Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

chief inaonekana hii ishu ya tra na kodi ni changamoto kubwa sana kwa wajasiriamali sio mbaya km ukija na uzi wa kuwaelimisha namna ya kupata favour ya iz kodi
Mkuu, kodi hutokana na details unazojib bda ya kuulizwa na tax officer kutokana na biashara yko.
Kwa mapato yasiyozid mil4 kwa mwaka, hutopaswa kulipa kodi hata senti mia.

Kwa mil4 hadi 7.5 basi utalipia kodi ya laki na nusu pekee, tena kwa installment (Kwa vipindi v4 ndani ya mwaka)

Kwa mil7.5 hadi kumi10.5 basi utalipia laki38, nayo ni kwa vipindi vinne, hutegemea na kalendar year yko.

Kwa mil10 hadi 14 ni laki52.. na kuendelea Hizi ni kodi za mapato pekee

KUKADILIWA KODI KUBWA SIO MWSHO WA MANUNG'UNIKO, UNARUHUSIWA KUMWANDIKIA BARUA REGIONAL MANAGER (RM) AU DISTRICT MANAGER (DM) UKILALAMIKIA MAKADILIO MAKUBWA YA KODI.(Hakikisha una facts zenye mashiko,sio blah blah tu)

Tatizo wafanya biashara mnajichanganyaga kutaja manamba makubwa makubwa kipindi cha makadirio, hapo ndipo mnapo bugi sasa.
Nimeshare kaelimu kangu kadogo nlkokapata kwny certificate yng ya maswala ya kodi pale Chuo cha kodi.

Taendelea kushare hivyo hivyo kadri ya uwezo wng kile ninachokijua,ninapokosea rukwa kukosolewa. MM SIO MTAALAMU WALA TAX OFFICER
 
Sio falsafa mfuu au porojo za semina uchwara ...yanatekelezwa nafikiri umeeleweka mkuu ili kufikua malengo cha muhimu ni kujituma na kutumia akili yako kuwa more creative katika project or business yako ...
Shukrani mkuu
 
Nimekuelewa chief na kwa hakika nikupe pongezi kwa kutokutoka kapa katika andiko hili.

Kuhusu biashara ninayofanya..vi miradi/project vipo vingi kidogo.

nikuombe uendelee kuniombea, na siku za mbeleni katika hivyo vi- project nitakuja kuzungumzia moja ya biashara katika hivyo vi-project vyangu ambayo ni

'procurring, processing, manufacturing, packaging, labeling and distribution of agri-food products'. processs hizo zina muondoa mkulima maana yeye ameshafanya yake kwa kuzalisha zao husika.

Maana nina amini kama ambavyo MO husema katika biashara ambazo hazina ushindani kama ukiujua mchezo vizuri ni biashara ya chakula tu..maana hakuna kampuni itakayoweza kulisha watu wote mill 50.

Sasa chain ya chakula ukimtoa 'mkulima' ni ndefu mpaka kwa mlaji..

Unaweza kuchagua kimoja katika hivi vifuatavyo lakini pia unaweza kufanya vyote kinachotakiwa ni ujue how the masterpiece works

'procurring, processing, manufacturing, packaging, labeling and distribution of agri-food products-.

View attachment 705596
Nimekuelewa chief na kwa hakika nikupe pongezi kwa kutokutoka kapa katika andiko hili.

Kuhusu biashara ninayofanya..vi miradi/project vipo vingi kidogo.

nikuombe uendelee kuniombea, na siku za mbeleni katika hivyo vi- project nitakuja kuzungumzia moja ya biashara katika hivyo vi-project vyangu ambayo ni

'procurring, processing, manufacturing, packaging, labeling and distribution of agri-food products'. processs hizo zina muondoa mkulima maana yeye ameshafanya yake kwa kuzalisha zao husika.

Maana nina amini kama ambavyo MO husema katika biashara ambazo hazina ushindani kama ukiujua mchezo vizuri ni biashara ya chakula tu..maana hakuna kampuni itakayoweza kulisha watu wote mill 50.

Sasa chain ya chakula ukimtoa 'mkulima' ni ndefu mpaka kwa mlaji..

Unaweza kuchagua kimoja katika hivi vifuatavyo lakini pia unaweza kufanya vyote kinachotakiwa ni ujue how the masterpiece works

'procurring, processing, manufacturing, packaging, labeling and distribution of agri-food products-.

View attachment 705596

Hapa kwenyewe mkuu.
 
The List... Umetisha brother! Mimi na kazi au huduma yangu ya kuandaa writeups imeathirika Sana ...
 
Mkuu, kodi hutokana na details unazojib bda ya kuulizwa na tax officer kutokana na biashara yko.
Kwa mapato yasiyozid mil4 kwa mwaka, hutopaswa kulipa kodi hata senti mia.

Kwa mil4 hadi 7.5 basi utalipia kodi ya laki na nusu pekee, tena kwa installment (Kwa vipindi v4 ndani ya mwaka)

Kwa mil7.5 hadi kumi10.5 basi utalipia laki38, nayo ni kwa vipindi vinne, hutegemea na kalendar year yko.

Kwa mil10 hadi 14 ni laki52.. na kuendelea Hizi ni kodi za mapato pekee

KUKADILIWA KODI KUBWA SIO MWSHO WA MANUNG'UNIKO, UNARUHUSIWA KUMWANDIKIA BARUA REGIONAL MANAGER (RM) AU DISTRICT MANAGER (DM) UKILALAMIKIA MAKADILIO MAKUBWA YA KODI.(Hakikisha una facts zenye mashiko,sio blah blah tu)

Tatizo wafanya biashara mnajichanganyaga kutaja manamba makubwa makubwa kipindi cha makadirio, hapo ndipo mnapo bugi sasa.
Nimeshare kaelimu kangu kadogo nlkokapata kwny certificate yng ya maswala ya kodi pale Chuo cha kodi.

Taendelea kushare hivyo hivyo kadri ya uwezo wng kile ninachokijua,ninapokosea rukwa kukosolewa. MM SIO MTAALAMU WALA TAX OFFICER
Mkuu watu wanabiashara za m3 wanalipa kodi laki kma 8 kwa mwaka
 
Kassimneema ratiba zinapishana na muda mwingine muda wa kupita huku unakuwa limited sana.

Napokea PM nyingi..hivyo subira ituongoze katika hili.

N.B.Isiwe tu rubbish.
Si rabbish kabisa ,, pia pole na majukumu mno
 
wazo zuri sana, kuanzisha biashara mpya waati huu ni mtihani.....Nyongeza kidogo ukitia ubunifu wa mandhari sehemu ya hizo biashara ulizopendekeza pamoja na kutafuta eneo pendwa banana na wakongwe...magwiji...
 
Mkuu watu wanabiashara za m3 wanalipa kodi laki kma 8 kwa mwaka
Mkuu, kodi haihusishi mtaji pekee, Ni mjumuiko wa vitu vingi km eneo la biashara,kodi ya chumba,mapato ya siku, uwezo wako kifedha km unasomesha,unanyumba au umepanga, kodi ya maji na umeme, lishe na maradhi..

Vyote hivyo huulizwa kipindi cha makadirio, mjumuiko wa garama zote hizi ndio hutoa sasa taswira ya kiasi gan cha kodi unachopaswa kulipia.

Wengi hukosea hapa tu, hutaja manamba makubwa makubwa wakizani wataonewa huruma, matokeo yake kodi inakuja km hvyo laki nane,tisa hadi milion..

Km nilivyosema awali, unaweza muandikia barua RM au Dm (Hasa RM) kuhs makadirio makubwa ya kodi. Atatumwa Tax Officer ili aje ajiridhishe kisha utaweza punguziwa km wataona ni kweli umeonewa, au utaongezewa kodi kulingana na hali halisi ya biashara yko.

Nadhani umeelewa sasa..

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
 
Umeandika facts nyingi sana kuhusu fursa za biashara nchini kwetu,na naamini pia wewe ni msomi,tafadhali uwe unaandika Kiswahili fasaha kwa mfano hakuna "APA" ila kuna "hapa" kwenye Kiswahili.
Samahani lakini,ukweli lazima usemwe!!
 
Pole sana IPILIMO..

emu nieleze kidogo kuhusu hiyo huduma na pengine tunaweza badilishana uzoefu kuona unavyoweza kufanya adjustment.
Nimekuwa nikiandaa write-ups mbalimbali kwa ajili ya wateja wa biashara na miradi ya kiuchumi na kijamii tangu 2008: wateja nimekuwa nikiwapata individuals, kampuni na taasisi changa zinazoanza na zilizo ktk mwendo wa polepole. Ila kupungua au kuathirika kwa sekta ya biashara na uchumi kwa jumla pamoja na Ile general purchasing power nk kumefanya wateja wa uelekeo wa huduma hizi kupungua Sana, wanaamua kuendesha shughuli zao.. Business as usual.
 
Back
Top Bottom