yako? the way masanja anavyofanya, the way joti anavyofanya, na yule mwanamke wa kinyakyusa, hivi kweli wanatuongezea nini?
Nisemacho ni hikii, hivi hawa jamaa hawawezi ku express kitu fulani cha kiustaarabu kutuwakilisha watz kuwa ni watu wastaarabu sio wa kitotokitoto kama vile? nchi gani ulishawai kuona hadi viongozi wanashabikia utumbo kama huu?, mimi nawashari, waacha kujifanya mashoga, napenda wafanye kazi ili wapate ugali wao wa kila siku, lakini wanatakiwa waombe ushauri kwa ma intellectuals ili wafanye kwa ustaarabu wa kuifaidisha jamii sio kuishia kucheka tu na hakuna ujumbe wa maana. pia, wanatakiwa wawashirikishe walau wanawake kwenye kundi lile kwasababu wanavyojifanya mawanawake, wanajiaibisha na kuliaibisha hadi taifa zima. utumbo huu siupendi kishenzi. asante.