Orodha Rasmi ya watu wanaopitia Maisha magumu nchini Tanzania

Yote na yote muhimu ni kujisawazisha kisaikolojia
 
🤣🤣🤣

Hawa wengi wao hawajulikani kutokana na tendo lenyewe kufanyika sirini.
Ndo nimejitokeza sasa. Halafu nina mpango wa kuanzisha NGO itakayowahamasisha wenye hali ya 'vibamia' wajivunie hali yao badala ya kuishi kinyonge.

Si deal ziko kwenye NGOs?
 
Mleta mada naona umekosea kuwaweka watu wafupi kwenye uzi wako. Ona sasa wafupi wamewekwa mwisho lakini ajabu mjadala umewageukia wao tu.

Kwa comments chache zilizotolewa hapa ni wazi kuwa watu wafupi wanapitia magumu ambayo ni wao tu na Mungu wao wanaojua ukweli.
 
Hahahaha mjadala umewageukia watu wafupi, waluguru wakiongoza hii kambi
 
Kundi lingine ni vijana wa ccm..ambao wanakaa na kutukana wapinzani..wakisifu na kuabudu halafu kila teuzi hawamo..hawa jamaa ni zaidi ya wachawi..wana ugulia maumivu makubwa sana moyoni..ni wa kuwahurumia tu..absurd

#MaendeleoHayanaChama
 
Kundi lingine ni vijana wa ccm..ambao wanakaa na kutukana wapinzani..wakisifu na kuabudu halafu kila teuzi hawamo..hawa jamaa ni zaidi ya wachawi..wana ugulia maumivu makubwa sana moyoni..ni wa kuwahurumia tu..absurd

#MaendeleoHayanaChama

Vijana wote wa siasa hata wa upinzani ambao wao ni kushabikia vyama vyao bila reasoning
 
Ukiwa mfupi uwe na kitu cha ziada kuvutia wanawake ambacho either ni natural au man made. Wanawake hata hawajulikani huwa wanapenda nini kwa mwanaume......
Natural nazungumzia kipaji kama vile akili darasani, mchezaji bora wa mpira,
Man made una pesa, handsome na uko smart, umesoma na una pesa n.k hapo utachagua wewe wanawake.

Nina uzoefu na hilo, mimi ni mfupi lakini nishadate na wanawake warefu wengi sana na 1 nimezaa naye na hata mchumba wangu ni mrefu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…