Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Wa kwanza ni nani? Au ndo Jay Z vp Diddy na Dre?Jay Z ana USD $900m kwa sasa. Huyo mbuzi sijui kaandika ushuzi gani.
Naona uvivu kwenda google mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kwanza ni nani? Au ndo Jay Z vp Diddy na Dre?Jay Z ana USD $900m kwa sasa. Huyo mbuzi sijui kaandika ushuzi gani.
Jiga kamzidi diddy sahiviWa kwanza ni nani? Au ndo Jay Z vp Diddy na Dre?
Naona uvivu kwenda google mkuu
Birdman hajawahi kuingia top 5 arifu...hao wengine mbali na mziki pia wamewekeza kwenye biashara zingine tofaut tofauti lakin kwa eminem yeye utajiri wake ni kuuza sana mziki wake worldwide tokea miaka hiyo ya nyuma mpaka sasa. Ndio mana kwenye hiyo list msanii wa hivi karibun ni drake peke ake lakin hao wengine wote ni ma-legendary na hela wameanza kuzitafuta kitambo. Albam zake za nyuma zimempa hela sana eminem na anawakimbiza kimya kimyaHichi kijamaa kinatoa takwimu hata hakujapiga mswaki,unaanzaje kuwataja maskini kama Eminem huku Birdman akikosekana hata kwenye orodha? We mziki umeujua Jana baada ya kuja Dar kusoma tuition pale mchikichini
matomaso hua hamkosekani...dola bilioni 1 unaona ni nyingi kwa mtu kama Jay Z au puff daddy? wewe kanjanja wa wapi aisee...list iko nenda hata website ya forbes unaita watu kanjanja kumbe mwenyewe hujafanya research unakurupuka tuKweli mkuu ...usiwaamini hawa waandishi makanjanja wa bongo...anasema ana Jay Z utajiri wa trilioni 1.o25?? Ina maana ana zaidi Dola Bilioni 1 za America??
Mbona haijawai kutokea kwa Rapper kufikisha na utajiri wa Dola Bilioni??
Dre kidogo afikishe izo hela alivouza Beats zake...nashangaa Jay z duh
wasanii wetu sio haba nao kuna mmoja ana bilioni sio habaSasa si bora iwe hivyo, kwa sababu hata nikiwafuatilia hao jamaa na utajiri wao hawanisaidii chochote mkuu...!!! Kupeana stress tu kufuatilia matrilioni ya watu wakati kwenye wallet nna buku 2 tu. Bora nipambane na hali yng huku nikitaja wasanii wetu
[emoji2][emoji23][emoji23]Eminem kibongo bongo ni kama mchaga mbahili hatumii pesa kimakosa
nashukuru sana mwanadamuJay Z ana USD $900m kwa sasa. Huyo mbuzi sijui kaandika ushuzi gani.
makanjanja maskini kama wewe mnaposoma habari mnakurupuka bila kufanya research kujihakikishia kilichoandikwa ni sawa...eti eminem ni maskini..una akili fupi kweli wewe...basi forbes ni matapeli wanasema uongo ( nataja forbes najiuliza hata ninayemjibu anajua hata forbes ni nini) watu tunaujua mziki tokea enzi za Eazy - E wa niggas with attitude unaongea nini wewe mmejua mziki wa akina harmonize ndo mnajua mziki [emoji57][emoji57][emoji57]Hichi kijamaa kinatoa takwimu hata hakujapiga mswaki,unaanzaje kuwataja maskini kama Eminem huku Birdman akikosekana hata kwenye orodha? We mziki umeujua Jana baada ya kuja Dar kusoma tuition pale mchikichini
mkuu usijibu watu wanaojifanya wanajua mziki wa akina harnonize ndo wana leta kiburi kwamba ndio wanajua mzikiBirdman hajawahi kuingia top 5 arifu...hao wengine mbali na mziki pia wamewekeza kwenye biashara zingine tofaut tofauti lakin kwa eminem yeye utajiri wake ni kuuza sana mziki wake worldwide tokea miaka hiyo ya nyuma mpaka sasa. Ndio mana kwenye hiyo list msanii wa hivi karibun ni drake peke ake lakin hao wengine wote ni ma-legendary na hela wameanza kuzitafuta kitambo. Albam zake za nyuma zimempa hela sana eminem na anawakimbiza kimya kimya
Idris alishinda hizo nusu billion akahonga zote saiv kaajiriwa redion analipwa laki tanoHahahaha hao vibwengo hata utajiri wa 500 million tu hawana, ambayo ni sawa na USD $200,000
Maisha yana mengi baba wengine pesa huwaongezea akili huku wengine hupumbazwa nazo. Anyways wanadai jamaa kawekeza mahali ila kwa wabongo wanavyopenda showoffs sidhani kama angeinvest kitu cha maana angeacha kubwata mitandaoniIdris alishinda hizo nusu billion akahonga zote saiv kaajiriwa redion analipwa laki tano
Unaidharau bil 200+ wakati kwenye akaunti yako hata dola 800 huna[emoji3]Eti na drake ni freemason yaani niwe freemason kwa b225 nadhani nitakuwa tahira mkubwa sana
[emoji2][emoji2][emoji23]Eti na drake ni freemason yaani niwe freemason kwa b225 nadhani nitakuwa tahira mkubwa sana
hahahaIdris alishinda hizo nusu billion akahonga zote saiv kaajiriwa redion analipwa laki tano
Kama gap alilopigwa Bill Gates na Bezos wa AmazonAise gap alilopigwa Diddy si mchezo