kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Timu za Berkane na Orlando Pirates zimefika hatua ya final mashindano ya caf championship, Hii ni mara ya pili kwa timu ambazo zilifungwa na Simba kwenye uwanja wa Mkapa kufika hatua ya kucheza fainali kwenye mashino ya CAF.
Hii ina maana gani kwa timu ya Simba, uwanja wa Mkapa na timu zetu za Afrika?
Hii ina maana gani kwa timu ya Simba, uwanja wa Mkapa na timu zetu za Afrika?