Orodha Rasmi ya watu wanaopitia Maisha magumu nchini Tanzania

Nalia na singo maza hao kilio chenu ni kikubwa mno mungu awape amani popote mlipo
 
Ngoja kwanza nile wali nyama na fanta baridi hapa,maana mmmh!
 
Inasemekana mtu mfupi mkikutana njiani na akakuuliza, 'umeniona wapi?' inabidi umjibu 'nimekuona tangu kuleee!' Huku kidole chako ukikionyesha mbali sana huko. Wanasema ukimjibu tu kuwa ndo unamuona hapo utageuka ugomvi kwamba umemshusha.....umemuona mfupi.
 


🀣🀣🀣🀣

Kwani wao ni vibwengo?

Hii hadithi ilinifanya niwe na nidhamu
 
Nilijua unamtaja Mbowe

Sie wengine kila mtu ana maisha yake
 
Nilijua unamtaja Mbowe

Sie wengine kila mtu ana maisha yake


Mbowe hayupo kwenye kundi la wanaopitia magumu Mkuu.

Kuna watu wewe wanahenyeka.

Mbowe anawatu wanaenda kumjulia Hali,
Mbowe anamawakili Mahiri na mashuhuri.
Mbowe anawakubwa wanaompigania atoke.
Mbowe watoto wake na Familia yake inajiweza.

Wapo watu wapo mahabusu Kwa makosa ya kusingizwa hawana mambo yote hayo.

Mbowe anajijengea CV tu hapo itakayomnufaisha yeye tofauti na Sisi wavuja jasho
 
Ahahaha [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…