Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hawa wakitumiwa for advertisement za makampuni kama za simu, it pays
Hardly 2 million people watch Tv stations kama channel 10
Lakini kuna kampuni za simu zinalipa airtime kubwa sana for such channel
I bet wakimuomba shishy bby a post Tangazo la airtel money daily saa mmoja wanampa 1 million in a month, it pays
Le akili kubwaazz....wewe ukiwa November 20 2015...yeye yuko March 15 2016...
Le akilizzzz
You couldbe theking but watch the queen conquerMtoto wa diamond(princess tiffa) ana followers wengi kumpita king of all social media( mzee wa degree 3)
Unajua kajiunga lini instagram ila bwana ukitaka kupata followers wengi instagram ni skendo tu hamna kingineYule bado sana, yuko around 600k
Mtoto wa diamond(princess tiffa) ana followers wengi kumpita king of all social media( mzee wa degree 3)
Ukiona mtu yuko instagram,, ujue huyo ni zuzu na mpuuzi
Ngoja nikuanzishie skendo ili upate followers wengi.Unajua kajiunga lini instagram ila bwana ukitaka kupata followers wengi instagram ni skendo tu hamna kingine
Ndo maana nuh mziwanda ana followers wengi kuliko richmavoko na belle9 kwa skendo kuimba zero
Unajua kajiunga lini instagram ila bwana ukitaka kupata followers wengi instagram ni skendo tu hamna kingine
Ndo maana nuh mziwanda ana followers wengi kuliko richmavoko na belle9 kwa skendo kuimba zero
Skendo ipi mbona unabahatisha ulishawahi kumuona amempost jokate katika account yake ya instagram pozi la kimahabaMbona kiba anaskendo sana juu ya yeye na jokate.. Juu ya yeye kuwa na watoto 4 kila mmoja na mama ake..
Na kubwa kabisa inayompa asilimia kubwa ya kipato chake kwa sasa kujibebisha na mbeleko ya kiki kwa diamond..
Hakuna asiefahamu hivo vitu...!! Na hizo zinaitwa kiki
Followers pia wananunuliwa.
Siku instagram wakiamua kuclean na kuondoa followers hewa ndio mtajua followers halisi.