Orodha Rasmi ya watu wanaopitia Maisha magumu nchini Tanzania

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Labda kwa wanaume ndo shida..
Wanawake wafupi safi tuu, ni wepesi, portable and flexible kunako 6 X 6 !
 
Suluhu kwa watu wafupi please😊
Tatizo huwa wanaongea sana hata pale wasipopaswa kuongea, kujisifia muda wote kwa sababu hawajiamini🀣🀣, wengi huwa wana changamoto sana kwenye mahusiano yao kwa tafiti za haraka haraka maana ni wabishi na very rigidπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mbona Mkapa alikuwa mgupi lakini hizi sifa hana.
Alikua anasimama kama taasisi, sisdhani kama tunayajua maisha yake personal kiundani sana, hapa tunatolea mifano ya watu ambao tunakutana nao kwenye jamii na maisha ya kila siku, kuna jamaa mmoja kwenye jumuia yeye ni mfupi kulikonwote, yaani hata kama zamu ya jumuia haijafika kwake atanyoosha kidole atauliza mbona mmeniruka mimi na atalalamika balaa kumbe maskini mzunguko bado ndio kwanza unaanza, na mtqzumiq nguvu kubwa kumwelewesha, ikibidi hadi kalamu na karatasi
 
Ina mana mfupi kuwa singo ni tatizo Mara dufu!??? [emoji3064][emoji3064]
 
Kwa wale wenye degree na diploma,baadhi wamejichanganya na watu kwa kazi yoyote. Kuna aliyeanzisha biashara ya cheeps na wapo poa. Ila kama hujichanganyi ni mateso.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapa ccm na awamu zake zote inahusika, kasoro namba 3
 
Hapa jirani kuna mwanamke mfupi mwalimu halafu ni singo maza mzee vumbi huwa linaruka juu ya maji kaka usiombe kabisa akukute!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…