Orodha: Serikali yawaita kazini walimu 13,130 na kada za afya. Watakaoshindwa kuripoti ndani ya siku 14 watapoteza nafasi

Hatimaye vizinga vitapungua , wamesota sana kitaa
 
Vijana kachapeni kazi mkisha dhibitishwa kopeni wekezeni achaneni na akina mpwayungu Hana lolote kima TU tena mkuu wa ombaomba Tanzania
 
Majina ya Doto yote yamefanikiwa kupata ajira 😳
 
Dogo wangu analia....anasema bora angesoma diploma ya utabibu...kwani degree yake haimsaidii....Mwaka wa 3 huu anaapply na kushindwa kuchaguliwa....nimemuambia dogo aje tufanye kazi kilingeni kwangu hapa awe anipondea dawa zangu za mitishamba...hwenda mwakani akapata inshaalah....

Msikate tamaa ndugu....maisha ni safari ndefu[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…