Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

Andiko zuri hili..hiyo sekta ya urembo si haba nilimeifanya kwa muda Sasa kwa kweli inalipa tu..uaminifu na nidhamu kwa wateja ni nyenzo muhimu
Japokua kuna changamoto ya makadirio ya kodi ila ndo hivo unakomaa tu hadi kieleweke!
Tuombe uzima tuendelee kutanuka zaidi kwenye ujasiriamali wa aina mbalimbali

Ukimalizia mwendelezo usisahau kutag eh!!
 
thanks much bro... nimepata kitu hapa....
 
ni hapa na sio apa,kwa ajili sio kwa ajiri..na mengine meengi mburu kenge wewe..hakuna cha maana ulichoandika hapo kwa MTU kama mie..sina id tofauti na hii..usiishi kwa kuhisi ewe kunguni jike
 
hapo sio apo.. mbwembwe nyiingi na majigambo kiswahili hujui.. we mjinga tuu ulietiwa ujinga darasani
 
shenzy..nimekutandika vizuri na unacheza ngoma yangu sasa..niweke Uzi humu ili iweje!?..nikiona haina budi nitaweka..uwezo wa kiakili haupimwi kwa kuweka Uzi humu kama hayo matapishi yako uliyoweka hapa
 
Mkuu unaogea ukweli... kuna biashara hata iweje lazima itaenda tu, mimi nilianza na karanga kuuza kilo tano kwa mwenze lakini leo nauza kilo hamsini kwa wiki na hadi oda zinanizidi
 

Kwa uandishi huu Ni dhahiri kabisa ulikutana na kitu ambacho kilikusikitisha sana mkuu.

Japo kwa kipindi kirefu sasa kimepita na nimekuwa si mtembeaji kwenye ule Uzi.


Kwa hoja hizi kiongozi ulizo zungumza kama zina ukweli basi
inasikitisha maana kipindi hicho nakumbuka vitu ambavyo vilikuwa
vinapigwa vita Ni picha chafu(Zisizo na maadili) pamoja na lugha chafu (matusi).


Kama ulipita na kuona vitu hivyo basi hapo kuna tatizo kubwa.
 
umeenda kufukua historia yangu jf...unaandika uharo tu humu..anaejielewa hawezi kuandika ulichoandika..bichwa lako ni mtondoo tu..
 
Nikukumbushe Mjasiriamali mwenzangu huna sababu ya kushindwa kuingiza faida ya laki moja au zaidi kwa siku kwa kisingizio uchumi umeyumba. Ukiona unalalamika basi kuna kitu unafanya sio sahihi.
Ukimaliza darasa hili naomba tafadhali uanzishe na darasa la kununua biashara ya mtu. Yaani unakuta mtu anaduka, ama kiwanda, ama muoka mikate na kadhalika na unataka ununue ama yeye anataka auze biashara hiyo. Vitu gani vya kuangalia kipi kizingatiwe katika kununua biashara ya mtu? Ununuzi wa biashara si jambo geni, wamefanya hivyo facebook kwa intagram, microspft ndiyo usisema, huko Canada nasikia ndiyo dili kabisa.

Inasemekana ni rahisi sana kununua biashara na kuiendeleza kuliko kuianzisha na kuindeleza. Nilikuwa natafuta mtu mwenye ujuzi wa ujasiriliamali anipe shule inayoeleweke. Kwa maelezo yako hapo juu. Nadhani mtu mwenyewe nimempata.

Karibu mkuu.
 
146 kiboko.
 
Hata Shigongo alikuwa anaona vijana hawachangamkii fursa, kumbe yeye alikuwa awapi siri yake ya mafanikio ni kupiga deal na ccm halafu anawadanganya vijana kujifanya motivated speaker, wanafki sana watu hawa.
Vyote alivyo andika ni sawa ila hii serikali inafilisi watu.
Uchumi umekwama, kodi na ushuru imekuwa shida.
Mabenki yanafilisika wanaona sifa badala ya kusaidia.
Mazao soko shida.
Tafakari!!
 
zote zina mitaji mikubwa labda kuuza vitafunwa inaweza kuwa ndo bei rahisi
 
126:"Kuchimba mafuta" Kama serikali imeshindwa hadi viwanda vinafungwa cc wa mitaji midogo tutawezaje?
 
Huyo mleta mada atakuwa mlevi maana huwez kuchimba mafuta kwa mtaji wa Tshs 500,000.
 
Mkuu vipi
ukiwa na biashara ya usafirishaji hasa za abiria, hapa nazungumzia Hiace nk?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…