hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaa hahaaa imenibidi ..nicheke tu mkuuDaah...!!! Ebana hawa jamaa ni washkaji zako nini..?? Naona unawaelezea kama ulisoma nao vile au mnashindaga pamoja kitaa...!!
Una kazi sana mkuu...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaa hahaaa imenibidi ..nicheke tu mkuuDaah...!!! Ebana hawa jamaa ni washkaji zako nini..?? Naona unawaelezea kama ulisoma nao vile au mnashindaga pamoja kitaa...!!
Una kazi sana mkuu...!!
hao wanajuana mkuu"" wote wauza roho zao kwa shetani...na wote walikuwa ni marafiki zake Christopher Wallace ...B.I.G..na wote wameshawahi kutukanwa mnoo na 2packwaio wanapokezana vijiti...nliona wanagonga cheers kwenye sherehe ya jigga
Harmorapa jembona chidibenzi hayupo?
haaha sold their souls to his majestyhao wanajuana mkuu"" wote wauza roho zao kwa shetani...na wote walikuwa ni marafiki zake Christopher Wallace ...B.I.G..na wote wameshawahi kutukanwa mnoo na 2pac
Kina 50 Cent wana mpaka movie production company zinazojulikana, huyu sijasikiaga investment yake yoyote isipokua Shady records ambayo kwa sasa nayo ni kama iko kwenye hibernation.Wenzetu wana angalia investment na ana lebo yake
Kweli mkuu ...usiwaamini hawa waandishi makanjanja wa bongo...anasema ana Jay Z utajiri wa trilioni 1.o25?? Ina maana ana zaidi Dola Bilioni 1 za America??Mhh hii list inatoka marangapi? Hebu weka link tuone, nachojua Diddy is still on top
Dewji ana utajiri wa zaidi ya dola bil1.3 ambayo ni karibu Trillion 3 za kitanzaniaYaani hawa wanamziki wanawazidi hadi matajiri Wa Tanzania
Maana kwa takwimu hizo hata No dewji ,Mengi na bakhresaa hawafikii
Juma Nature je..???
Mnajitahidi kuchekesha lakini upuuzi mnaofanyambona chidibenzi hayupo?
Hahahaha hao vibwengo hata utajiri wa 500 million tu hawana, ambayo ni sawa na USD $200,000Mnajitahidi kuchekesha lakini upuuzi mnaofanya
Jay Z ana USD $900m kwa sasa. Huyo mbuzi sijui kaandika ushuzi gani.Kweli mkuu ...usiwaamini hawa waandishi makanjanja wa bongo...anasema ana Jay Z utajiri wa trilioni 1.o25?? Ina maana ana zaidi Dola Bilioni 1 za America??
Mbona haijawai kutokea kwa Rapper kufikisha na utajiri wa Dola Bilioni??
Dre kidogo afikishe izo hela alivouza Beats zake...nashangaa Jay z duh