Orodha kamili ya makatibu wakuu wa CCM tokea ilipoanzishwa mwaka 1977

Tuwe na subira hadi lini kaka miezi minne sasa tupo gizani na haijawahi kutokea hapo nyuma. Mnashindwa kazi ndogo ya kuwasha umeme kiwila
 
Sh....t
 
Wanawasha usiku wa manane tukiwa tumelala au ndo utaratibu?
Poleni sana lakini vuteni subira kidogo maana mwezi huu kuna mtambo utawashwa katika bwawa la mwalimu Nyerere ambalo litatupatia megawati ambazo zitaunganishwa katika grid ya Taifa na hivyo kupunguza na kuondoa masuala ya mgao wa umeme
 
Poleni sana lakini vuteni subira kidogo maana mwezi huu kuna mtambo utawashwa katika bwawa la mwalimu Nyerere ambalo litatupatia megawati ambazo zitaunganishwa katika grid ya Taifa na hivyo kupunguza na kuondoa masuala ya mgao wa umeme
Ni lile alilolianzisha shujaaa mpambanaji magufuli mwamba??
 
asante sana kwa darasa mujarabu la makatibu wakuu wa chama tawala ccm
 
Waulize nyumbu na mafisi wa CHADEMA wakwambie wenyeviti wao ngazi ya Taifa. Utaona wanamtaja Mbowe tu maana chama ni cha mfukoni mwake na nyumbu wote amewaweka kapuni
chama cha mapanyarodi chadema kina historia fupi ajabu aise dah 😀

ukitaja mbowe tu, basi ndio historia ya chama cha mapanya rodi imeishia apo 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…