Biashara nyingine ni wauza papuch,
Mungu akustawishe na kukupa maarifa zaidi na zaidi na akupe moyo huohuo usiyo na choyo ili uendelee kutoa maarifa, amen.Endelea 'kuniombea' mkuu
thanks much bro... nimepata kitu hapa....Nimekuelewa chief na kwa hakika nikupe pongezi kwa kutokutoka kapa katika andiko hili.
Kuhusu biashara ninayofanya..vi miradi/project vipo vingi kidogo.
nikuombe uendelee kuniombea, na siku za mbeleni katika hivyo vi- project nitakuja kuzungumzia moja ya biashara katika hivyo vi-project vyangu ambayo ni
'procurring, processing, manufacturing, packaging, labeling and distribution of agri-food products'. processs hizo zina muondoa mkulima maana yeye ameshafanya yake kwa kuzalisha zao husika.
Maana nina amini kama ambavyo MO husema katika biashara ambazo hazina ushindani kama ukiujua mchezo vizuri ni biashara ya chakula tu..maana hakuna kampuni itakayoweza kulisha watu wote mill 50.
Sasa chain ya chakula ukimtoa 'mkulima' ni ndefu mpaka kwa mlaji..
Unaweza kuchagua kimoja katika hivi vifuatavyo lakini pia unaweza kufanya vyote kinachotakiwa ni ujue how the masterpiece works
'procurring, processing, manufacturing, packaging, labeling and distribution of agri-food products-.
View attachment 705596
ni hapa na sio apa,kwa ajili sio kwa ajiri..na mengine meengi mburu kenge wewe..hakuna cha maana ulichoandika hapo kwa MTU kama mie..sina id tofauti na hii..usiishi kwa kuhisi ewe kunguni jikeAngalau wewe umekuwa na ujasiri kuja na i.d yako original.
Maana kwa sasa sijibu nguchiro yeyote mpaka nihakiki i.d
Na kwasababu nina uhakika ulikuja na i.d ya zamani ukakosa majibu uliyotarajia bado unawashwa mpaka umeenda kufukua i.d original.
na umekosa cha kucomment umekuja na swala la lugha,
Nikupe tu taarifa dogo ninazungumza lugha 6 kwa ufasaha, tatu katika hizo ndio lugha kuu zinazotumika katika mabadilishano ya kibiashara duniani kote.
Na linapokuja swala la kughani kwa usanifu tenzi za lugha mama wenzio huniita Alwaltan The List.
Wamasai huvuta ugoro puani lakini nyie watoto sikuhizi mmeharibu ubongo wenu kwa kutumia matundu mengine katika miili yenu kuuvuta..rubbish kabisa
hapo sio apo.. mbwembwe nyiingi na majigambo kiswahili hujui.. we mjinga tuu ulietiwa ujinga darasani-Hahaha yaani kunionyesha umekula ugoro umeamua urudi kutapika.
-katika andiko lote nguchiro pori uliloliona ni kukosekana kwa 'h' kwenye neno 'apa'
-Bahati mbaya unashindwa kujua kuwa katika 'sanaa ya uandishi' kuna kitu kinaitwa 'art-of ommision' yaani kwa namna nyingine inaitwa 'succinct writing/ epic gramming'.
-uandishi ambao hauathiri maana bali namna ya kutamka ya neno ndio niliotumia apo na hii huitwa succinct/epic gramming
-hayo huwezi kuyajua wewe mwenye ubongo wa ngedere maana kwa elimu yako ya vidato umeona tatizo ni kukosekana kwa 'h' tu..yaani katika paragraph zaidi ya tano..idiot kabisa
-nani alikuambia naandika hotuba apa..wasted sperm!!
Mkuu mbona unauliza maswali ya kidadisi-dadisi? Unataka kutupeperushia ndege ehe?Forex vipi? haifai?
shenzy..nimekutandika vizuri na unacheza ngoma yangu sasa..niweke Uzi humu ili iweje!?..nikiona haina budi nitaweka..uwezo wa kiakili haupimwi kwa kuweka Uzi humu kama hayo matapishi yako uliyoweka hapaDarasani ndiko kuna nifanya niwe tofauti na ww ngedere, maana tofauti na uzi wako wenye kichwa 'HODIIII' huna lingine zaidi ya kinyesi ulichorithi kichwani.
Nani alikuambia kuna neno la kiswahil linaandikwa nyiiingi, hodiii, mengiii..?? Kubwa jinga kabisa wewe
-Kichwa kichafu umenifurahisha kukuona apa maana sikujua nawe huwa una kuwa na kiu na madini adhimu kama haya.
-Jana nikipata chakula majukwaa mengi yakiwa yamepoa nikaona niende kwenye uzi wako ule likes maana nilisikia huwa siku nzingine mnapost makala za habari za kimataifa na afya.
-Nikiwa na shauku kupata kitu kipya cha kusoma na hasa kuhusu afya nikapita jukwaa hilo..nilichokutana nacho ni aibu!!!
-Nafungua tu uzi nikakutana na picha za uchi, ikiambatana na hizo likes za kutosha kwa mantiki kuwa member wengine wamependezwa na ile picha.
-Nilishangaa sana kias nikashindwa kujizuia na kumuuliza niliyemkuta online wakati huo akijiita BUNYEZE, kwamba kulikoni haya mambo??
-Jibu nililopewa mdilo linalonifannya mpaka sasa nishindwe kuamini na kufanya nishindwe kulala kwanza alinijibu hizo sio picha za utupu bali ni 'misambwanda'.
-Na yeye inapofika saa 8 usiku mpaka asubuhi wenzie ikiwepo wewe mmempaa kazi awe ANA ANGALIA , KUCHAGUA KISHA KUDOWNLOAD na KUPOSTI MISAMBWANDA ambayo pakikucha wanawake wanapita WANAINGAALIA, KUCHAMBUA KISHA KUWEKA LIKE kwenye MISAMBWAMDA YA WANAWAKE WENZIO.
-nikajaribu kumuuuliza kwa kina juu ya uchafu huo lakini niliishia kuambiwa kuwa mimi namuonea 'wivu na kuwa niache 'kumfokea' kwani huo ndio 'utaratibu' wenu..yaani yeye BUNYENZE ANAKESHA USIKU AKIAANGALIA, KUCHAGUA, KISHA KUDOWNLOAD NA KUPOST MISAMBWANDA ambayo inasubiri iwekewe LIKE na dada zake asubuhi
-sikuamini majibu yale ikabidi niangalie majina ya washirika wa uzi ule na bahati mbaya nikakuta jina lako kichwa kichafu
-Emu nisadie kunielewesha mkuu ilikuwa bahati mbaya kwangu jana au ndio desturi yenu.
umeenda kufukua historia yangu jf...unaandika uharo tu humu..anaejielewa hawezi kuandika ulichoandika..bichwa lako ni mtondoo tu..Dogo hiki ni kisiki na wenzako waliowahi kujaribu waliishia 'kutawazwa' upupu wao kama ambavyo nakufanyia wewe apa.
Maana 'nakutawaza' kwa elimu ya darasani kisha nakurudisha mtaani, apo katikati 'nakuuza' kwa shoga zako wa 'kwa Macheni' kisha nakurudisha tena darasani.
Mpaka uje akili 'ikukae' utakuwa tayari 'umepulizwa' na bila kujua The List ntakuwa nyuma yako nikikuchezea 'makhirikhiri'.
Ukimaliza darasa hili naomba tafadhali uanzishe na darasa la kununua biashara ya mtu. Yaani unakuta mtu anaduka, ama kiwanda, ama muoka mikate na kadhalika na unataka ununue ama yeye anataka auze biashara hiyo. Vitu gani vya kuangalia kipi kizingatiwe katika kununua biashara ya mtu? Ununuzi wa biashara si jambo geni, wamefanya hivyo facebook kwa intagram, microspft ndiyo usisema, huko Canada nasikia ndiyo dili kabisa.Nikukumbushe Mjasiriamali mwenzangu huna sababu ya kushindwa kuingiza faida ya laki moja au zaidi kwa siku kwa kisingizio uchumi umeyumba. Ukiona unalalamika basi kuna kitu unafanya sio sahihi.
146 kiboko.NB: Unaweza pia soma > Biashara za kufanya kwa mtaji mdogo wa elfu 10 mpaka 50
NIMEKULETEA LIST ZA BIASHARA MBALIMBALI.... KAMATA MOJA UJIKOMBOE
1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali.
5. Kuanzisha kituo cha redio na televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa mbalimbali vya electroniki na mawasiliano mfano; compyuta na vifaa vya compyuta na mawasiliano.
7. Kuuza software; mfano Antivirus, Operating Systems, Pastel, Tally, Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo mpya; suit, socks, batiki, nguo za asili, Mashuka, Mashati, Suruali, 10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe, Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza (supply) vitabu na vifaa mbalimbali ktk mashule na vyuo.
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo, kutengeneza popcorn na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki zisizotumia mafuta na zinazotumia mafuta
16. Kilimo cha mazao mbalimbali kulingana na hali ya hewa ya sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. Kufungua Internet cafe 2
7. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya ujenzi; cement, vifaa vya umeme, duka la mabati
30. Kutengeneza michoro mbalimbali ya majumba na miradi ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi (Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa nishati ya jua (solar) ,battery, inverter na vifaa vingine vya solar n.k 34. Kuuza maji kwa jumla na rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta, laptops, converters, HDDs, Monitors, Softwares, CD Copiers na vifaa vingine.
40. Kununua magenerator na kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za simu
42. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za internet (ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya taa au mafuta ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. Kufungua Shule za Awali, Shule za Msingi, Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya DStv, Zuku, Startimes, Easy TV, TNG, Digitech, Continental.
51. Kujenga mtambo wa kuzalisha umeme na kuuza katika viwanda na wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. Kuchimba/Kuuza Madini
56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery
59. Kufungua studio ya kupiga na kusafisha picha
60. Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza vyakula katika sherehe na tamasha mbalimbali (catering).
63. Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza bajaji, pikipiki na magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake, jembe 68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba pancha za matairi ya magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za harusi
74. Kufungua yard kwa ajili ya kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea (welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site (boots, helmets etc)
77. Kununua mabasi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza vipindi vya redio na televisheni
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya televisheni (TV Games)
80. Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha fork lift na winchi (crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha kutengeneza viatu.
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na gadgets mbalimbali zinazoendana na mawasiliano ya Vodacom, TTCL, AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha kwa sherehe, mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya ujenzi wa barabara na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za kusafisha, kutoboa na kuchana mbao
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa vya Umeme wa kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. Kukodisha matenki ya maji**
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/ matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago, batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY PESA
100.Kuanzisha sehemu ya kufanyia mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa (pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya "Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya nyumbani mfano bakuli, sahani, vikombe, vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. Kampuni ya kusafirisha abiria kwa njia ya anga (ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za kutengeneza tofali
122. Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza matairi
130. Kutengeneza vitanda vya chuma
131. Kununua nyumba katika Maghorofa (Apartments) na kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network marketing)
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za kukodisha kwa ajili ya kilimo
151.Kuendesha bodaboda,Taxi,Daladala,Carry
KAMA YOTE HAYA UMESHINDWA KUPATA LA KUFANYA, BASI TUENDELEE KUWA WAAJIRIWA WA SERIKALI NA TUSUBIRI KUSTAAFU TU.
Vyote alivyo andika ni sawa ila hii serikali inafilisi watu.Hata Shigongo alikuwa anaona vijana hawachangamkii fursa, kumbe yeye alikuwa awapi siri yake ya mafanikio ni kupiga deal na ccm halafu anawadanganya vijana kujifanya motivated speaker, wanafki sana watu hawa.
zote zina mitaji mikubwa labda kuuza vitafunwa inaweza kuwa ndo bei rahisiNB: Unaweza pia soma > Biashara za kufanya kwa mtaji mdogo wa elfu 10 mpaka 50
NIMEKULETEA LIST ZA BIASHARA MBALIMBALI.... KAMATA MOJA UJIKOMBOE
1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali.
5. Kuanzisha kituo cha redio na televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa mbalimbali vya electroniki na mawasiliano mfano; compyuta na vifaa vya compyuta na mawasiliano.
7. Kuuza software; mfano Antivirus, Operating Systems, Pastel, Tally, Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo mpya; suit, socks, batiki, nguo za asili, Mashuka, Mashati, Suruali, 10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe, Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza (supply) vitabu na vifaa mbalimbali ktk mashule na vyuo.
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo, kutengeneza popcorn na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki zisizotumia mafuta na zinazotumia mafuta
16. Kilimo cha mazao mbalimbali kulingana na hali ya hewa ya sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. Kufungua Internet cafe 2
7. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya ujenzi; cement, vifaa vya umeme, duka la mabati
30. Kutengeneza michoro mbalimbali ya majumba na miradi ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi (Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa nishati ya jua (solar) ,battery, inverter na vifaa vingine vya solar n.k 34. Kuuza maji kwa jumla na rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta, laptops, converters, HDDs, Monitors, Softwares, CD Copiers na vifaa vingine.
40. Kununua magenerator na kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za simu
42. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za internet (ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya taa au mafuta ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. Kufungua Shule za Awali, Shule za Msingi, Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya DStv, Zuku, Startimes, Easy TV, TNG, Digitech, Continental.
51. Kujenga mtambo wa kuzalisha umeme na kuuza katika viwanda na wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. Kuchimba/Kuuza Madini
56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery
59. Kufungua studio ya kupiga na kusafisha picha
60. Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza vyakula katika sherehe na tamasha mbalimbali (catering).
63. Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza bajaji, pikipiki na magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake, jembe 68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba pancha za matairi ya magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za harusi
74. Kufungua yard kwa ajili ya kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea (welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site (boots, helmets etc)
77. Kununua mabasi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza vipindi vya redio na televisheni
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya televisheni (TV Games)
80. Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha fork lift na winchi (crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha kutengeneza viatu.
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na gadgets mbalimbali zinazoendana na mawasiliano ya Vodacom, TTCL, AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha kwa sherehe, mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya ujenzi wa barabara na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za kusafisha, kutoboa na kuchana mbao
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa vya Umeme wa kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. Kukodisha matenki ya maji**
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/ matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago, batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY PESA
100.Kuanzisha sehemu ya kufanyia mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa (pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya "Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya nyumbani mfano bakuli, sahani, vikombe, vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. Kampuni ya kusafirisha abiria kwa njia ya anga (ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za kutengeneza tofali
122. Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza matairi
130. Kutengeneza vitanda vya chuma
131. Kununua nyumba katika Maghorofa (Apartments) na kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network marketing)
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za kukodisha kwa ajili ya kilimo
151.Kuendesha bodaboda,Taxi,Daladala,Carry
KAMA YOTE HAYA UMESHINDWA KUPATA LA KUFANYA, BASI TUENDELEE KUWA WAAJIRIWA WA SERIKALI NA TUSUBIRI KUSTAAFU TU.
Huyo mleta mada atakuwa mlevi maana huwez kuchimba mafuta kwa mtaji wa Tshs 500,000.Ni kweli mkuu, kusoma siyo hadi uajiriwe, lakini je?! utajiajiri Kwa mtaji upi ndugu yangu?
Kumbuka Kwa maisha yetu watanzania hata kibarua cha ujenzi tu ni cha kugombania.
Tumwombe Sana Mungu Kama taifa.
Wengi wetu tunaongea Kwa kubeza Kwa Sababu tu tuna uhakika wa kula na kulala, Kama mtoa mada amenishangaza Sana, kaweka utitiri wa miradi utadhani kuna pesa za kuchota Kama mchanga na kwenda kufanyia biashara.
Tuwe tunaomba hekima ya Mungu kabla ya kuropoka kwanza.
ukiwa na biashara ya usafirishaji hasa za abiria, hapa nazungumzia Hiace nk?NB: Unaweza pia soma > Biashara za kufanya kwa mtaji mdogo wa elfu 10 mpaka 50
======
Ni muda sijaandika uzi katika jukwaa hili, nimepata msukumo leo baada ya kisa kilichotokea apa katikati na kunifanya nione umuhimu wa kukumbushana lakin pia iwe kichocheo cha kuamsha tafakuri katika maamuzi yetu kweny biashara zetu.
Iko hivi, mwaka juzi nilipata simu kutoka kwa mentor wng na kwa ufupi alisema kuwa kuna kijana amempatia mawasiliano yangu na kunitaka nionane nae. Kweli siku hiyohiyo kijana yule alinipigia na baada ya mazungumzo alitaka kuja ofisini kwa ajiri ya swala lake lakini nilimkatalia kutokana na ratiba ya siku hiyo. Tulipanga siku ya kuonana na nilichogundua kwa mazungumzo ya simu tu kuwa jamaa ana 'mizuka'.
Siku iliwadia tukaonana na baada ya salam na stori kidogo nilimuuliza kuhusu kiini cha sisi kukutana. Kijana huyu ambae wakati wote alikuwa 'mchangamfu' alinieleza kuwa ana 'Project' ambayo amekuwa akifanyia tafiti kwa muda mrefu na kuwa amepata 'wazito' ambao wako tayari kuwekeza kwnye project hiyo. Kwaiyo alikuwa ana hitaji mtu ambae atamsaidia katika mawazo ya namna ya kuongeza na kuboresha project hiyo.
Wakati huu tunaonana jamaa alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mentor wng na hivyo alikuwa amemuomba amsaidie katika hilo. Kwasababu mentor hakuwepo nchini wakat huo na kulikuwa hakuna dalili yotote ya kurejea karibuni, ali m-direct jamaa kwangu kwa ajiri ya kazi hiyo.
Nilipata muda wa kupitia mpango wake biashara ('business plan') na baada ya maswali niliyomuuliza kujibiwa kwa usahihi na kwa uwazi kabisa (labda sababu alipewa assuarance na mentor wangu). Binafsi niliona kabisa huyu ni mtu ambae kafanyia tafiti wazo lake sio zile 'empty set', hivo sikushangaa yeye kushawishi wazito kwa haraka.
Sote tunafaham kinachovutia kwenye business plan ni kipengere cha 'financial statement' (projections) na apa ndipo nilipogundua dosari kubwa. Pamoja na wazo kuwa zuri ila hesabu za makadirio ya mapato na matumizi zilikuwa kinadharia sana yaani 'they were simply based on fantasie rather than reality'. kwa lugha ya kichumi alitumia kitu kinaitwa 'haphazard approach' sina tafsir nzur ya kiswahil lakin itoshe kusema alijipendelea faida sana kinyume na hali halisi.
Hata nilipojaribu kukadiria degree of operating revenue bado nilikuwa nagota kwenye hasara tu. Na kwa mtazamo wangu nilijaribu kumwelesha kuwa kwa 'uchumi wa awamu hii' itakuchukua almost miaka 4 na kitu kufika ata ile hatua ya break even yaani gharama za uzalishaji ziwe sawa na mapato.
Kauli zangu zilianza kufifisha tabasamu la 'amigo' na kwa muda tulipishana sana lakin tukaafikiana kuwa 'tutengeneze' leap of faith hypothesis yaani 'mikakati' ya muda yenye ufanano na lile wazo kuu kama kujaribu soko kabla ya kuingiza mtaji wote. Haikuwa rahisi kwa siku iyo basi tukaachana na mimi nilitimiza ahadi yangu ya kumtumia mawazo yng kwa email.
Tuliendelea kuwasiliana kwa yeye kuni update maendeleo ya hiyo project yake, nikiwa nafaham anafanyia kazi yale 'tuliyokubaliana' na baada ya muda mawasiliano yalikatika kabisa na mim nikawa nilisha sahau kabisa.
Ni mpaka juzi ikiwa ni takriban mwaka toka tuwasiliane nimepata email yake nikiwa safarin ambayo ndio imenifanya niletee uzi huu. Huyu bwana baada ya mawasiliano yetu yeye aliendelea na project yake kama alivokuwa amepanga awali ata labla ya kukutana na mim. kifupi alikuwa yuko 'obsessed' sana na ile 'perfect idea' yake kiasi kwamba ilimfanya kipofu hata kushindwa kuona reality. Kwaiyo yeye alikuwa anatafuta tu mtu wa ziada kumbariki na si kukosoa.
Sasa project ina mwaka na kitu na hawajaweza ku cover ata gharama za uendashaji, na wale wazito wame mkalia kooni hajui afanye nini. Ingawa ni mwaka tu na kwa sisi wazoefu tunasema ni mapema kutoa judgement lakini still chances of survival are limited
kweli hali ya biashara mtaani ni mbaya bidhaa haziuziki lakin je unauza bidhaa sahihi kwa wakati huu?? usije ukawa una lalamikia kumbe bidhaa unazouza ww watu hawazihitaj wakat huu.
kila awamu huja na changamoto zake na hata matumizi ya watu hubadirika hivyo ni kazi yako wewe mjasiriamali kuwa mwepes wa kung'amua nyakati na kubadilika pale upepo wa mabadiliko uvumapo.
Pesa kwa sasa imekuwa adimu na zile chache walizonazo watu wanatumia kwa mahitaji yao ya msingi au zile huduma/bidhaa ambazo wana urahibu/addiction.
Swali la kujiuliza katika mahitaji yao ya maingi wewe unawazuia nini??.
Je unafahamu kuwa kuna bidhaa ambazo ni addiction kwa watumiaji??
Kwa muktadha wa maswali hayo, mjasiriamali mwenye kiwanda chako au biashara ili uweze kupata uhakika wa mzunguko wa fedha ni lazima bidhaa/huduma zako zizunguke kwenye maeneo hayo mawili.
Mahitaji ya msingi yanafahamika, apa nita gusia zaidi upande wa biashara/bidhaa zenye urahibu.
Neno urahibu limekuwa likitumika sana kuelezea kuhusu utegemezi wa madawa ya kulevya, Lakin ni nadra kulisikia kwenye bidhaa/huduma tunazotumia kila siku.
Basi chukua hii kutoka kwangu(THE LIST) na utizame ni namna unaweza kupiga pesa.
** Apa ntakupa THE LIST ya biashara/huduma ambazo zitakuhakikishia uhakika wa soko ata katika ichumi uliodorora**
Kwa namna ambayo itadizain mpango wako wa biashara basi hakikisha unazunguka kwenye zile bidhaa au huduma ambazo hutengeneza urahitbu kwa mteja baada ya muda wa matumizi.
Kwa muktadha huo, hii ni orodha ya sekta mbalimbali ambazo unaweza ukabuni bidhaa|huduma ambayo afe kipa afe beki lazima itanunuliwa tu.
Sekta ya urembo na utanashati
-urembo na utanashati ni tabia ambayo si rahisi kuiacha, hii ni kwa wadau wa rika zote..waume kwa wake.
kuna biashara nyingi ambazo unaweza ukafaanya ndani ya kipengere hiki zaidi tizama ni vitu gani watu hutumia zaidi, mafuta, perfumes, mawigi, viatu, saloon n.k
Vilevi na hasa pombe.
Urahibu wa pombe wala hauhiitaj maelezo mengi, sekta hii yenyew iko wazi ata mitaani uko..yaani vyuma vimekaza lakin bar zinajaa
Apa unaweza buni wine yako mwenyew, wakala wa jumla wa pombe, kufunvua bar au grocery
Michezo
Kwa bongo mpira wa miguu una wapenzi wengi na ww unaweza kutengemeza pesa kupitia urahibu huu kwa kufungua betting centre, gori la kuonyesha mpira, kuprint tshirts, video games uko iswazi n.k
Repairing centre..
kipini hiki badala ya mtu anununue gari au simu mpya ni bora atengeneze ile ya zamani, wekaza eneo kwa ku kutoa hizo huduma.
Huduma za Vyakula
Sekta hii kwa maneno ya Mo anasema kwa mtu yeyote anaetaka utajiri Africa basi awekeze katika matumbo ya watu. Kwa maneno hayo ni dhahiri sekta hii ina wateja wengi sana na ni ngumu kuyba ata uchumi ukiyumba vipi.
Ni sekta pana inayoanzia kwa mkulima, sokoni, kiwandani mpaka kwa mlaji. Sasa katika chain yote hiyo wewe unachangia vipi?
Itaendelea...
Nikukumbushe Mjasiriamali mwenzangu huna sababu ya kushindwa kuingiza faida ya laki moja au zaidi kwa siku kwa kisingizio uchumi umeyumba. Ukiona unalalamika basi kuna kitu unafanya sio sahihi.
Haya ni mawazo ya kivitendo kutoka kwa mjasiriamali (THE LIST) na sio falsafa mfuu au porojo za semina uchwara..yanatekelezeka!!
Haki za umiliki zote zimehifadhiwa
THE LIST.