Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Bakhresa: USD 800 mlnAjapeleka taarifa kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakhresa: USD 800 mlnAjapeleka taarifa kule
ninazo basi...Hahaha akili zako wewe..
kutoka kushona viatu mpaka kumiliki matrilioni...Bakhresa: USD 800 mln
yani nacheeeka huku nasindikizia viazi vitam..Umefurahi kuona mbabe wako nae ana mbabe wake.
Ndio stori zetu hizo wabongo tukiwa vijiwenikutoka kushona viatu mpaka kumiliki matrilioni...
Kwann mkuuBakhresa hata top ten ya matajiri wa Tanzania hayupo.
Unajua kwanini? Au basi.
tujifariji vipi sasa wakati vijiweni huwa ni stress free areaNdio stori zetu hizo wabongo tukiwa vijiweni
View attachment 2880673
Jobless na masikini inatubidi tukashinde vijiweni ukibaki ndani utajiua kwa stresstujifariji vipi sasa wakati vijiweni huwa ni stress free area
Wazo zuri sana mzee ulikuwa wapi kusema toka zamaniJobless na masikini inatubidi tukashinde vijiweni ukibaki ndani utajiua kwa stress
Yeah wasionekane wanyonge ila kwa wasanii wanakuza brand zaoHahahahahaha..ni sehemu ya promo kwa matajiri
Sema tu Bakhresa hapendi kijitangaza lakini ukweli Mo hawezi kumzidi Bakhresa! Ule uwekezaji tu pale baharini Verdy Hotel siyo wa kitoto. Uliona wapo raia anafukuza bahari? Njoo sasa kwenye boat, Vyombo vya habari, timu la mpira na kiwanja, vinywaji n.k. Mo hamwezi bwana!Bakhresa hamkuti Mo
Bakhresa hamuwez mzee awadh wa azania group na lake oil groupBakheresa ni tajiri ila hataki mali zake zihesabiwe amekataa ndio hayupo ktk Forbes za ndani watu wanasema bakheresa Mali zake na kampuni na viwanda unavyoona sio zake peke yake bali kuna share na watu that's why hataki kuhesabiwa kwakuwa Mali sio zake peke yake
Angalia biashara anazofanya Mo na Bakhresa zipi ambazo zina demand kubwa kwenye maisha ya watu kwa zaidi ya asikimia 70?
Nitajie kiwanda kikubwa cha bakhresa kinachozidi ukubwa kiwanda cha sayona pale pwaniSema tu Bakhresa hapendi kijitangaza lakini ukweli Mo hawezi kumzidi Bakhresa! Ule uwekezaji tu pale baharini Verdy Hotel siyo wa kitoto. Uliona wapo raia anafukuza bahari? Njoo sasa kwenye boat, Vyombo vya habari, timu la mpira na kiwanja, vinywaji n.k. Mo hamwezi bwana!