Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hawa wakitumiwa for advertisement za makampuni kama za simu, it pays
Hardly 2 million people watch Tv stations kama channel 10
Lakini kuna kampuni za simu zinalipa airtime kubwa sana for such channel
I bet wakimuomba shishy bby a post Tangazo la airtel money daily saa mmoja wanampa 1 million in a month, it pays
Ngumu sana kibongo kutumia watu ka kina shishi wasanii wana sifa na reputations mbaya kwa jamii ndo mana hawapati matangazo ka hayo ya makampuni makubwa tofauti na TV zinawatazamaji wengi rika zote na kila mtu anaona kiurahisi kutumia hao machangu ni kuzalilisha kampuni